Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

baba niliweka kitu cha spot, na tyre kutoka nje ni style yake hiyo gari ukiwa speed sana inatoa tyre nje ili iwe stable, na kupiga mluzi ni turbo imefunguka barabara,, achana na hiyo kitu kama huwezi endesha magari makubwa.

Siku nikukuta Barabarani na hiyo Prado yako utaichukia Mkuu..
 
Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Eti umesem hata uwe na nini?????
 
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama

Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye mwinuko kidogo huku nikijiona mimi ni bingwa barabarani niliiona gari likija kwa nyuma yangu kwa kasi sana ilikuwa kama mita 130 nyuma yangu basi nikasema haiwezekani nikapitwa kijinga kiasi hicho nikachochea moto nikafikisha speed 125 hivi.....sasa nilichokuja kunishangaza ni namna yule jamaa wa crown alivyokuwa anaomba site apite yaani ilikuwa ni kitendo cha dk 6 ile gari ilinipita na sikuiona tena.

Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kuendesha CARINA Ti lakini niliambulia patupu
Hizi crown ni gari za safari ingawa inameza mafuta kama jini ila ni chombo cha maana nami namuomba mungu huku nikijichanga nichukue hii ndinga

Hongereni wote mnaoendesha athletes crown au mnaomiliki hii ndinga hakika hamjakosea
Yani wewe wa Ti ulitakiwa ufukuzane na Starlet,na yenyewe ungecheza kinakuacha maana Ti kwenye milima haiendagi.hiyo ni gari dhaifu sana
 
Yani wewe wa Ti ulitakiwa ufukuzane na Starlet,na yenyewe ungecheza kinakuacha maana Ti kwenye milima haiendagi.hiyo ni gari dhaifu sana
Nimefanya safari sana Ti lakini sijaona ikichoka kwenye milima huo ni uongo uliopitiliza wiki iliyopita nimetoka nayo masasi-mtwara hadi Dar nilikuwa nayapita mabasi kama yamesimama...
Ti yangu ni Cc 1479 huwezi kuifananisha na starlet jaribu kuwauliza ambao wanaendesha ti ni gari ya ukweli safari ndefu na haiyumbi ukipishana na bus au Lorry
 
Nimefanya safari sana Ti lakini sijaona ikichoka kwenye milima huo ni uongo uliopitiliza wiki iliyopita nimetoka nayo masasi-mtwara hadi Dar nilikuwa nayapita mabasi kama yamesimama...
Ti yangu ni Cc 1479 huwezi kuifananisha na starlet jaribu kuwauliza ambao wanaendesha ti ni gari ya ukweli safari ndefu na haiyumbi ukipishana na bus au Lorry
Mabasi siku hizi yamefungwa vifaa vinavyofanya isizidi speed 80KPH
 
Back
Top Bottom