you are wasting my time fool not yoursIn wasting my time.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you are wasting my time fool not yoursIn wasting my time.
The top speed on a
Logistically, automakers can'tWewe ushawahi kuendesha hizi gari au unasimuliwa? Nani kakwambia dash ziko sawa? Nimeendesha golf mk5 gti ina 320kph wakati golf ya kawaida dash ina 260kph acha uongo wewe.
Vw touareg 3.0tdi dash ina 200mph=320kph wakati vw touareg 3.2v6 dash ingine ina 260kph nyingine ina 280kph. Wewe unazijua hizi gari au unadikia? Dash bmw m3 unafikiri ni sawa na dash ya bmw 3 series ya kawaida?
Audi a4 2.0/1.8t/2.4 zote dash zinaweza kufiks 260kph tofauti ni uharaka na urahisi wa kufikia huo mwendo. Ndio maana uwezo wa gari nyingi kukimbia wanapima sana 0-100kph time na sio top speed.
mkuu hayo mabasi ni noma yanakimbia hamna mfano na yanaweza kutembea umbali kwa zaidi ya masaa 21 bila kupumzika tofauti na yutong ambazo ukishatembea masaa 12 basi pulling yake inashukaNilipanda taqwa (spider) wiki 2 zilizopita toka tunduma kwenda Zimbabwe ile basi hata Toyota crown haioni ndani. Ile basi Nissan Diesel ambayo ilinishangaza sana,ukipita mji unaitwa mpika ni tambarare mpaka Lusaka.
Taqwa zilikua 2 ambazo zimeongozana toka tunduma kwa ligi ya hatari sana ili zivuke boda siku hiyo hiyo kwa sababu Zambia kwa sasa basi kutembea mwisho saa tatu usiku.kutoka tunduma mpaka chirundu boda ni kama km 1300 na zaidi,tumeingia boda saa tatu usiku. Tukiwa njiani kuna Land cruiser mkonge ilipita basi nilopanda mimi ila ikafeli kuipita taqwa iliyokua mbele yetu.
Ilikua kama movie ya mashindano ya magari mbele taqwa kati cruiser nyuma taqwa.Mimi nimekaa upande wa kushoto mlangoni huku naiona speedometer ya basi mshale umelalia upande wa kulia muda wote. Zambia hakuna tochi so basi ikiamsha asubuhi lazima imalize safari kabla ya saa tatu usiku. Nissan diesel ya mjapan weka mbali na watoto.
tezza ya kwanza is 200= 1gfeHichi ulichosema ungemreply uyo niliemreply mimi. Naelewa hizi vitu vizuri. Kuna watu wanafikiri Crown ikiandikwa Athlete tu basi hio ni moto wakati kuna nyengine za kawaida tu hazina ubavu wowote.
By the way, Hakuna Tezza is200, na 3sge ipo kwenye Toyota Altezza tu, Lexus is200 inatumia 1gfe
carina 3sge tango poriKuna carina zina engine ya 3s ge na 3s gte, hizi zinaweza mtunishia msuli crown athlete 4gr au Alteza 1g
1g fe ni six ina horse power 160 rpm 6400..oil lita 4Kaka hizi six cylinders huwezi kufananisha na magari yetu haya ya 4 cylinders hata kama utakuwa dereva bora hutaweza kushinda na mwenye six
Kama mtu wa kusafiri utafurahia SAFARI yako ukiwa na six cylinders
itakuwa march colletMkuu nissan gani ulidrive fuga, xtrail au.....
sio gita tu hata ya kawaida uzao wa lexus2jz iko kwenye altezza gita ni kisanga
3sge dual vvti hp210 rpm 7600unaongelea 3S yenye hp ngap labda maana 3S ipo sokoni kitambo na kuna toleo kama 5 au sita hivi mfano ya 90 had 99 ina hp 170 while 3GR ina 228hp na mwenzake 4GR ana 210+
kashindane na wish au gx 100Mark 2 hio
tezza ya kwanza is 200= 1gfe
tezza ya pili rs200=3sge
tezza ya tatu is300=2jz
HIZI ZOTE NI GENETATION YA KWANZA.
ziko sambamba na version ya lexus
Hapana mkuu...Ni Nissan note ya 2005 Inavaliana kila kitu na Nissan tiida tofauti ni muonekano wa bodyitakuwa march collet