Athletics World Championships. Berlin

Athletics World Championships. Berlin

Ni new world record...
 
Last edited:
Walace Spearmon wa US ana mvuto na ametulia, ila mbele ya Boltkwenye riadha haoni ndani..
Big up to Bolt, jamaa ni hatari kwa mbio. WR again!
 
Wajuaji kama kawaida walikuwa na haya ya kusema kabla ya Fainali ya mita 200 usiku huu
BERLIN (AFP) - Usain Bolt will not break his 200 metres world record later on Thursday, American legend Michael Johnson said.

Johnson, who is here at the world championships commentating for the BBC, said that the 22-year-old Jamaican, who won the 100m world title in a world record of 9.58sec on Sunday, was showing signs of fatigue.

"His exertions this week have taken a lot out of him," said Johnson, whose 200m world record was broken by Bolt in Beijing last year in the Olympic final when the Jamaican ran 19.30sec.

"He's also been very busy and he looks tired. It is certainly less possible than it was a few nights ago. Also he has said that his training this year hasn't been as good as last year."

Kuna elements za wivu katika kauli za Micheal Johnson
 
Walace Spearmon wa US ana mvuto na ametulia, ila mbele ya Boltkwenye riadha haoni ndani..
Big up to Bolt, jamaa ni hatari kwa mbio. WR again!
Mbaya zaidi kapitwa na Alonso Edward wa Panama aliyetumia sekunde 19:81 huku yeye akimaliza akiwa wa tatu kwa kukimbia kwa sekunde 19:85(SB). Awali alitegemewa kutoa upinzani kwa Bolt...
 
Blanka Vlašic anaendelea kutisha katika kuruka juu wanawake...
 
_44092033_vlasic.jpg
Hatimae Blanka Vlašic aibuka kidedea katika kuruka juu, baada ya kuruka mita 2.04, hata hivyo sasa anajaribu kuruka 2.10 na ameshafanya attempt mbili.... bado moja
 
Man, this dude is fast.. Has he been tested for rocket fuel?.
 
Wajuaji kama kawaida walikuwa na haya ya kusema kabla ya Fainali ya mita 200 usiku huu


Kuna elements za wivu katika kauli za Micheal Johnson

Wala sio element...ni kwamba jamaa ana wivu (hatin') baada ya rekodi yake iliyokaa kwa miaka 12 kuvunjwa.

Get over it MJ...there's a new King in town...

Kuna jamaa nafanya naye kazi...aliwahi kukimbia na Bolt kwenye Jamaica national team trials....ananiambia Bolt tokea mdogo 14-16yrs alikuwa star kwao Jamaica.....http://ramblinwreck.cstv.com/sports/m-track/mtt/kinkead_kurt00.html
 
Wajuaji kama kawaida walikuwa na haya ya kusema kabla ya Fainali ya mita 200 usiku huu


Kuna elements za wivu katika kauli za Micheal Johnson

Wala sio element...ni kwamba jamaa ana wivu (hatin') baada ya rekodi yake iliyokaa kwa miaka 12 kuvunjwa.

Get over it MJ...there's a new King in town...

Kuna jamaa nafanya naye kazi...aliwahi kukimbia na Bolt kwenye Jamaica national team trials....ananiambia Bolt tokea mdogo 14-16yrs alikuwa star kwao Jamaica.....http://ramblinwreck.cstv.com/sports/m-track/mtt/kinkead_kurt00.html

Jamaa inabidi akae kimya sasa... nakumbuka hata alipokuwa kule Beijing anatoa comment kwenye BBC kama sikosei, alisema mambo almost haya haya. As much as I admired his record breaking races and unique running style, M. Johnson imefikia wakati a-acknowledge tu kwamba binadamu hu-evolve!!

The guy is simply spectacular. Hatuchelewi kujikuta hizi record zake zinabakia hapo miaka 50 au zaidi ijayo!
 
Mbaya zaidi kapitwa na Alonso Edward wa Panama aliyetumia sekunde 19:81 huku yeye akimaliza akiwa wa tatu kwa kukimbia kwa sekunde 19:85(SB). Awali alitegemewa kutoa upinzani kwa Bolt...

Yaani Bolt hakuwa na upinzani kwa gap aliyowaacha..Wallace na huyo Alonso ndo walikuwa karibu sana huku Bolt akiwa mbele.. Halafu wamarekani wivu tu, ni bora wajiandae kujaribu kuvunja hizo rekodi mana Bolt ndo hivyo kaziweka..
Kibs, pls ukipata pic ya Wallace aliyokimbia 200m naomba uiweke hapa pia.
 
Walioshinda dhahabu jana katika picha;

3127685990-21082009045451.jpg

Bolt

newsmlmmd.a0877eb2c70c136345c50340229ad3e9.1c11b.jpg

Melaine Walker wa Jamaika akishangilia ushindi wake katika mbio za mita 400 kuruka viunzi

newsmlmmd.a0877eb2c70c136345c50340229ad3e9.1c12b.jpg

Ryan Brathwaite wa Barbados akishangilia kiCCM, baada ya kushinda mbio za mita 110 kuruka viunzi

cca5d593109862ade6d56a8b8037002a.jpg

Bekele, baada ya kuwafundisha namna ya kukimbia watz katika mita 5000

 
Fainali za leo(Jioni) siku ya 7.
  • Kuruka juu- Wanaume
  • Kurusha Kisahani - Wanawake
  • Mita 200 - Wanawake
  • Mita 400 - Wanaume

Michezo mengine jioni hiyo hiyo

  • Mita 800- Nusu fainali - Wanaume
  • Mita 100 x 4 kupokezana vijiti- heat- wanaume
  • Mita 1,500 - nusu fainali- wanawake
  • Kurusha mkuki- qualification- wanaume
  • Kuruka chini - qualification- wanawake

***Mchezo unaoendelea sasa ni kutembea KM 50
 
Fainali za leo(Jioni) siku ya 7.
  • Kuruka juu- Wanaume
  • Kurusha Kisahani - Wanawake
  • Mita 200 - Wanawake
  • Mita 400 - Wanaume

Michezo mengine jioni hiyo hiyo

  • Mita 800- Nusu fainali - Wanaume
  • Mita 100 x 4 kupokezana vijiti- heat- wanaume
  • Mita 1,500 - nusu fainali- wanawake
  • Kurusha mkuki- qualification- wanaume
  • Kuruka chini - qualification- wanawake

***Mchezo unaoendelea sasa ni kutembea KM 50

Kibs hata kukimbiza kuku huwezi?
 
Kibs hata kukimbiza kuku huwezi?
😀 😀
Rekodi yangu ya mita 100 niliyoiweka pale Sheikh Amir Abeid mpaka leo haijavunjwa!

Kuna mdau kanitonya hapa, kuwa ulishindwa kukamata bata baada ya kukuzidi mbio...
 
😀 😀
Rekodi yangu ya mita 100 niliyoiweka pale Sheikh Amir Abeid mpaka leo haijavunjwa!

Kuna mdau kanitonya hapa, kuwa ulishindwa kukamata bata baada ya kukuzidi mbio...


Hahahaha haya Kibs...ulikimbia kwa muda gani...ili tuweke kumbu kumbu sahihi....mimi sikimbizi upepo nina michezo yangu...Golf, Squash etc etc
 
Back
Top Bottom