1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
mmh toka hapa,Naombeni bei ya hii ndiga wajameni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh toka hapa,Naombeni bei ya hii ndiga wajameni...
Hahaha bosslady huyo...mpe beimmh toka hapa,
baba niliweka kitu cha spot, na tyre kutoka nje ni style yake hiyo gari ukiwa speed sana inatoa tyre nje ili iwe stable, na kupiga mluzi ni turbo imefunguka barabara,, achana na hiyo kitu kama huwezi endesha magari makubwa.
Hahahahahahaaaa...sasa wewe toyota porte unatafuta nini highway? ata angekupita nissan march ungeleta kelele....mnyama benz ni shida
Eti umesem hata uwe na nini?????Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Cc 4300 una visima uarabuni nini?Crown Majesta ya mwaka 2013 ina engine hii 3UZ-FE V8 4300cc. Hii ni zaidi ya Athlete
Yani wewe wa Ti ulitakiwa ufukuzane na Starlet,na yenyewe ungecheza kinakuacha maana Ti kwenye milima haiendagi.hiyo ni gari dhaifu sanaMoja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama
Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.
Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga
Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Eti umesem hata uwe na nini?????
Nimefanya safari sana Ti lakini sijaona ikichoka kwenye milima huo ni uongo uliopitiliza wiki iliyopita nimetoka nayo masasi-mtwara hadi Dar nilikuwa nayapita mabasi kama yamesimama...Yani wewe wa Ti ulitakiwa ufukuzane na Starlet,na yenyewe ungecheza kinakuacha maana Ti kwenye milima haiendagi.hiyo ni gari dhaifu sana
Hiyo Cc ni zaidi ya jini mafuta... 😀 😀 😀 😀Cc 4300 una visima uarabuni nini?
KumbeNaona Dodoma wanashindana kununua crown... kila kona crown athlete, kila chaka royal saloon
Kama ni mtu wa mipango hiyo crown inafaa zaidi kwasababu kama upo dodoma ni rahisi kwenda nayo dar,arusha, mwanza na iringaNaona Dodoma wanashindana kununua crown... kila kona crown athlete, kila chaka royal saloon
Kumbe
Kama ni mtu wa mipango hiyo crown inafaa zaidi kwasababu kama upo dodoma ni rahisi kwenda nayo dar,arusha, mwanza na iringa
Mabasi siku hizi yamefungwa vifaa vinavyofanya isizidi speed 80KPHNimefanya safari sana Ti lakini sijaona ikichoka kwenye milima huo ni uongo uliopitiliza wiki iliyopita nimetoka nayo masasi-mtwara hadi Dar nilikuwa nayapita mabasi kama yamesimama...
Ti yangu ni Cc 1479 huwezi kuifananisha na starlet jaribu kuwauliza ambao wanaendesha ti ni gari ya ukweli safari ndefu na haiyumbi ukipishana na bus au Lorry
Mkuu fanya kama hujaona, si unajua wanaume wa mkoa wanajifanyaga wanajua Kila kituEti umesem hata uwe na nini?????