Athumani Kazi, jitathmini katika uchambuzi wako wa soka

Athumani Kazi, jitathmini katika uchambuzi wako wa soka

Kuna miaka kumi ya njaa inakuja huu mwaka wa tatu mtalalamika sana,narudia sana simba itachukua ubingwa miaka kumi wakati miaka kumi Yanga atachukua lawama tu
 
Huyo Othman Kazi mwache kama alivyo...Baadhi yetu tunamfahamu sana na kwa kutunza heshima yake hatuwezi kuyaweka mambo yake humu...Ila ni Simba wa kutupwa...Na ni bahati mbaya mno soka ya Tanzania kuwahi kuwa na refa kama yule na ambaye sasa inaelekea amejipachika kuwa eti ni mchambuzi wa soka...what a shame...Halafu kuna mchambuzi mwingine anaitwa Dauda dah hebu niishie hapa kwani ni aibu...
Hayo kwenye mpira ni mambo ya kawaida, hata goli la Wolves dhidi ya Liverpool lilikataliwa na VAR lakini VVD alishika mpira kabla ya kutoa pasi ya goli na goli likastand, ni normal katika football, tukutane Mapinduzi Cup.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga siku zote hawataki kupigiwa Penalti na wakipigiwa Penalti basi Refa kapendelea,ila wao wakipewa Penalti ni vifijo na nderemo.Yanga acheni kuingia Uwanjani na matokeo ya kushinda mambo yakigeuka lawama kwa Refa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama Yanga hawapendi kupigiwa penati ile ya jana taifa haikuwa penati na ile offside ya Nchimbi haikuwa offside. Ila tambueni kuwa hata watembeza bakuli wana team nzuri. wekeni neutral ground bila kubebwa mtaona matokeo
 
ingia youtube

kawaambie tff wenzetu wanatumia V.A.R sisi huku VAR yetu ni lines men iweje refa akatae mawazo ya msaidizi wake aliye ona tukio

alafu yule kagere kuvaa cheni, kikuku, sijui shanga ile sio makosa
Othumaan kaz akiwa anachungulia VAR yake
IMG-20200104-WA0007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio moja la offside huamuliwa na assistant referee mmoja kwenye "half" yake.
Imeanza kueleweka.
Mamlaka ya mshika kibendera ni kunyoosha kibendera, mchezo utaendelea mpaka mwamuzi wa kati apulize filimbi.
Kitatokea nini asipopuliza kipyenga?
 
Hayo kwenye mpira ni mambo ya kawaida, hata goli la Wolves dhidi ya Liverpool lilikataliwa na VAR lakini VVD alishika mpira kabla ya kutoa pasi ya goli na goli likastand, ni normal katika football, tukutane Mapinduzi Cup.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mapinduzi cup hatutakutana...forget about it....Tutakutana seond round ya ligi kuu
 
Imeanza kueleweka.
Mamlaka ya mshika kibendera ni kunyoosha kibendera, mchezo utaendelea mpaka mwamuzi wa kati apulize filimbi.
Kitatokea nini asipopuliza kipyenga?
Atakuwa hajui kazi yake. Mshika kibendera akinyosha kuashiria offside, maamuzi wa kati hana budi kupigia filimbi ya offside. Ideally inatakiwa kuwa hivyo na wenzetu wanafanya hivyo.
Sasa waamuzi wetu na miamala yao, tunajua wanachofanya.
 
Atakuwa hajui kazi yake. Mshika kibendera akinyosha kuashiria offside, maamuzi wa kati hana budi kupigia filimbi ya offside. Ideally inatakiwa kuwa hivyo na wenzetu wanafanya hivyo.
Sasa waamuzi wetu na miamala yao, tunajua wanachofanya.
Maamuzi ni ya referee.
 
Maamuzi ni ya referee.
Yes, the referee is supposed to make the final decision. No doubt about that. But, a referee can ignore the raised flag from one of his assistants at his or her peril.
The referee is obliged to blow the whistle once the offside flag is raised. Obliged is the key word.
 
Huyo Othman Kazi mwache kama alivyo...Baadhi yetu tunamfahamu sana na kwa kutunza heshima yake hatuwezi kuyaweka mambo yake humu...Ila ni Simba wa kutupwa...Na ni bahati mbaya mno soka ya Tanzania kuwahi kuwa na refa kama yule na ambaye sasa inaelekea amejipachika kuwa eti ni mchambuzi wa soka...what a shame...Halafu kuna mchambuzi mwingine anaitwa Dauda dah hebu niishie hapa kwani ni aibu...
Dauda na mashavu yake kama nya**u wa chipolopolo ni gasho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwenye match ya leo kati ya Yanga na Simba ni timu gani iliingia na matokeo mfukoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote waliingia na matokeo mfukoni, hivi ni nani mshabiki wa Yanga au hata viongozi wa Yanga waliokua wanasema hii gemu Yanga anatoa sare Au anafungwa na simba?
Wote walikua wanasema wanaifunga simba, au kuingia na matokeo uwanjani ina maana gani?
Kama Yanga hamkuingia na matokeo ilikuaje yule shabiki wa Yanga kwenda kumpiga ngumi Deo kanda?
Zile ni tambo ambazo zilikua zinasikika kutoka kila timu, na hiyo sio kuingia na matokeo, Always mshabiki anatarajia ushindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N
Nimeshangaa sana anadai penati ya simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penart kama una unazi achana na unazi binafsi nakiheshimu sikuheshimu tena kwenye uchambuzi lakini jitathimini kama ulikuwa unaficha uovu/makosa ya huyo mama Jenesia acha kabisa picha zipo clear no penalty
Inashangaza si yeye wala Azam TV waliokuwa na jibu iwapo kabla ya ile faulo hakukuwa na kosa la kuotea dhidi ya Yanga na iwapo kushindwa kuashiria faulo hiyo ndiko kulikomfanya mshika kibendera asishiriki kwenye kuonesha faulo dhidi ya Kagere. Binafsi nahisi kitendo cha mwamuzi kutoampa kadi nyekundu Yondan licha ya kutoa penalti kinatokana na nafsi yake kumgomba dhidi ya kuruhusu kule kuotea. Kazi akadai analitafuta hilo tukio kwa karibu zaidi. Badala yake akahamia kwenye swala asiloulizwa la iwapo Banka hakufanya faulo dhidi ya Tshabalala wakati wa kufunga goli la pil. Hadi leo jawabu ya kuotea huko haijatolewa na Kazi wala Azam, labda hiyo mitambo haijaona tukio lenyewe hadi sasa.
 
Back
Top Bottom