MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Hz nilipata kwa 15k k/koo ila nahsi fake maana zenyewe og waweza kuta hadi 50k..ila akg fake nzuri wamefake kwa uzurii[emoji23][emoji12]Sh ngapi hizo huko uliko!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hz nilipata kwa 15k k/koo ila nahsi fake maana zenyewe og waweza kuta hadi 50k..ila akg fake nzuri wamefake kwa uzurii[emoji23][emoji12]Sh ngapi hizo huko uliko!?
HahahahahaApana bali grammy tutapatia kwenye ifinyie kwa ndani, nataka kwenda kwetu ila ananipitisha kunduchi baba
Tatizo mashabiki wa harmo ni mazezetaWe jamaa acha ushamba hakuna mtu yeyote anaeweza kuchokonoa youtube ya mtu mwingine isipokuwa youtube wenyewe
AiseeAiseeee jana ilikuwa 900K+ ghafla imefika 3.2M+
[emoji23][emoji23]naam..Anamsemo wake anasema konde boi foo everibadi[emoji38][emoji38]
Zitaongezeka. Jana usiku niliona laki 9 plus hivi ila kukawa na malalamiko sana you tube. Hivyo update ya baadaye ni lazima ipande. WCB na Vanny boy watatulia sasa. Jeshi siyo saizi yao.Naona video imeganda nimeitizama asubuhi masaa matatu yaliyopita bado views 3.2m,ukiona hivyo wanaivalidate kwa hiyo kuna mawili views ziongezeke au zipungue.
Iyo mistari yako miwili ya mwisho ni migumu sana kwa nchi iliyojaa masikini...Wimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndo anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
In mondi voiceKwahyo ubora wa music wa sasa tunaupima kweny u tube views,
Sijaelewa samahani lakiniMnachekesha sana sana. Mimi sio mpenzi wa nyimbo za kigogo. Lakini leo nimetazama mwenendo wa YouTube. Nimekuta winbo unao seems umeshuka baada ya watendaji wa YouTube kupunguza watazamaji waliohurudia mara nyingi. Na kuwabakisha kwa wale walio tazama maramoja tu.
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Sina hata mpango wa kuuangalia mpaka mzidishe promo bado haijatosha
Haya mambo huwa yananishangaza sana unatumia gharama kumuharibia mwenzio ilihali wewe hujawahi fanyiwa huo mchezo hata siku moja........izi roho zetu ni ngumu sanaUnashngaa nini aise na wakati hio ni kazi ya genge la uhalifu la wcb kuna kitu walienda kufanya au kuna watu wanawatumia kwenye hizi selfish jobs zao, kwanini wasikubali tu kua harmonze ni genious na anajtegemea kwa sasa na hana shobo na mtu, wao waendelee na kununua private jets wao si wana hela bwana
Acha ushamba wasafi wanamiliki YouTube? Mbona huwa mnajitoa ufahamu nyie au wewe ni H BabaHuu mchezo hauhitaji hasira. Japo wimbo sijaupenda, ila harmonize nampa hongera nahisi VanyBoy anataman kufuta post yake.
Mariooo namuonea huruma sanaKweli mziki wetu unakoenda hatutapata tena vijana wapya wazuri maana kuna watu wazuri sana lakini hawana fan base ndio wanataka kutoka sijui watatokea wapi maana ushindani ni views siku hizi sio mziki bora na wengi watakatishwa tamaa mziki utabaki kama mpira uwe Yanga, Simba au Azam basi na ndio tuna team 3 sasa hivi super league wengine chezeni Voda league. Hatuendi kuzuri hatujadili tena mziki mtamu au hapana ila views so sad lakini ndio hali halisi, ambao hamjatoka kimziki fanyeni kazi zingine mtapata stress na hii industry.
Kuna sehemu nimesema wasafi kumiliko youtube? Unasoma lakini hata huelewi unachokisoma.Acha ushamba wasafi wanamiliki YouTube? Mbona huwa mnajitoa ufahamu nyie au wewe ni H Baba
Kweli kabisa awilo alitufanya vichaa kweli kweli miaka ile kwa makelele yake...[emoji3][emoji3][emoji3]umenikumbusha mbaliHayo makelele mnayoyasema ndio vibe lenyewe hilo ukisikiliza nyimbo za Awilo Longomba anapenda makelele yaani namkubali sana na nimefurahi Konde kushirikiana na Awilo,
#Attitude#
Kama ujui kitu kaa kimyaAcha ushamba wasafi wanamiliki YouTube? Mbona huwa mnajitoa ufahamu nyie au wewe ni H Baba
Wengi wanaolalamika kelele ni wale waliokulia sigimbi huko Awilo wamemjulia kwa Konde Boy,Kweli kabisa awilo alitufanya vichaa kweli kweli miaka ile kwa makelele yake...[emoji3][emoji3][emoji3]umenikumbusha mbali