Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

3sge ina nini cha ajabu sasa? so unataka kusema NOAH na ALTEZZA ni yaleyale? maana 3sge inakaa ktk NOAH pia..
uwe unauliza kwanza mzee NOAH ina 3s fe na ALTEZZA ina 3s ge..tofauti ni kubwa sana mzee..3s ge ni engine powerful
 
Kwa kukusaidia tu HAKUNA CROWN YENYE INJINI YA 1JZ WALA 2JZ bali CROWN ATHELETE ina INJINI ZIFUATAZO 2GR, 3GR na 4GR... Hizo zenye 1JZ na 2JZ ni Brevis na Mark II Grande yenye 2JZ tu OVER
Zipo mkuu
 
kuna 3SGE na 3SGTE ... inapaswa uelewe.. ikiwa STOCK itahangaika saaaana itatoa

110 kW (150 HP) at 6,000 rpm........

huwez fananisha na 2jz inayotoa OUTPUT 169 kW (230 HP) at 6,000 rpm.........

ALAF siku nyingine unavyozungumzia ALTEZZA uwe makini sana...
mzee 3s fe naijua ni kwenye noah na rav 4 masawe
3s ge naijua ni alteza tu kama kuna gari ingine ni modification tu
3s gte ni celica supra na baadhi ya caldina mzee
halafu alteza nimemiliki ya 1g fe na ya 3sge kwaio nafahamu sana hizi mashine


3sge dual vvti beams
(It made 210 PS (154 kW; 207 hp) at 7,600 rpm)
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
usijaribu siku ingine utapasua hako ka engine ya hiyo bebi woka yako ukikutana na jamii ya hizo gari na wenzie wenye mwendo paki pembeni wapishe ndiyo urudi road
 
mzee 3s fe naijua ni kwenye noah na rav 4 masawe
3s ge naijua ni alteza tu kama kuna gari ingine ni modification tu
3s gte ni celica supra na baadhi ya caldina mzee
halafu alteza nimemiliki ya 1g fe na ya 3sge kwaio nafahamu sana hizi mashine


3sge dual vvti beams
(It made 210 PS (154 kW; 207 hp) at 7,600 rpm)

Nakuomba uifatilie vizuri SUPRA... alaf urudi urekebishe comment yako
 
Ford sina uzoefu nazo.. ila kama unajiweza fresh tu.. tena nakuombea mungu upate Crown yenye 2jz.. swapped maana utakuwa unaniazima siku moja moja
Hee nimesahau kusema "amen" kwa uliyotamka...ee mwenyezi Mungu napokea kwa imani kutoka kwako naomba nikabarikiwe,.

Ahsante braza-kaka[emoji120]Mungu akubariki naww!!!!
 
Sasa kwa hiyo carina yako hata ungekutana na ist ungesanda tu sembuse hiyo crown babu?

Labda ungesema ulikuwa na verosa, macX, gx100/110, alterza halafu ukapitwa na crown sawa ningekuona hujui kukimbizana road

Sasa ungekutana na mnyama mwenyewe Brevis si ungeingia maporini kwa upepo wake mana ile gari ikikupiga inakupa kikumbo cha upepo kama gari kubwa.
Hasa engine ya brevis na Crown zinatofauti gani?
 
Back
Top Bottom