Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Umedanganyika sana , naweka mzigo , Bayern anakufa zaidi ya goli moja , chukua hii mkuu , enzi za bayern , barca , real madrid zimekwisha .Nawakubali Atletico Madrid lakini Alianz Arena ndio patamu, mtakapoenda Ujerumani mfunge mkanda vzr maana hamtatoka mkiwa hai.
kwa hyo unataka tuaminisha kuwa hizi ni enzi za Arse8Umedanganyika sana , naweka mzigo , Bayern anakufa zaidi ya goli moja , chukua hii mkuu , enzi za bayern , barca , real madrid zimekwisha .
Bila kutimua Wenger Arsenal haiwezi kuchukua hata kombe la mbuzi Tandika mabatini .kwa hyo unataka tuaminisha kuwa hizi ni enzi za Arse8