Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 806
- 1,296
Harrier nahisi ni six cylinders ndio maana alikupita kama umesimamaNimepita jana barabara ya Nzega -tabora.... Barabara ni mpyaaa halafu haina trafiki kabisaaa.... Ndo mara yangu ya kwanza kabisa kuendesha premio yangu kwa spidi 190km/hr..... Ila kilichonichekesha ni kwamba wakati nipo 150km/hr nikapitwa na Harrier tako la nyani kama nimesimama vileeee... Sikuliona tenaaaa mpaka nafika..... Hii barabara ina km kama 120km hivi halafu ni tambarare tupuuuu.... Ndo barabara pekee nadhani unayoweza kuendesha gari kwa spidi ya 180km/hr hata kwa dakika 20 bila kukanyaga breki yoyote ile
kidogo una idea ya magari... safiMkubwa, Volvo, VW, BMW, sahani inaenda hadi 260km/h mbaya zaidi unavyokanyaga wese ndio gari iko stable haitetereki.
Hapo itakua suala la ujasiri wa dereva, lakini kama tunaongelea uwezo wa gari, haziwezi kushindana.
Hata kama sina uelewa wa magari ila naamini kampuni kubwa kama bmw,aud au vw eti waweke specification ambayo haipo...........MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235
gari ikiwa chini ndo inakua stable zaidWazee wa league nawaona tu.. Mbona magari yenyewe yapo chini sana, Mnapata wapi ujasiri wa kutembea speed zote hizo
wewe ulikua kwenye gari gani?Mwaka jana siku moja niko na rafiki zangu tunatokea Moshi kurudi Jijini tukawa tunaweka mafuta pale Total Korogwe zikaja gari 3 kwa muda ule ule kuweka mafuta..
Moja: ilikua ni Mercedes-Benz W203 Kompressor ya zamani kidogo hii ilikua inaendeshwa na mzee flani ivi ila anaoneka bado kijana alikua na wanawake wa 3 kwenye gari..
Mbili: ilikua ni BMW 3 series hizi 6th generation hii ilikua ni gari ya ubalozi (plate ya kijani) walikua jamaa wawili weusi wamekula suti matata.. na gari ni mpyaa
Tatu ilikua Toyota Crown Athlete inaendeshwa na muhindi nayo ilikua mpya (yenye hali nzuri)
Hawa wote tuliwaona maana pale kituo cha mafuta ni kawaida mtu ashuke kwenye gari kwa sababu mbalimbali ikiwa ni kwenda kujisaidia au kununua vitu vidovidogo vya kutumia njiani..
Sasa tulivyoona vile tukajua tu hapa lazima kutakuwa na ligi moja matata tukasema ngoja tufatane nao tushuhudie..
kitu ambacho ambacho kilitokea baada ya muda kama nusu saa yule jamaa wa BMW alipotea bila kuonekana tena (disappeared without a trace) nadhani pia jamaa walikua hawajali tochi wala traffic police.. wakabaki Benzi na Crown.. jamaa wa Crown alikua anatii sana sheria za barabarini kwenye 50 anakubali jamaa wa Benz anampita ila tulivokuja kuingia porini Benz alikatwa tena kwenye kilima..
Kiukweli siku ile tulifuraia sana ile ligi ya wale jamaa.. Unaweza ukawa dereva wa hapa mjini ila ukiwa High-way unajifunza mambo mengi.. wale wa desemba nadhani wanaelewa nachosema..
Hata kama sina uelewa wa magari ila naamini kampuni kubwa kama bmw,aud au vw eti waweke specification ambayo haipo...........
shida umezoea vitu vya kichina simu unaambiwa ina 20mp kumbe 2mp
Hata kama sina uelewa wa magari ila naamini kampuni kubwa kama bmw,aud au vw eti waweke specification ambayo haipo...........
shida umezoea vitu vya kichina simu unaambiwa ina 20mp kumbe 2mp
Mkuu kifo kipo tu huwezi kukwepa kwa mfano kama unafanya safari za kwenda mkoani chukulia unatoka Dar-mbeya utaweza kuendeshesha kwa speed 50?Hizi speed mnazozungumza ni kwa Barbara zipi?/hizi za bongo? Kifo kinawaita.
Kaka hizi six cylinders huwezi kufananisha na magari yetu haya ya 4 cylinders hata kama utakuwa dereva bora hutaweza kushinda na mwenye sixBado kukimbia kwa gari inategemea na
Dereva
Horse Power
Engine Capacity
Piston
hiyo 150kph yenyewe kwa sie wengine ni high speed , mie nimekimbia sana 100kph yaani hapo hadi mapigo ya moyo yanataka kuchomoka kuna watu mamoyo 180kph bado mmahitaji speed zaid?????Haitakaa nitembee speed hio tena!! Gari yenyewe nilishaiuza, Sitaki tena nikikimbia Sana mwisho 150km/hr. Nina watoto sasa wakubwa wananitegemea. Sitakiii
Speed ya safari kwa private car ni 100 - 120 km/hr. Sasa hizo 160, 180 na zaidi ni kwa barabara hizi? Nchi za wenzetu hakuna kupishana kichwa kwa kichwa. High way zote zina lane zinazojitegemea. Alama za barabarani zipo, pia barabara zipo fenced, hakuna mbuzi, mtu, kuku hata gari inayoingia high way.Mkuu kifo kipo tu huwezi kukwepa kwa mfano kama unafanya safari za kwenda mkoani chukulia unatoka Dar-mbeya utaweza kuendeshesha kwa speed 50?
Hio engine si karibia engine ya land cruiser kabisa, sina shaka na mziki wake wa kuchanganya speedCrown Majesta ya mwaka 2013 ina engine hii 3UZ-FE V8 4300cc. Hii ni zaidi ya Athlete
Yule jamaa yupo bhana, sema nyi kila mkiona clip ya markx iko mang'anya mna refer kwa mchizi. Chalii kwao moro na yupo freshi tu anapiga kazi.Mnamkumbuka yule mwenzenu wa mark x aliekua anafanya mchezo na barabara za kibongo?
Hawakaputa hata vipande vya kuzika
Speed kasi hutegemea ukubwa wa engine na piston
Gari hata iwe na speedometer inayosoma 260 ila ni 2500 cc v6 haiwezi ifikia 3600cc v6 yenye 200
Unachosema ni sahihi kabisa hizi speed tunazoenda nazo kama ni 150 ni kipande kifupi mno inaweza kuwa ni umbali wa km 1 tuSpeed ya safari kwa private car ni 100 - 120 km/hr. Sasa hizo 160, 180 na zaidi ni kwa barabara hizi? Nchi za wenzetu hakuna kupishana kichwa kwa kichwa. High way zote zina lane zinazojitegemea. Alama za barabarani zipo, pia barabara zipo fenced, hakuna mbuzi, mtu, kuku hata gari inayoingia high way.
Vimiji au vijiji vina barabara zake Nje ya high way. Kuna entry and exit points chache sana. Unaweza kutembea hadi zaidi ya 100km bila kuona Barbara inayoingia au kutoka highway.
Hata mimi hapa arusha juzi nimeona corolla old model ya cc 1500 eti dash 220 kph...hivi kweli haka kacorolla utakashindanisha mbio na magari kama Brevis, Alteza,Nissan fuga na jamii hizo??sikio la kufa....usinunue gari kwa dash inavyosoma hata toyota wana kagari flan kana cc 1500 engine ya kawaida ila sijui ilikuwa kwa ajil ya soko la nchi gani hvyo ina dash ya 220kph sasa kwa akil yako hako kagari kanaweza fata brevis 2500cc dash ina 180 tu??
Kifo kipo ila tusikitafute haraka....Tuheshimu sheria tutafika salama..Mwaka jana mwishoni niliendesha kanissan kangu Dar to Arusha kwa mwendo wa 80-110 kph na penye vibao vya 50 niliviheshimu...Nilitumia masaa 8 Dar to Arusha.Mkuu kifo kipo tu huwezi kukwepa kwa mfano kama unafanya safari za kwenda mkoani chukulia unatoka Dar-mbeya utaweza kuendeshesha kwa speed 50?