Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
bayern wana mtu anaelijua goli kama Suarez...achilia mbali Neymar na messi walitafuta goli moja iwe mbili moja waende extra time ilishindikana wakaanza kugongesha mabeki mipira katika mikono ili wapate tuta refa aligoma hii ni Uefa baba utafute goli lionekane lisilo na mizengwe...