my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Tokea Corona ianze hatujawahi kuonana na boyfriend wangu, Ijumaa iliyopita tumeonana. Sasa wakati tunasex akaanza kuniuliza maswali.
Ati babe ulisema mwaka huu 2020 Tanzania imafanya uchaguzi? Nikamjibu ndio. Akaniambia basi kachukue fomu ugombee Urais nitakusaidia kupiga kampeni na kuaminia babe wangu. Tanzania inahitaji mtu kama wewe ili iweze kuendelea 😍😉
Ma babe is such a bae, ameona kipaj changu ambacho hakuna mtu mwingine aliekiona. Nimeanza kufanyia kazi ushauri wake.
Au nyie mnanishauri vipi ngombee au nisigombee?
Ati babe ulisema mwaka huu 2020 Tanzania imafanya uchaguzi? Nikamjibu ndio. Akaniambia basi kachukue fomu ugombee Urais nitakusaidia kupiga kampeni na kuaminia babe wangu. Tanzania inahitaji mtu kama wewe ili iweze kuendelea 😍😉
Ma babe is such a bae, ameona kipaj changu ambacho hakuna mtu mwingine aliekiona. Nimeanza kufanyia kazi ushauri wake.
Au nyie mnanishauri vipi ngombee au nisigombee?