Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
True...Japanese car yoyote ile ambayo ipo designed specifically for Europe or North America dash yake kusoma zaidi ya 180 ni Jambo la kawaida.Pia tafuta toyota makes za ulaya uone dashboards zake kama hazilingani na hao kina bmw benz audi na vw
Body yake ni nyepesi mno. Huwa wanadai body nyepesi ni kwa ajili ya fuel economy na safety.Eneo walilopatia ajali naishi jirani...kila nikipita hapo nikiona ule mti waliounga nasisimka....kila nikiona mark x nasisimka...dah...
Nadhani zile gari zina injini kubwa na powerful kuliko uwezo wa body
Mkuu kuna Passo ya cc880 na ina kisahani cha 180 kph, na hiyo Brevis yako cc 3000 ina kisahani cha 180 kph. Gari zote hizo zinaweza kufika speed 180, ila tofauti ni kuwa mwenye power (engine) kubwa ndio atawahi kuifikia hiyo speed maana Mkuu issue hapa ni gearbox sio engine pekee. Brevis ya cc2500 ina kisahani cha 180 kwa sababu wametaka iwe hivyo, wangetaka ifike 300kph ingewezekana kwa engine hiyo hiyo. Sidhani kama una uelewa wa mechanics.sikio la kufa....usinunue gari kwa dash inavyosoma hata toyota wana kagari flan kana cc 1500 engine ya kawaida ila sijui ilikuwa kwa ajil ya soko la nchi gani hvyo ina dash ya 220kph sasa kwa akil yako hako kagari kanaweza fata brevis 2500cc dash ina 180 tu??
Same to Moshi siendeshi zaidi ya 90kph....kale kalami kamekaa hovyo halafu kembamba....nadhani kale kalami pale ni tangu enzi za uhuruSame moshi mimi nilitembea na noah 4wd 120speed
Yap, huu ndio ukweli ila majitu yanaminyana. Sasa kama gari ya mjerumani yenye 140HP inaweza gonga speed ya 260kph kwanini gari ya Toyota yenye 190HP ishindwe kufika hapo?Mkuu kuna Passo ya cc880 na ina kisahani cha 180 kph, na hiyo Brevis yako cc 3000 ina kisahani cha 180 kph. Gari zote hizo zinaweza kufika speed 180, ila tofauti ni kuwa mwenye power (engine) kubwa ndio atawahi kuifikia hiyo speed maana Mkuu issue hapa ni gearbox sio engine pekee. Brevis ya cc2500 ina kisahani cha 180 kwa sababu wametaka iwe hivyo, wangetaka ifike 300kph ingewezekana kwa engine hiyo hiyo. Sidhani kama una uelewa wa mechanics.
Mkuu haya magari yetu yenye 4 cylinders ni mepesi mno ukifisha speed kuanzia 120 na kuendelea ndio maana naona bora utoke asubuhi na mapema uanze safari ili kuepusha ajali zisizo na lazimaMi nilishajaribu kijitoyota flani kufika 140 nilihisi ni kifo tu ndio kinanifuata. Nilishusha speed maana Gari ilikuwa nyepesi kama karatasi. Steering inaenda hata kwa kidole ila huyo myumbo wake sasa wacha kabisa. Boeing 747
hahahahaa....nilikuwa nq tabia ya kukimbia kimbia...nina nissan note nilikuwa na tabia ya kwenda nayo 140kph hii barabara ya Arusha babati kipindi cha nyuma tochi si nyingi...ila tangu nione wale jamaa wa mark x pale usa river...nimejirekebisha mwendo wangu ni 80-120 safari ya mbali...Mi nilishajaribu kijitoyota flani kufika 140 nilihisi ni kifo tu ndio kinanifuata. Nilishusha speed maana Gari ilikuwa nyepesi kama karatasi. Steering inaenda hata kwa kidole ila huyo myumbo wake sasa wacha kabisa. Boeing 747
Hahahahah utafariki aisee, nissan wanajitahidi sana kwenye aerodynamics!hahahahaa....nilikuwa nq tabia ya kukimbia kimbia...nina nissan note nilikuwa na tabia ya kwenda nayo 140kph hii barabara ya Arusha babati kipindi cha nyuma tochi si nyingi...ila tangu nione wale jamaa wa mark x pale usa river...nimejirekebisha mwendo wangu ni 80-120 safari ya mbali...
ila hii nissan ipo stable sana barabarani..140 sijahi kuiona imekuwa nyepesi
Mi nilishajaribu kijitoyota flani kufika 140 nilihisi ni kifo tu ndio kinanifuata. Nilishusha speed maana Gari ilikuwa nyepesi kama karatasi. Steering inaenda hata kwa kidole ila huyo myumbo wake sasa wacha kabisa. Boeing 747
hahahahaa....nilikuwa nq tabia ya kukimbia kimbia...nina nissan note nilikuwa na tabia ya kwenda nayo 140kph hii barabara ya Arusha babati kipindi cha nyuma tochi si nyingi...ila tangu nione wale jamaa wa mark x pale usa river...nimejirekebisha mwendo wangu ni 80-120 safari ya mbali...
ila hii nissan ipo stable sana barabarani..140 sijawahi kuiona imekuwa nyepesi
ndo hvyo afu pia zikifika 180 ..ECU inaanza block baadh ya vitu ili kupunguza perfomance ya gari isiendelee mwaga motoWatu wanashindwa kuelewa kuwa Toyota speedometer zimekuwa speed governed kuishia 180kph kulingana na sheria za Japan ila haimaanishi zinashindwa kusogea mpaka kwenye hizo speed za 280kph.
Mi nshaona LHD Lexus mayai rx350 kama hizi zilizozagaa bongo ila yenyewe ya soko la Canada ina speed ya 260kph sasa mtu anasemaje Toyota hawezi ku achieve hizo speed? Toyota yoyote kwa soko la ulaya lazima utaikuta ina speed zaidi ya 180kph same kama hizo VW, Benz ama Bmw
Mfano mwingine mzuri ni Vx v8 ambazo ndio gari zilizokuja na speed ya 260kph straight from Japan hata bongo zipo nyingi tu.
kwa kuanza hamna passo ya cc 880 hiyo ka unayo labda ww na si passo itaftie jina ....pili passo ya cc 1000 haifiki 180 hata siku moja ...mimi umenambia sina uelewa wa mechanics basi ww physics hujui ...Mkuu kuna Passo ya cc880 na ina kisahani cha 180 kph, na hiyo Brevis yako cc 3000 ina kisahani cha 180 kph. Gari zote hizo zinaweza kufika speed 180, ila tofauti ni kuwa mwenye power (engine) kubwa ndio atawahi kuifikia hiyo speed maana Mkuu issue hapa ni gearbox sio engine pekee. Brevis ya cc2500 ina kisahani cha 180 kwa sababu wametaka iwe hivyo, wangetaka ifike 300kph ingewezekana kwa engine hiyo hiyo. Sidhani kama una uelewa wa mechanics.
Nimepita jana barabara ya Nzega -tabora.... Barabara ni mpyaaa halafu haina trafiki kabisaaa.... Ndo mara yangu ya kwanza kabisa kuendesha premio yangu kwa spidi 160km/hr..... Ila kilichonichekesha ni kwamba wakati nipo 150km/hr nikapitwa na Harrier tako la nyani kama nimesimama vileeee... Sikuliona tenaaaa mpaka nafika..... Hii barabara ina km kama 120km hivi halafu ni tambarare tupuuuu.... Ndo barabara pekee nadhani unayoweza kuendesha gari kwa spidi ya 180km/hr hata kwa dakika 20 bila kukanyaga breki yoyote ile
Hapo ndio mnapochanganya mambo,kwani kinachofanya gari kwenda speed ni nini?Brevis yenye 1JZ ina hp 200
Haiwezi ishinda
Crown yenye 3GR yenye hp 250
Mkipelekana sehemu moja na kuanza Crown atamaliza mapema.
Gari yenye sahani ya 260km/h ila ina cc,hp,piston chache haiwezi maliza mbele ya gari yenye 180km/h yenye cc,hp,piston zaidi
Kuna kitu watu wengi hamkielewi kinachofanya gari kwenda speed ni transmission, kuna Toyota corolla ina CC1700 na ni four cylinder hiyo mnayoita brevis sijui crown zenye six zikasome,
Hiyo kitu kumaliza speed 240 ni kama kumsukuma mlevi,iki nyooka imenyooka
ngoja nkupe mfano wa kawaida ..hivi mtt wa darasa la pili anaweza kukuacha na baskel akakupita kabisa kisa ana baskel yenye gia nyingi let say saba na ww una nne tu ?? ukipata jibu weka hapo ......hako ka korola cha cc hizo labda kama kana body ya kirikuu ila body yake yenye tani moja plus asee haiwezekan ...ingewa hivo gari zote zingekuwa na cc ndogo afu gia box ndo ifanye kazi ya kupaisha gari but kuna pulling powe inapatikana kwa 4GR ama 2GR where hako cha cc 1700 hakanaKuna kitu watu wengi hamkielewi kinachofanya gari kwenda speed ni transmission, kuna Toyota corolla ina CC1700 na ni four cylinder hiyo mnayoita brevis sijui crown zenye six zikasome,
Hiyo kitu kumaliza speed 240 ni kama kumsukuma mlevi,iki nyooka imenyooka
Yap, huu ndio ukweli ila majitu yanaminyana. Sasa kama gari ya mjerumani yenye 140HP inaweza gonga speed ya 260kph kwanini gari ya Toyota yenye 190HP ishindwe kufika hapo?
Ni mpangilio wa gear na jinsi control unit ilivyosetiwa kuruhusu peak speed kwenye speedometer. Thats all! Naimani hizo gari zote za Toyota jamii ya brevis na crown zinaweza vuka speed ya 180 kama control unit ikifanya ruhusa.
Wakati mwingine bora upate ajali ufe kabisa kuliko kuteseka
Napenda gari zenye speed kubwa dash board inasoma 220