Why Mr ngabu? Clarify your statementI’m so out of touch with the goings on of Tanzanian pop culture!!
Wao wanachojali ni kuvunja rekodi na kupata views wakaingiza pesa. Hawaimbi kukufurahisha wewe kama wakin Marijani Rajab au Sikinde halafu wafe wakiwa maskini.Kwahyo ubora wa music wa sasa tunaupima kweny u tube views,
Kondegang for everybodyDuh! Naona kichapo wanachotembeza Konde Gang kwa Wasafi sio cha nchi hii[emoji28][emoji28][emoji28]
Hizi ndo ngoma zinazo trend Youtube kwa Tz. WCB wanatafutwa kwa tochi[emoji13][emoji13]View attachment 1763180
Kondegang for everybody'Duh! Naona kichapo wanachotembeza Konde Gang kwa Wasafi sio cha nchi hii
Hizi ndo ngoma zinazo trend Youtube kwa Tz. WCB wanatafutwa kwa tochiView attachment 1763180
Pop music is polluted. RnB is both the way forward and the futureI’m so out of touch with the goings on of Tanzanian pop culture!!
Anamsemo wake anasema konde boi foo everibadi[emoji38][emoji38]Mmakonde japo mshamba ila mbishi sana..ndo maana wcb wanalialia tu.
Mnachekesha sana sana. Mimi sio mpenzi wa nyimbo za kigogo. Lakini leo nimetazama mwenendo wa YouTube. Nimekuta winbo unao seems umeshuka baada ya watendaji wa YouTube kupunguza watazamaji waliohurudia mara nyingi. Na kuwabakisha kwa wale walio tazama maramoja tu.Duh! Naona kichapo wanachotembeza Konde Gang kwa Wasafi sio cha nchi hii[emoji28][emoji28][emoji28]
Hizi ndo ngoma zinazo trend Youtube kwa Tz. WCB wanatafutwa kwa tochi[emoji13][emoji13]View attachment 1763180
Mkuu ndo dunia ya sasa ndomana hata kwenye uchaguzi wa viongozi alopata kura nyingi ndo anapewa madaraka, unaweza kuwa kiongozi Bora ila ukipata kura chache ndo hauna lako tenaKwahyo ubora wa music wa sasa tunaupima kweny u tube views,