Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Extrovert u namkumbuka yule jamaa wa Mark x huku arusha maeneo ya usa river mwaka jana mwezi November? yule alikuwa anafanya bandarini? Ile gari haikuokotwa kit uh chochote...hizo speed zinauaYule jamaa yupo bhana, sema nyi kila mkiona clip ya markx iko mang'anya mna refer kwa mchizi. Chalii kwao moro na yupo freshi tu anapiga kazi.
Mkuu nissan gani ulidrive fuga, xtrail au.....Kifo kipo ila tusikitafute haraka....Tuheshimu sheria tutafika salama..Mwaka jana mwishoni niliendesha kanissan kangu Dar to Arusha kwa mwendo wa 80-110 kph na penye vibao vya 50 niliviheshimu...Nilitumia masaa 8 Dar to Arusha.
Hizo haraka zitawapeleka kaburini Muqche wake zenu wado wabichi
NotedKifo kipo ila tusikitafute haraka....Tuheshimu sheria tutafika salama..Mwaka jana mwishoni niliendesha kanissan kangu Dar to Arusha kwa mwendo wa 80-110 kph na penye vibao vya 50 niliviheshimu...Nilitumia masaa 8 Dar to Arusha.
Hizo haraka zitawapeleka kaburini Muqche wake zenu wado wabichi
300kphMjerumani habari ingine speed yake mpaka 260kph
Huzijui VW weweDereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
Mwendo wangu wa mwisho kabisa ni 120 Km/hr na si zaidi ya hapo...kwenye 50 kph ni 50 ...bora nichelewe aisee..ila ukitaka ligi na nikikuona nakumudu basi ligi utaipata 😀😀Kifo kipo ila tusikitafute haraka....Tuheshimu sheria tutafika salama..Mwaka jana mwishoni niliendesha kanissan kangu Dar to Arusha kwa mwendo wa 80-110 kph na penye vibao vya 50 niliviheshimu...Nilitumia masaa 8 Dar to Arusha.
Hizo haraka zitawapeleka kaburini Muqche wake zenu wado wabichi
Usiseme magari ambayo watanzania tunaendesha ni toyota, wako wengi tu wanaendesha VW, bmw, Subaru etc. Kwa kuwa wewe huendeshi hayo sio woteHayo magari ambayo umeyataja sote tunayajua ila tunaongelea magari ambayo watanzania tunaendesha(toyota)
Gari sikuzote ambayo ni stable hiyo inafaa sana kwa mbio maana unaweza kupiga hadi speed 160 na bado huwezi kuona inatetemeka yaani ni tofauti na haya magari ya kawaida ambayo ukifisha speed 100 unaona gari haitulii na inahama njia
Hii ingeshaleta matatizo kwa walaji, ulaya sio bongo mkuunamaanisha mshale haufiki pale sijasema ikiwa 80 ni 30 mimi ......germany kule kwenye zile njia za autobhan hakuna spid limit kule unafunguka unavotaka miundo mbinu mizuri but hizo gari mostly hazifiki hiyo speed mfano gari ya 190hp mwisho 235hivi lkn gari inakuja na dash inasoma 280 wakat hata aje nan haifiki ndo hivo namaanisha
Nissan note mkuu model ya 2005....engine HR15 cc 1500 petrolMkuu nissan gani ulidrive fuga, xtrail au.....
Bora umemsahihisha.Siku hizi watanzania wanaendesha magari mengi ya kijapani kama vile Nissan,Subaru,Suzuki,Honda,Mazda nk..Usiseme magari ambayo watanzania tunaendesha ni toyota, wako wengi tu wanaendesha VW, bmw, Subaru etc. Kwa kuwa wewe huendeshi hayo sio wote
2jz iko kwenye altezza gita ni kisanga2jz injini kama altezza uzao wa lexus ni balaa
Watu wanashindwa kuelewa kuwa Toyota speedometer zimekuwa speed governed kuishia 180kph kulingana na sheria za Japan ila haimaanishi zinashindwa kusogea mpaka kwenye hizo speed za 280kph.unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+
Extrovert u namkumbuka yule jamaa wa Mark x huku arusha maeneo ya usa river mwaka jana mwezi November? yule alikuwa anafanya bandarini? Ile gari haikuokotwa kit uh chochote...hizo speed zinaua
Pia tafuta toyota makes za ulaya uone dashboards zake kama hazilingani na hao kina bmw benz audi na vwUsiseme magari ambayo watanzania tunaendesha ni toyota, wako wengi tu wanaendesha VW, bmw, Subaru etc. Kwa kuwa wewe huendeshi hayo sio wote
Kuna kitu watu wengi hamkielewi kinachofanya gari kwenda speed ni transmission, kuna Toyota corolla ina CC1700 na ni four cylinder hiyo mnayoita brevis sijui crown zenye six zikasome,Kaka hizi six cylinders huwezi kufananisha na magari yetu haya ya 4 cylinders hata kama utakuwa dereva bora hutaweza kushinda na mwenye six
Kama mtu wa kusafiri utafurahia SAFARI yako ukiwa na six cylinders
Aaah mimi huwa nikiwa nasafari ya mkoani najiona nakimbiza gari nikimaliza speedometer yote. Ila nikiwa 170 siwezi sema nimekimbiaFuga is amazing...ni sedan ya kiume
Same moshi mimi nilitembea na noah 4wd 120speedWengi mmeongea kwa hisia tu!Kiukweli kwa barabara zetu huwezi kukimbia zaidi ya kasi ya km 140/saa.Na hapo gari yako inatakiwa iwe katikati ya barabara na huo mwendo hauzidi umbali wa km 15.
Na ni barabara zifuatazokutoka DSM.
Barabara ya Morogoro
Ni kuanzia Chalinze kuitafuta bwawani,hapa unaweza kuona mbele kwa umbali wa km 15 na zaidi pamenyooka sana.
Barabara ya Morogoro -Iringa
Hapa ni kuanzia Sangasanga(njia panda ya kwenda Mzumbe university) kuitafuta kijiji cha doma(kabla hujaingia hifadhi ya mikumi)
na sehemu nyingine ni kuanzia Ruaha mbuyuni(Al Jazira hotel) kuelekea kijiji kimoja kinaitwa mahenge.
Iringa -Mbeya(TANZAM road)
Hapa ni igurusi
Morogoro -Dodoma
Hapa ni kuanzia Kibaigwa kuelekea Dodoma.
Dodoma - Singida
Hapa ni kuanzia manyoni,na ndio sehemu ya pekee kulikuwa na kibao kinachorohusu km100/saa miaka ya nyuma.
Dodoma - Iringa
Hapa unaanzia sehemu moja inaitwa chipogola hadi makatapora (Mpwapwa)
Babati- Arusha
Hapa ni kuanzia Babati hadi Magugu.
Same - moshi(Kilimanjaro)
Hapa ni same na pana upepo mkali sana.
Eneo walilopatia ajali naishi jirani...kila nikipita hapo nikiona ule mti waliounga nasisimka....kila nikiona mark x nasisimka...dah...Yeah yule namkumbuka bro, waliokota kitambulisho tu aisee wacha mchezo na 4GR. Halafu nafikiri mark x itakuwa inatumia mfumo tofauti wa kuchange gears. Huwa inachanganya haraka sana.