Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Bora wewe umetoa somo juu ya carina naona huyo jamaa anabisha tu ili mradi aonekane anajua mtu ambaye anaiponda Ti kwa starlet sidhani kama amewahi kusafiri na gari safari ndef
Huyo jamaa nahisi hajui ubora wa carina SAFARI ndefu
Mkuu huyu jamaa mimi nimeamua kumsaidia tu kumuelewesha maana inaoneka hazielewi izi brand za carina na wala hajawahi kuendesha carina ata ile ndogo yenye injini ya 5A couse sifa kubwa ya carina ni stability during its accerelation iyo ndo sifa kuu ya brand ya carina injini ya 5A inazalisha cc 1490 kwa ajili ya mwendo wa gari withi 4 four piston , pili kuna carina inaitwa si premium21 my road hii ina injini ya 7A hii injini inazalisha cc 1762 hii gari ina mwendo wa kutosha sana na pia inapullingi kubwa sana iwe ni mlimani ama tambarare gari hili linacompete na akina Nissani extrail na wengine kina Opa ,Nadia ambazo ziko kwenye class ya SUV ivyo kitendo cha uyu jamaa kuilinganish Carina na starket kiukweli nimemshangaa sana maana ameonyesha wazi kuwa wal si mtu wa magari na wla hajui lile analo lisema kiukweli Csrina wala si gari nyonge kiivyo kama ambavyo wengi wanjaribu kuielezea.

Ikumbukwe kuna Carina zenye injini ndogo na Carina zenye injini kubwa na sifa kubwa ya Carina ni stsbility pindi ikiwa kwenye speed kubwa yaani Carina ukiwa kwenye mwendo wa 160kmp ni unaona kawaida tu na wala gari halitetemeki kama gari nyingine za toyota Carina iko stable sana pindi iwapo soeed na pia haina historia ya kupinduka pinduka ovyo na ni nadra sna kupata ajali

Vijana wengi wa tz muache mihemko wengi hammiliki magari ni kusoma kwenye mitandao na kisha kujifanya wajuaji

Nakupa om work chukua Carina si premium21 na iweke na Nisssan extrail kisha uone nani atumuomba poo mwenzie kifupi watu wengi wanao iundergrade carina basi ujue hawaijui na wala hawajawahi kuendesha hii gari.

Hii ni gari niliyoanzia maisha so Carina nalifahamu nje ndani unidanganyi kitu chochote

Kuhusu Crown Athlete hii ni gari lenye injini kubwa kabisa ivyo haifai kulipima na Carina crown ipime na harrier lexus na wenzie kina Brevis na mark x ila ninachotaka kuwambia ikiwa mwenye Crown siyo dreva mzuri na mwenye Carina ni dreva mzuri basi mwenye Crown itabidi awasimulie wenzie yatakayo mkuta

Carina is the best among Seneda car!!
 
Bora wewe umetoa somo juu ya carina naona huyo jamaa anabisha tu ili mradi aonekane anajua mtu ambaye anaiponda Ti kwa starlet sidhani kama amewahi kusafiri na gari safari ndef
Huyo jamaa nahisi hajui ubora wa carina SAFARI ndefu
Shida we jamaa unadhani ki-carina chako kiko stable safari ndefu kulinganisha na gari nyingine za class yake sio?

Najua hili ni gari lako la kwanza ukifanikiwa kumiliki atleast magari 3 tofauti tofauti nadhani utayazoea magari na kuona tax(carina) yako haina mambio safarini wala nini.
 
Mkuu huyu jamaa mimi nimeamua kumsaidia tu kumuelewesha maana inaoneka hazielewi izi brand za carina na wala hajawahi kuendesha carina ata ile ndogo yenye injini ya 5A couse sifa kubwa ya carina ni stability during its accerelation iyo ndo sifa kuu ya brand ya carina injini ya 5A inazalisha cc 1490 kwa ajili ya mwendo wa gari withi 4 four piston , pili kuna carina inaitwa si premium21 my road hii ina injini ya 7A hii injini inazalisha cc 1762 hii gari ina mwendo wa kutosha sana na pia inapullingi kubwa sana iwe ni mlimani ama tambarare gari hili linacompete na akina Nissani extrail na wengine kina Opa ,Nadia ambazo ziko kwenye class ya SUV ivyo kitendo cha uyu jamaa kuilinganish Carina na starket kiukweli nimemshangaa sana maana ameonyesha wazi kuwa wal si mtu wa magari na wla hajui lile analo lisema kiukweli Csrina wala si gari nyonge kiivyo kama ambavyo wengi wanjaribu kuielezea.

Ikumbukwe kuna Carina zenye injini ndogo na Carina zenye injini kubwa na sifa kubwa ya Carina ni stsbility pindi ikiwa kwenye speed kubwa yaani Carina ukiwa kwenye mwendo wa 160kmp ni unaona kawaida tu na wala gari halitetemeki kama gari nyingine za toyota Carina iko stable sana pindi iwapo soeed na pia haina historia ya kupinduka pinduka ovyo na ni nadra sna kupata ajali

Vijana wengi wa tz muache mihemko wengi hammiliki magari ni kusoma kwenye mitandao na kisha kujifanya wajuaji

Nakupa om work chukua Carina si premium21 na iweke na Nisssan extrail kisha uone nani atumuomba poo mwenzie kifupi watu wengi wanao iundergrade carina basi ujue hawaijui na wala hawajawahi kuendesha hii gari.

Hii ni gari niliyoanzia maisha so Carina nalifahamu nje ndani unidanganyi kitu chochote

Kuhusu Crown Athlete hii ni gari lenye injini kubwa kabisa ivyo haifai kulipima na Carina crown ipime na harrier lexus na wenzie kina Brevis na mark x ila ninachotaka kuwambia ikiwa mwenye Crown siyo dreva mzuri na mwenye Carina ni dreva mzuri basi mwenye Crown itabidi awasimulie wenzie yatakayo mkuta

Carina is the best among Seneda car!!
Jamaa angu unaongea maneno mengi na full ujuaji utadhani wewe ni wa kwanza kumiliki hio tax(carina) na kwa ujuaji uko vzr.

Hivi Opa tangu lini imetoka kua Hatchback ikaenda kuwa SUV?

Nadia imetoka lini kua mid-sized sedan na kua SUV?

Hivi kama unasifia hivi carina ukiendesha hata Gx 100 tu tena yenye 1G engine kwny safari ndefu si utasema GX 100 ndio gari inayokimbia kuliko zote duniani kwa akili zako(tena hapo usiguse yenye 1JZ/2JZ engine unaweza mpk kupiga bao kwa utamu wa gari).

Kukonyesha hujui unachoongelea chukua hio carina yako sijui ya cc 1762 kaipeleke ikakimbizane na mazda rx 8 cc 1300 model ya 2003 huko uone kama hio Carina yako itatoboa(though sijui hata kama hio gari unaijua,maana inaonekana unadhani hizo cc 1762 ni za maana saaaana.)

By the way unaposema"carina si inazalisha cc 1762" unamaanisha nini boss?,hahah utachekwa hapa mjini ndugu yangu tunategemea useme inazalisha torque au labda HP kadhaa we unasema inazalisha CC?hahah ujuaji sio mzuri aisee.

Unajua hio engine ya 7A unayoitetea Hp zake zinarange from 105 mpk 120 hapo?twende kwny Torque yake au tuishie hapa?sasa gari gani inaweza kua inatoka mambio kiasi hicho unachosema iwe na Hp ndogo kiasi hicho.

Hiyo engine ya 7A-FE unayoisifia balaa unaijua inatumika pia kwny baadhi ya model za Toyota corolla E100,sasa tangu lini ushawahi kusikia Corolla E100 inapewa sifa za gari ya mambio zaidi ya kusifiwa kwa kua gari yenye roho ngumu(alitumia babu mpk mjukuu anaitumia).

Unaposema "Carina is the best sedan" nadhani unamaanisha ni the best kwa sisi wanyonge wapenda spea cheap/wazee wa mafuta ya vidume/wapenda mafundi wa huku uchochoroni lkn sio sedan ya maana mbele ya SEDAN ZA KIUME.

Nadhani kwa leo inatosha,labda kama una nyongeza yoyote.
 
Mkuu huyu jamaa mimi nimeamua kumsaidia tu kumuelewesha maana inaoneka hazielewi izi brand za carina na wala hajawahi kuendesha carina ata ile ndogo yenye injini ya 5A couse sifa kubwa ya carina ni stability during its accerelation iyo ndo sifa kuu ya brand ya carina injini ya 5A inazalisha cc 1490 kwa ajili ya mwendo wa gari withi 4 four piston , pili kuna carina inaitwa si premium21 my road hii ina injini ya 7A hii injini inazalisha cc 1762 hii gari ina mwendo wa kutosha sana na pia inapullingi kubwa sana iwe ni mlimani ama tambarare gari hili linacompete na akina Nissani extrail na wengine kina Opa ,Nadia ambazo ziko kwenye class ya SUV ivyo kitendo cha uyu jamaa kuilinganish Carina na starket kiukweli nimemshangaa sana maana ameonyesha wazi kuwa wal si mtu wa magari na wla hajui lile analo lisema kiukweli Csrina wala si gari nyonge kiivyo kama ambavyo wengi wanjaribu kuielezea.

Ikumbukwe kuna Carina zenye injini ndogo na Carina zenye injini kubwa na sifa kubwa ya Carina ni stsbility pindi ikiwa kwenye speed kubwa yaani Carina ukiwa kwenye mwendo wa 160kmp ni unaona kawaida tu na wala gari halitetemeki kama gari nyingine za toyota Carina iko stable sana pindi iwapo soeed na pia haina historia ya kupinduka pinduka ovyo na ni nadra sna kupata ajali

Vijana wengi wa tz muache mihemko wengi hammiliki magari ni kusoma kwenye mitandao na kisha kujifanya wajuaji

Nakupa om work chukua Carina si premium21 na iweke na Nisssan extrail kisha uone nani atumuomba poo mwenzie kifupi watu wengi wanao iundergrade carina basi ujue hawaijui na wala hawajawahi kuendesha hii gari.

Hii ni gari niliyoanzia maisha so Carina nalifahamu nje ndani unidanganyi kitu chochote

Kuhusu Crown Athlete hii ni gari lenye injini kubwa kabisa ivyo haifai kulipima na Carina crown ipime na harrier lexus na wenzie kina Brevis na mark x ila ninachotaka kuwambia ikiwa mwenye Crown siyo dreva mzuri na mwenye Carina ni dreva mzuri basi mwenye Crown itabidi awasimulie wenzie yatakayo mkuta

Carina is the best among Seneda car!!
Ngoja nikupe dozi ya mwisho hio starlet glanza turbo gti ninayokwambia pamoja na kwamba ina cc 1300 lkn inakusumia hp 140 linganisha na carina yako hio ya 1.7l uone moto wake.

Unajua shida yako bwana mdogo nadhani bado una ka ushamba ka magari ukiona kagari kadogo dogo hivi unajua na mtiti wake barabarani utakua ni mdogo.

No wonder utasema Carina yako inakimbia kuliko Golf GTI(sababu golf gti ni kagari kadogo dogo flani hivi),usithubutu ndugu yangu hio carina yako utaipeleka garage huku umeibeba mgongoni teh teh
 
Ngoja nikupe dozi ya mwisho hio starlet glanza turbo gti ninayokwambia pamoja na kwamba ina cc 1300 lkn inakusumia hp 140 linganisha na carina yako hio ya 1.7l uone moto wake.

Unajua shida yako bwana mdogo nadhani bado una ka ushamba ka magari ukiona kagari kadogo dogo hivi unajua na mtiti wake barabarani utakua ni mdogo.

No wonder utasema Carina yako inakimbia kuliko Golf GTI(sababu golf gti ni kagari kadogo dogo flani hivi),usithubutu ndugu yangu hio carina yako utaipeleka garage huku umeibeba mgongoni teh teh
Nadhani kunavsehemu hatuelewani maana naona tunachoongea ni tofauti sa sielewi tunabishana nini mkuu!!
 
Ngoja nikupe dozi ya mwisho hio starlet glanza turbo gti ninayokwambia pamoja na kwamba ina cc 1300 lkn inakusumia hp 140 linganisha na carina yako hio ya 1.7l uone moto wake.

Unajua shida yako bwana mdogo nadhani bado una ka ushamba ka magari ukiona kagari kadogo dogo hivi unajua na mtiti wake barabarani utakua ni mdogo.

No wonder utasema Carina yako inakimbia kuliko Golf GTI(sababu golf gti ni kagari kadogo dogo flani hivi),usithubutu ndugu yangu hio carina yako utaipeleka garage huku umeibeba mgongoni teh teh
Alafu nimegundua shida kubwa iliyopo apa mkuu wewe unaongelea nadharia wakati mimi naongelea vitendo halisi my point is Carina sio gari nyonge kiasi icho ambacho wengi walijaribu kutuaminisha mkuu all in all huwezi compare Carina na Crown Athlete
 
Shida we jamaa unadhani ki-carina chako kiko stable safari ndefu kulinganisha na gari nyingine za class yake sio?

Najua hili ni gari lako la kwanza ukifanikiwa kumiliki atleast magari 3 tofauti tofauti nadhani utayazoea magari na kuona tax(carina) yako haina mambio safarini wala nini.
Naona mada hii unaipeleka kwenye utoto wa kupimana kipato kitu ambacho siwezi kufanya ingawa hatujuani najua nia yako ni kujifanya babukubwa kuliko wengine basi acha nikupe cheo ili yaishe.....hongera boss wangu
 
Mkuu jaribu kuangalia v8 ya discovery na huu upuuzi wenu humu
 
kuuliza sio ujinga , kwa mnaoendesha gari auto. ukiweka N(neutral) ukakanyaga mafuta mshale wa speed si utasoma kama kawaida ?

I mean wengine mnatupigia picha hzo dashboard zinasoma 180kpm isijekuwa mmepaki tu na mnapiga resi mnakapture picha mnatuma [emoji2]
 
kuuliza sio ujinga , kwa mnaoendesha gari auto. ukiweka N(neutral) ukakanyaga mafuta mshale wa speed si utasoma kama kawaida ?

I mean wengine mnatupigia picha hzo dashboard zinasoma 180kpm isijekuwa mmepaki tu na mnapiga resi mnakapture picha mnatuma [emoji2]
kama gari limesimama speed ni 0. hata ukanyage mafuta mpaka mwisho!! mshale wa MPH au KPH utatembea tu pale gari linapoanza kutembea.
 
Nadhani kunavsehemu hatuelewani maana naona tunachoongea ni tofauti sa sielewi tunabishana nini mkuu!!
Alafu nimegundua shida kubwa iliyopo apa mkuu wewe unaongelea nadharia wakati mimi naongelea vitendo halisi my point is Carina sio gari nyonge kiasi icho ambacho wengi walijaribu kutuaminisha mkuu all in all huwezi compare Carina na Crown Athlete
Teh teh naona mnarudisha mpira kwa kipa fasta tu,hahah
 
Aaaah mkuu bhana shoda yako nimeijua mkuu tuko pamoja ila acha kuzarau carina
Hahah Mkuu mimi sijaidharau lkn nimekwambia kitu kimoja,engine hio ya 7A ipo hata kwny corolla E100 sasa je ulishawahi kusikia sifa mojawapo ya corolla ni kukimbia sana ikiwa safari ndefu mkuu?
 
kama gari limesimama speed ni 0. hata ukanyage mafuta mpaka mwisho!! mshale wa MPH au KPH utatembea tu pale gari linapoanza kutembea.
Labda kaipiga jack sehemu zote tyres zikawa zina hang tu.
 
Back
Top Bottom