Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349
- Thread starter
- #61
Dickson Mkami amemaliza akiwa wa 16 na kujiwekea rekodi yake mpya(personal best) Jafar ambae alikuwa ndie Mtz wa kwanza kuzungukwa amemaliza akiwa wa 21. Kumbuka watz wote watatu wamezungukwa leo hii!Yaani hata kundi la masikini lina tajiri wao..ha ha, nimecheka kweli