Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Shape mbaya, nimepitia comments za huu uzi zote, nimecheka sana, kuna watu ukiwaambia warudia na comments zao wanaweza jikana.. kuna wadau walikuwa wanasema Majesta ni mtoto kwa crown πππ.. kuna blaaa blaaa kibaoGita ni mashine japo wengi hawaipendi shepu yako.
Haipo sexy naona, imekaa kama kibanda umizaGita ni mashine japo wengi hawaipendi shepu yako.
Humu kuna wazee wa chai πΈ mtu anaogelea kitu hajawah hata kukionaShape mbaya, nimepitia comments za huu uzi zote, nimecheka sana, kuna watu ukiwaambia warudia na comments zao wanaweza jikana.. kuna wadau walikuwa wanasema Majesta ni mtoto kwa crown πππ.. kuna blaaa blaaa kibao
Nimecheka sana, kuna watu ukiwauliza kuhusu comments zao, watatamani wazifute.. kulikuwa na chai bila.hata sukari πππ.. sema old is gold. Jana na Leo nimedanikiwa kuona Lexus Ls kama tatu mjini.. wakurungwa naona wamekamatiaHumu kuna wazee wa chai πΈ mtu anaogelea kitu hajawah hata kukiona
Za ki long time lakini?Nimecheka sana, kuna watu ukiwauliza kuhusu comments zao, watatamani wazifute.. kulikuwa na chai bila.hata sukari πππ.. sema old is gold. Jana na Leo nimedanikiwa kuona Lexus Ls kama tatu mjini.. wakurungwa naona wamekamatia
Kuna moja ni latest kabisa, nilikutana nayo posta, mbili nilikutana nazo mlimani city zimetulia, nikakukumbuka baada ya kuona hawa hizo gari hasa ya leoZa ki long time lakini?
Majesta mtoto kwa crown? Dah [emoji23][emoji23][emoji23] kweli wana wanaropokagaShape mbaya, nimepitia comments za huu uzi zote, nimecheka sana, kuna watu ukiwaambia warudia na comments zao wanaweza jikana.. kuna wadau walikuwa wanasema Majesta ni mtoto kwa crown [emoji3][emoji3][emoji3].. kuna blaaa blaaa kibao
Ukipitia huu uzi comments kwa comments, utacheka sana.. watu walikuwa wanatoa maboko kweli kweli πππMajesta mtoto kwa crown? Dah [emoji23][emoji23][emoji23] kweli wana wanaropokaga
Mi niliona latest Crown ya 2019 ileKuna moja ni latest kabisa, nilikutana nayo posta, mbili nilikutana nazo mlimani city zimetulia, nikakukumbuka baada ya kuona hawa hizo gari hasa ya leo
Bei ya VW Toureg imechangamka
Bei yake Sasa?Mi niliona latest Crown ya 2019 ile
Lazma imegonga 100M au 90M+ ukijumuisha na kodi.Bei yake Sasa?
Hapo kwenye Kumtaja Muumba umekosea kutumia herufi ndogo.
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha Athletes Crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
'mnyonge' hagusi hapoLazma imegonga 100M au 90M+ ukijumuisha na kodi.
Napenda sana hatchback za muundo ule gita kama subaru legacy,audi,bmw n.k,la kwa gita hapana aisee,pamoja na mimbio yake sijawahi kuikubali ile gariGita ni mashine japo wengi hawaipendi shepu yako.
Atagusa vipi sasa wakati kimbilio ni Beforward ambako utaikuta ya moto zaidi πΉπΉπΉ'mnyonge' hagusi hapo
Watu wana hela ππππ. Itakuwa imetulia vibaya ni petrol au hybrid ?Mi niliona latest Crown ya 2019 ile
Nahisi ni Petrol Hybrid nmeli google lile ni la 2015 kumbe. La 2019 lamoto zaidi.Watu wana hela ππππ. Itakuwa imetulia vibaya ni petrol au hybrid ?
Pesa pesa tu hapo , Hybrid zake zitakuwa tamu sanaNahisi ni Petrol Hybrid
Sijawai vutiwa na kuzipenda Alteza aina yoyote, sizielewi elewi hata kidogoNapenda sana hatchback za muundo ule gita kama subaru legacy,audi,bmw n.k,la kwa gita hapana aisee,pamoja na mimbio yake sijawahi kuikubali ile gari