Askari Mnoko
Senior Member
- Oct 5, 2019
- 148
- 101
Ni ukweli uliodhahiri haikuwa penati,lakini tukio la Yondani kacheza faulo dhidi ya Kagere lipo wazi ,unadhani ni adhabu ipi ilikuwa sahihi kutolewa na mwamuzi ?hakukuwa na penati pale, hata mwamuzi wa pembeni alikataa hakuna penati pale ila wa kati akang'ang'ana ni penati.
Athumani anataka tufanya wajingaaaaaa! mpira tumeona vzr hakuna penati pale
Huyo mdosi pori ni Mikia FC aka Hirizi.Nimeshangaa sana anadai penati ya simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penart kama una unazi achana na unazi binafsi nakiheshimu sikuheshimu tena kwenye uchambuzi lakini jitathimini kama ulikuwa unaficha uovu/makosa ya huyo mama Jenesia acha kabisa picha zipo clear no penalty
Lile goli la mkono la tambwe lilikuwa halari ?
Ulivocomment unanishutumu mimi kama shabiki wa Yanga, mimi nazungumzia penati ya Kagere, katika mechi ya tarehe 04/01/2020.Lile goli la mkono la tambwe lilikuwa halari ?
Jinsi ile kurukushani ilivyotokea hata Mimi mtazamaji niliona kuwa ni penati.
Wakati mwingine refa anapitiwa ndio Maana wenzetu wana VAR.
Mwaka juzi mechi ya Kwanza goli la Okwi lilikataliwa, mwamuzi alidhani Kagere kaotea kumbe alipewa pasi na
Ninja.
Mlaumuni Yondani anawaghali kila mara kwa kucheza rafu za hovyo.
KMC walisawazisha kwa faulo ya kizembe ya Yondani, juzi ilibidi apewe Red kadi na faulo itengwe.
Yondani atawaghalimu sana nyie jifanyeni kama hamumuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mtu wa mwisho sahihisha kwa kusema kadi nyekundu na free kick mbona unakwama kwama
baada ya mechi usiku ule aliropoka kuwa NI penati.....kesho yake jumapili asubuhi anakiri SI penati kabisa..HOVYO SANA.Nimeshangaa sana anadai penati ya simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penart kama una unazi achana na unazi binafsi nakiheshimu sikuheshimu tena kwenye uchambuzi lakini jitathimini kama ulikuwa unaficha uovu/makosa ya huyo mama Jenesia acha kabisa picha zipo clear no penalty
Ile ilikuwa straight RED CARD, swali ni je, mngeweza kucheza na Simba zaidi ya dakika 45?