Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Juzi waziri alituambia hapa Dangote kafunga kiwanda kwa sababu alitaka gas ya bureee na sisi kamwe hatumpi ng'oo
Lakini kumbe jamaa wakati huo huo analeta malori 600 na yeye yuko peace tu...
Sasa tunauliza Waziri alitundanganya mara mbili, manake ile ya kwanza alikiri kudanganya...!
Who is behind kum victimize Dangote???
Lakini kumbe jamaa wakati huo huo analeta malori 600 na yeye yuko peace tu...
Sasa tunauliza Waziri alitundanganya mara mbili, manake ile ya kwanza alikiri kudanganya...!
Who is behind kum victimize Dangote???