Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Na ndiyo maana wengi wanalia lia...kisa class mate wake kanunua, na yeye anajaa humo humo bila kuzingatia vigezo na masharti....kwa kweli bongo tunaoenda sana fashion...

Sent using Jamii Forums mobile app
Fasheni ya sasa ni Dualis na Subaru Forester. Imetoka Crown na Harrier tako la nyani.

Ikitoka hapo sijajua ipi inafuata.
 
Gari ya kuongelewa inatakiwa iwe na sifa zipi?! Kwa hizo sababu ulizotoa hakuna ata yenye mashiko, '' ubora wake wa mashaka'' tupe technical reasons ili tusadiki hayo unayo yaeleza.''Not friendly in all weather road" Sasa ndugu unanunua Sedan car ili ukalimie viazi huko Mabengo😂 Lete sababu zenye mashiko. Gari kuwa chini ama juu inategemea unanunua gari kwa matumiz gani. Huna sababu za msingi wewe ni mpiga porojo😂
😂😂😂Mbavuuu zangu mieee.....Eti Mabengo😂
 
Best yangu anamiliki hili bati asee anateseka na kugonga chini huyo

Yaan tuta kidogo utasikia paraaaa,

Mi namwambiaga endelea kuburuza chini[emoji28][emoji28]
Huyo sio dereva! Madereva wa kweli hawawezi kukwaruza Crown au Mark X hususani kwenye barabaraba za Bongo. Labda kama lingekuwa linaendeshwa huko Busimbiti.
 
Sasa hizo perfomance Cars utafananisha na Commuter?

Crown its a basic car, nenda ka google Lexus LFA V10 ndio walau unaweza ukaiweka sambamba na hizo gari hapo. Au Lexus GS-F
Comment niliyoi-quote haiongelei unachokisema.
 
Kinacho zungumziwa ktk thread hii ni mwendo, ukikutana nalo huko main road liache lipite. Swala la gari kuwa juu ama chini hizo ni personal choices. Watengenezaji wa magari utengeneza magari kwa sifa flani flani kutokana na uhitaji wa soko na usalama pia. Crown ni gari yenye power na kasi, kuwa chini ni kwa ajili ya stability na ndio maana ata ukiwa ktk speed ya120km/hr unalala nayo ktk kona vizuri sna tofauti na hayo magari ya juu. Jaman mjue kutofautisha kati ya Sedan na Suv. Fizikia haiongopi, haya magari yenye kasi yangetengezwa yawe juu yangekuwa yanachinja watu kila siku. Muwe na mnaangalia hayo magari yana offer nini sio kusema tu ipo chini, mtengenezaji katengeneza liwe chini kwa sababu muhimu sana. Usalama wa dereva na abiria ni muhimu sana kuliko huo mtazamo wako wa kuwa juu ama chini.
Sawa mkuu, usigombe sana
 
Comment niliyoi-quote haiongelei unachokisema.
Lakin mlengo ni uleule tu, Bentley bentayga ni Suv performance car..huwezi ukailingisha na Crown ambayo Basic car. Kilichoongezeka hapo ni Performance. Ulinganifu mzuri ingekuwa Bentley bentayga(Suv performance car) vs Porsche Taycan(Sedan performance car) je bentayga unagusa huo mziki wa taycan. Jibu ni lilelile mkuu sedan cars kwa kasi ndio zenyewe ukilinganisha na suv. Gari yenye ground clearance ndogo uwa na stability nzuri sna
 
hizo gari sio mahususi kwa barabara zetu.
Best yangu anamiliki hili bati asee anateseka na kugonga chini huyo

Yaan tuta kidogo utasikia paraaaa,

Mi namwambiaga endelea kuburuza chini[emoji28][emoji28]
 
Gari ya kuongelewa inatakiwa iwe na sifa zipi?! Kwa hizo sababu ulizotoa hakuna ata yenye mashiko, '' ubora wake wa mashaka'' tupe technical reasons ili tusadiki hayo unayo yaeleza.''Not friendly in all weather road" Sasa ndugu unanunua Sedan car ili ukalimie viazi huko Mabengo😂 Lete sababu zenye mashiko. Gari kuwa chini ama juu inategemea unanunua gari kwa matumiz gani. Huna sababu za msingi wewe ni mpiga porojo😂
Wengi wetu hatujafikia kununua gari tofauti kwa matumizi tofauti, utakuta mi nina hela yangu ya mawazo nataka kununua gari ya kutembelea na mizunguko yangu mingine. Sasa inapokuja swala la barabara zetu, kiukweli hizi gari za chini hasa crown hazifai. Hapo DSM tu siku pakinyesha mvua kubwa huwezi kuitaka hiyo crown. Ukija kwenye uimara wa mashine na suspension, bado huwezi kulinganisha walau na Subaru Forester ama Suzuki. Ila kwa vile kipenda roho hula nyama mbichi, we nunua hilo crown lako, wacha mi nikomae na Subaru...
 
Kinacho zungumziwa ktk thread hii ni mwendo, ukikutana nalo huko main road liache lipite. Swala la gari kuwa juu ama chini hizo ni personal choices. Watengenezaji wa magari utengeneza magari kwa sifa flani flani kutokana na uhitaji wa soko na usalama pia. Crown ni gari yenye power na kasi, kuwa chini ni kwa ajili ya stability na ndio maana ata ukiwa ktk speed ya120km/hr unalala nayo ktk kona vizuri sna tofauti na hayo magari ya juu. Jaman mjue kutofautisha kati ya Sedan na Suv. Fizikia haiongopi, haya magari yenye kasi yangetengezwa yawe juu yangekuwa yanachinja watu kila siku. Muwe na mnaangalia hayo magari yana offer nini sio kusema tu ipo chini, mtengenezaji katengeneza liwe chini kwa sababu muhimu sana. Usalama wa dereva na abiria ni muhimu sana kuliko huo mtazamo wako wa kuwa juu ama chini.

Na ndiyo maana wengi wanalia lia...kisa class mate wake kanunua, na yeye anajaa humo humo bila kuzingatia vigezo na masharti....kwa kweli bongo tunapenda sana fashion...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivi hivi wengi walikimbilia Brevis, na sahivi hawazitaki tena. Wabongo wengi ni watu wa hype tu.
 
Wengi wetu hatujafikia kununua gari tofauti kwa matumizi tofauti, utakuta mi nina hela yangu ya mawazo nataka kununua gari ya kutembelea na mizunguko yangu mingine. Sasa inapokuja swala la barabara zetu, kiukweli hizi gari za chini hasa crown hazifai. Hapo DSM tu siku pakinyesha mvua kubwa huwezi kuitaka hiyo crown. Ukija kwenye uimara wa mashine na suspension, bado huwezi kulinganisha walau na Subaru Forester ama Suzuki. Ila kwa vile kipenda roho hula nyama mbichi, we nunua hilo crown lako, wacha mi nikomae na Subaru...
Huu ukweli mchungu[emoji848][emoji122]
 
Wengi wetu hatujafikia kununua gari tofauti kwa matumizi tofauti, utakuta mi nina hela yangu ya mawazo nataka kununua gari ya kutembelea na mizunguko yangu mingine. Sasa inapokuja swala la barabara zetu, kiukweli hizi gari za chini hasa crown hazifai. Hapo DSM tu siku pakinyesha mvua kubwa huwezi kuitaka hiyo crown. Ukija kwenye uimara wa mashine na suspension, bado huwezi kulinganisha walau na Subaru Forester ama Suzuki. Ila kwa vile kipenda roho hula nyama mbichi, we nunua hilo crown lako, wacha mi nikomae na Subaru...
Sawa mkuu, ila mada inazungumzia nini?! Speed au gari kuwa chini?! Kama issue ni barabara kipindi cha mvua basi kwa mazingira yetu hakuna sedan car yoyote inayoweza kuvumilia iwe Benz, Bmw, toyota na n.k hapo kwenye uimara wa mashine bado sababu zako sio za kitaalam na inawezekana huna sababu za kitaalam. Ukitaja engine bora za toyota huwezi kuiacha 4GR, ni moja ya engine yenye maboresho ya hali ya juu, hapo kwenye suspension inategemea gari unaipitisha wapi gari yoyote ukiipitisha sehem isiyo sahihi lazima italeta shida. Kabla hujanunua gari tafakari unataka kuitumia kwa matumizi yapi? Crown ni sedan luxury car huwezi ipeleka mashambani kwa kuwa sio gari iliyotengezezwa kwa matumiz ya namna hyo.
 
Wengi wetu hatujafikia kununua gari tofauti kwa matumizi tofauti, utakuta mi nina hela yangu ya mawazo nataka kununua gari ya kutembelea na mizunguko yangu mingine. Sasa inapokuja swala la barabara zetu, kiukweli hizi gari za chini hasa crown hazifai. Hapo DSM tu siku pakinyesha mvua kubwa huwezi kuitaka hiyo crown. Ukija kwenye uimara wa mashine na suspension, bado huwezi kulinganisha walau na Subaru Forester ama Suzuki. Ila kwa vile kipenda roho hula nyama mbichi, we nunua hilo crown lako, wacha mi nikomae na Subaru...
Alaf tujitahid ku stick ktk mada, thread inazungumzia swala la speed wengine mda mnaleta habari ya gari kuwa chini ama kwel wabongo hatukosagi sababu😂😂. Alaf utafikiri Crown pekee ndio ipo chini kuna hizi subaru impreza hatchback ambazo zimejaa sana hapa mjini zipo chini zaid ata ya hiyo crown, subaru B4 nayo ipo chini. Kila mtu na mapenz yake tunaopenda gari za kasi na zenye stability tunakimbilia sedan.
 
Wengi wetu hatujafikia kununua gari tofauti kwa matumizi tofauti, utakuta mi nina hela yangu ya mawazo nataka kununua gari ya kutembelea na mizunguko yangu mingine. Sasa inapokuja swala la barabara zetu, kiukweli hizi gari za chini hasa crown hazifai. Hapo DSM tu siku pakinyesha mvua kubwa huwezi kuitaka hiyo crown. Ukija kwenye uimara wa mashine na suspension, bado huwezi kulinganisha walau na Subaru Forester ama Suzuki. Ila kwa vile kipenda roho hula nyama mbichi, we nunua hilo crown lako, wacha mi nikomae na Subaru...
Hahah daah mzee baba kumbe muda wote huo unaiponda crown kumbe ww mwenyewe unaendesha Subaru?hahahah kwangu haya yamekua ni maajabu sana.
 
Back
Top Bottom