Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende



i know all this ....what i was trying to explain ni wasidanganywe na dash coz mfano audi unakuta A4 zote mfano hizi za 2000-2006 zina dash reading sawa but kama unavojua zinakuja na engine kibao mfano za petrol zimeanzia 1.6L had 4.2V8 za diesel zikaanzia 1.9L had 2.5L TDV6 ambazo za diesel mfano hiyo ya 1.9L ina anzia 100hp had 130hp ....lakini ambacho audi wamekifanya hapo hamna utofauti wa dash kati ya zile v8 na hizi za cc na hp za kina premio zetu huku ...nikimaanisha zote zina dash ya 260kph so usiwe na ki audi A4 cha diesel cha 190hp ukadhan unafika 260 NO big NO haifiki hapo hata road iweje hiyo 260 wanaonja kirahisi wale wa petrol kama hiyo version yenye V8 au zile v6 with more than 230hp
 

ndo mana nikasema kanachofika ni.ile ya cc 1300 ..kuhusu matuta german autobhan road amna tuta na mtu kajitahd kaishia 165kph tested sio ya maandishi
 

not true kwamba spidi ilioekwa kwa dash ndo ipo electronically limited hapo hapana zipo gari zina dash 300kph but zimelimitiwa hapo 250 mfano hata zile audi zenye ma dash ya spidi had 260 but with only 100-190 kwa diesel zake zile wanajua hazifiki hivo hata kwa page zao wameandika kabisa kama hiyo ya 190hp wameandika 230kph as top speed na hizo za 110hp zimeandikwa kabisa somewhere 207kph but dash stil inakuja na 260kph ...and zile zenye powerkubwa ambazo zinaeza zid kabisa wameweka limiter kwmba iishie 250 tu
 
Sawa.
 
Kwa ujinga huu wa kushindana barabarani ndiyo maana ajali haziishi, kila siku mtaendelea kusababisha vifo kwa sababu ya akili za kitoto kama zako. Ajali nyingi sana zinasababishwa na ujinga kama huu uliotuandikia hapa.
 
ushamba nao unachangia tumia gps speedometer gari nyingi zinazo unakuta inaonesha mshale na kwa pemben inaonesha kama sckrini somea hapo
Sasa ushamba unatoka wapi hapo?shida yenu mmezoea kudanganya kwenye kumi mnaongeza zero, kawadanganye ambao hawajayatumia hayo magari
 
Ha ha ha ulitest Passo Ujerumani. Haya mkuu.
Oh uliposema tested sio kwa maneno nikajua YOU TESTED AND PROVED THAT. Ngoja nikwambie kitu nimeendesha Nissan Micra,Ford Fiest and I was easily doing 90mph=140kph bila kuhangaika. Na hizo gari ni cc si zaidi ya 1000. Ningeamua ningemaliza 110mph=180kph. Hio ni MOTORWAY.

On the other hand niliendesha Toyota Surf imported from Japan, cc2500 I think Diesel, ndani ya few minutes nimemaliza 160kph kilichobaki ni kelele tu za engine....nilikuwa nashukudia vigari vidogo na delivery van zikinipita kama nimesimama. You know why? Ni kwasababu hii Surf iko limited 160kph na si kwamba haina nguvu ya kufika 180 or 200kph. Now thats tested not mere words.
Nilikuwa nafanyakazi umbali wa 50m kila siku naenda na kurudi motorway ni 90% ya safari yangu. I was driving bmw 520i baada ya Volvo s60 2.4 kuendesha 200-230kph ndio mwendo wa kila siku nikiwa narudi usiku. Najua uwezo wa magari ya kijapan na ya Ulaya mengi sana,sio kwa kusoma au kuangalia youtube bali kwa kuyaendesha motorway all over UK.
 
hapana nenda youtube for more info
 
Wewe ushawahi kuendesha hizi gari au unasimuliwa? Nani kakwambia dash ziko sawa? Nimeendesha golf mk5 gti ina 320kph wakati golf ya kawaida dash ina 260kph acha uongo wewe.
Vw touareg 3.0tdi dash ina 200mph=320kph wakati vw touareg 3.2v6 dash ingine ina 260kph nyingine ina 280kph. Wewe unazijua hizi gari au unadikia? Dash bmw m3 unafikiri ni sawa na dash ya bmw 3 series ya kawaida?

Audi a4 2.0/1.8t/2.4 zote dash zinaweza kufiks 260kph tofauti ni uharaka na urahisi wa kufikia huo mwendo. Ndio maana uwezo wa gari nyingi kukimbia wanapima sana 0-100kph time na sio top speed.
 
uwe unasoma vzur kabla hujaquote basi ...hiyo mifano ya kina vW imetoka wap na mm nimeandika audi A4 tena sijasema audi zote nimesema A4 kabisa ........

manufacture wa hiyo gari kwa zile zenye engine za diesel wamesema kabisa top speed ni flan na haikuwa even near with what dash says haswa kwa zile zenye below 130ps .....afu tumia akili then kama huna idea utabisha tu .....hamna gari on earth lenye more than one ton as it mass with 190hp diesel engine linaweza fika hapo 260kph


ukilipata niambie ....au kama hujui sababu nitakwambia ni kwann
 
naona umedandia au una stress unapunguzia huku..... hivi hizo 2.0,1.8,2.4 hp si ni kama za harrier ....hivi unaijua 260kph unadhan ni rahisi sana ee ....cruiser 267hP diesel v8 cant even do that afu ndo vigari vya hp 100-190 mfano hizo za diesel iweze fika ??

najua kuna acceleration kwamba gari zitafika desired speed but kwa kuchelewa but what am telling is sio zote zinaweza fika hata ukanyagie road imenyooka kwa umbal kwa km 20 ...Remember there is amount of engine power is required for a car to reach a certain speed no matter how a car i geared ....nikimaanisha sio kwamba gari iishie 150kph afu akil yako ikutume ubadil gearbox eti itazd ...hata uweke diff yenye ratio gani gearbow iwe short ratio or iwe na gear nyingi mfano kumi ili upate wider range of ratios ...that car litaishia hapo hapo ...hizo gear labda zikusaidie kwa fuel economy basi....

kingne gari ku accelerate faster to 60mph doesnt mean itakuwa faster everywhere
mfano cruiser LX ....prado j150 with 1GD ftv takes a lot of time kufika 100 than ractis with only 107Hp nk but after cross that mark those cars above can easily get 180kph from 100kph than ractis
 
Dereva wenu alikuwa mwoga sidhani kama voksiwagen anaweza kumuacha kabisa crown
hii ni point kubwa, katika kushindana barabarani huwa ni zaidi ya speed,inatia hofu sana unapotembea kasi ya juu na kutaka kumaintain na barabara huwa hazijanyooka, kwangu mimi kwa magari yaliyotajwa hapo kikubwa ni mbinu za dereva na ujasiri wake,
 
Im wasting my time.
 
In wasting my time.
 
Yaani wabongo Kuna Mambo wanajisifiabya Kijinga Kabisa unajisifia Kifo unakipeleka Speed
 
tena bora umeiacha ipite
iyo gari ni balaa na ina uwezo wa kupiga u-turn na spidi iyo iyo iliyokupita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…