Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Huwezi amini, WCB nao wameview huu wimbo wa Kondeboy
 
Mimi sida shida na mmakonde tatizo anaweza kumantain hiyo form yake kama alivyofanya aliyekuwa ex boss wake? Kwanza lazima afikilie soko la nje ndio litampa pesa nyingi kuliko kuanza ligi ya ndani boss wake alikaa zaidi ya miaka 3 na ushee hakupiga show bongo alifocus kwenye lengo lake sasa konde sijui focus yake iko wapi?
 
Najua mnalaumu system ya mziki ila huu mziki mpaka kufika hapa wakulaumiwa ni Clouds na Ruge,wao waliishika industry ya mziki na walikuwa wanaamua kutokana na maslahi yao nani wampandishe na nani wa mshushe,nani wambanie haijalishi ana ubora gani,tumeona kwa Jide,FA,Sugu,Rama dee na Diamond.

Mond kakomaa mwenyewe kaanzisha label yake ambalo kila siku Clouds,EFM,EATV,Mwijaku,Soudy,H-Baba wanampiga madongo.

Harmo katoka WCB,WCB ana support ya media zote kubwa Clouds,EATV,EFM ambayo zamani alivyokuwa wCB hawakumpa na WCB nao kama kawa wanawampiga madongo.

Kiba naye vilevile aliibuliwa ili kumshusha Mondi na Clouds lkn naona wamechemka,sasa wapo na Harmo waanampromoti hata nyimbo iwe mbaya au nzuri itapigwa tu sababu wanaamini wana mkomoa Diamond kumbe wanaiumiza industry na wasanii wengine.

Mziki sasa hivi ni wa watu watatu (Kiba,Mondi,Harmo)wana fanabase kubwa na media zina wasapoti hata watoe kituko gani,matokeo yake wanazani kwa kufanya hivyo wanaikomoa timu fulani kumbe wanao umia zaidi ni wasanii ambao hawapati airtime ya kutosha.

Mfano Kayumba juzi kato wimbo wa Bomba,Mzuwanda katoa Niteke na Mario katoa nyimbo ya For You zote nzuri ila ukitizama,media wamezichunia kimtindo wao wapo na Kiba (King's),Konde (Kondegang) wanaamini wanaikomoa WCB.WCB nao wao wana deal na kazi zao tu,hata media yao inatoa airtime kwa kiasi kikubwa kwa nyimbo zao ila nyimbo za wasanii wengine wanapiga ila sizani kama inavuka 40% ya airtime.

Wasanii ambao wako independent ambao hawana team ndio wanapata tabu.Roma,Chemical,Dudu walishawahi kuliongelea hili la mziki kuendeshwa kiupendeleo kwa hizi team tatu.

Kesho sijui labda tunaweza tukawa na team Vanny au Ibrah manake hii hali inazidi kukua na washika dau wameichunia hii hali ila mbaya sana kwa mziki wa bongo.
 
Najua mnalaumu system ya mziki ila huu mziki mpaka kufika hapa wakulaumiwa ni Clouds na Ruge,wao waliishika industry ya mziki na walikuwa wanaamua kutokana na maslahi yao nani wampandishe na nani wa mshushe,nani wambanie haijalishi ana ubora gani,tumeona kwa Jide,FA,Sugu,Rama dee na Diamond.

Mond kakomaa mwenyewe kaanzisha label yake ambalo kila siku Clouds,EFM,EATV,Mwijaku,Soudy,H-Baba wanampiga madongo.

Harmo katoka WCB,WCB ana support ya media zote kubwa Clouds,EATV,EFM ambayo zamani alivyokuwa wCB hawakumpa na WCB nao kama kawa wanawampiga madongo.

Kiba naye vilevile aliibuliwa ili kumshusha Mondi na Clouds lkn naona wamechemka,sasa wapo na Harmo waanampromoti hata nyimbo iwe mbaya au nzuri itapigwa tu sababu wanaamini wana mkomoa Diamond kumbe wanaiumiza industry na wasanii wengine.

Mziki sasa hivi ni wa watu watatu (Kiba,Mondi,Harmo)wana fanabase kubwa na media zina wasapoti hata watoe kituko gani,matokeo yake wanazani kwa kufanya hivyo wanaikomoa timu fulani kumbe wanao umia zaidi ni wasanii ambao hawapati airtime ya kutosha.

Mfano Kayumba juzi kato wimbo wa Bomba,Mzuwanda katoa Niteke na Mario katoa nyimbo ya For You zote nzuri ila ukitizama,media wamezichunia kimtindo wao wapo na Kiba (King's),Konde (Kondegang) wanaamini wanaikomoa WCB.WCB nao wao wana deal na kazi zao tu,hata media yao inatoa airtime kwa kiasi kikubwa kwa nyimbo zao ila nyimbo za wasanii wengine wanapiga ila sizani kama inavuka 40% ya airtime.

Wasanii ambao wako independent ambao hawana team ndio wanapata tabu.Roma,Chemical,Dudu walishawahi kuliongelea hili la mziki kuendeshwa kiupendeleo kwa hizi team tatu.

Kesho sijui labda tunaweza tukawa na team Vanny au Ibrah manake hii hali inazidi kukua na washika dau wameichunia hii hali ila mbaya sana kwa mziki wa bongo.
Hakuna wakulaumiwa kila mtu ana nafasi yake na muda wake.

Hakuna media inayochunia nyimbo kali.
Hit song haijifichi.
Mbona media haijaichunia hii ngoma ya dogo anaitwa jay melody?
 
Hakuna wakulaumiwa kila mtu ana nafasi yake na muda wake.

Hakuna media inayochunia nyimbo kali.
Hit song haijifichi.
Mbona media haijaichunia hii ngoma ya dogo anaitwa jay melody?
Una macho lakini huoni,Roma juzi katoka kulalamika tu akaulizi "hivi mziki wetu ni wa watu watatu".Alibishana na Askofu-Tz Instagram,Chemical kaongea kile kile,Dudu naye kaongea kilekile.

Kuna wasanii wakali na wanatoa nyimbo kali ila hawana airtime,kama utabisha sawa ila fuatili hizi redio kuanzia j3-J2 utapata majibu nao wanafuata hizi team na trend za Insta na YouTube.
 
Nyie fans mko unfair sana.
Mpaka sasa Darassa hajafikisha followers 1.5m kwenye Instagram yake!
Hata kama mna matimu mjitahidii kusapoti vipaji.
Apana Darasa anastahili iyo adhabu maana Darasa alisaliti kambi na kikawaida ukisaliti kambi ni lazima uwajibishwe kwa adhabu stahiki sasa ndo anachokipata Darasa
 
Najua mnalaumu system ya mziki ila huu mziki mpaka kufika hapa wakulaumiwa ni Clouds na Ruge,wao waliishika industry ya mziki na walikuwa wanaamua kutokana na maslahi yao nani wampandishe na nani wa mshushe,nani wambanie haijalishi ana ubora gani,tumeona kwa Jide,FA,Sugu,Rama dee na Diamond.

Mond kakomaa mwenyewe kaanzisha label yake ambalo kila siku Clouds,EFM,EATV,Mwijaku,Soudy,H-Baba wanampiga madongo.

Harmo katoka WCB,WCB ana support ya media zote kubwa Clouds,EATV,EFM ambayo zamani alivyokuwa wCB hawakumpa na WCB nao kama kawa wanawampiga madongo.

Kiba naye vilevile aliibuliwa ili kumshusha Mondi na Clouds lkn naona wamechemka,sasa wapo na Harmo waanampromoti hata nyimbo iwe mbaya au nzuri itapigwa tu sababu wanaamini wana mkomoa Diamond kumbe wanaiumiza industry na wasanii wengine.

Mziki sasa hivi ni wa watu watatu (Kiba,Mondi,Harmo)wana fanabase kubwa na media zina wasapoti hata watoe kituko gani,matokeo yake wanazani kwa kufanya hivyo wanaikomoa timu fulani kumbe wanao umia zaidi ni wasanii ambao hawapati airtime ya kutosha.

Mfano Kayumba juzi kato wimbo wa Bomba,Mzuwanda katoa Niteke na Mario katoa nyimbo ya For You zote nzuri ila ukitizama,media wamezichunia kimtindo wao wapo na Kiba (King's),Konde (Kondegang) wanaamini wanaikomoa WCB.WCB nao wao wana deal na kazi zao tu,hata media yao inatoa airtime kwa kiasi kikubwa kwa nyimbo zao ila nyimbo za wasanii wengine wanapiga ila sizani kama inavuka 40% ya airtime.

Wasanii ambao wako independent ambao hawana team ndio wanapata tabu.Roma,Chemical,Dudu walishawahi kuliongelea hili la mziki kuendeshwa kiupendeleo kwa hizi team tatu.

Kesho sijui labda tunaweza tukawa na team Vanny au Ibrah manake hii hali inazidi kukua na washika dau wameichunia hii hali ila mbaya sana kwa mziki wa bongo.
Nyinyi ndio mliwapumbaza hao wasanii wenu ,, mlikiwa mnawaambia radio na TV si chochote kweny kupromote music,,

Mkaenda mbali kusema mitandao ndo kila kitu kupromote, Bila kufikilia kuwa wataofaidika ni watu wenye fan base kubwa,

Hao kina ruge walizingua tu upande wa TV na radio ila hku kwenye u tube views utawaonea tu,
 
Kambi ipi?? Acha story Zako za vijiweni, kinachowakwamisha kina darassa music wa Kiki na trending hawauwezi darassa kumuona ni mbaka anavyotoa nyimbo,
Apana Darasa anastahili iyo adhabu maana Darasa alisaliti kambi na kikawaida ukisaliti kambi ni lazima uwajibishwe kwa adhabu stahiki sasa ndo anachokipata Darasa
 
Hahaha Mkuu acha kujitia upofu,Wakuchukua kijiti cha Diamond bado ajaanza kuimba,Hivi unakumbuka balaah la Darasa na Nyimbo yake washa muziki? Au Ali kiba na Seduce Me? Leo wapo wapi ?, na wote hao walipimishwa ubavu na Diamond ila still yupo kwenye ubora wake

NOTE : Washa Muziki na Seduce me zilikua hit songs[emoji444] [emoji445]
Wala hupaswi kutumia nguvu nyingi bali tumia akili yako japo kidogo tu na kama una akili timamu basi unamjua mwalimu muda huwa anafanya maamuzi gani yani iko ivi kila chenye mwanzo basi ujue kina mwisho ni kila mpanda ngazi basi ni lazima ashuke na mwisho kabisa kila afikaye juu ni lazima ashuke chini hili likukae akilini kabisa acha ubishi usio na faida

Kila zama na kitabu chake generation ya mondi ndo inapita ivyo mzee hii ni ukubali ama ukatae sasa ivi zinakuja zama za Harmonize naye hatokaa milele ataenda na yeye kuna mtu mwingine atakuja kumshusha ili lielewe yaani kila anayefika juu ni lazima ni lazima ashuke chini kaka mbona unashindwa kutumia ubongo wako kidogo yaani iko ivi kwa sasa mondi hana tena ladha mpya yaani hana kitu kipya anachoweza kukioffer kwenywe ladha ya muziki wa generation hii na huo ndo mwisho wake naamini umeelewa usitumie nguvu kwenye jambo la kawaida hii ni kanuni ya asili ya dunia haibadiriki iko ivi ivi miaka yote karne zote

Sasa ivi Harmo ndo anayeenda kupokea kijiti cha bongo fleva kutoka kwa mondi wala usichukie hii ni kawaida kabisa kucheka ni kwa kupokezana
 
Una macho lakini huoni,Roma juzi katoka kulalamika tu akaulizi "hivi mziki wetu ni wa watu watatu".Alibishana na Askofu-Tz Instagram,Chemical kaongea kile kile,Dudu naye kaongea kilekile.

Kuna wasanii wakali na wanatoa nyimbo kali ila hawana airtime,kama utabisha sawa ila fuatili hizi redio kuanzia j3-J2 utapata majibu nao wanafuata hizi team na trend za Insta na YouTube.
Wafanye hits watu watawafata popote walipo.
Lini kulifanyika mkutano wa media zote tz na kukubaliana kuwa flani achezwe na na flani asichezwe? Kuna kazi nzuri na kuna kazi nzuri zaidi.
Sasa kama msanii amestuck kwenye mediocrity state lazima ajione kuwa anapuuzwa kumbe hajaenda extra mile kujitofautisha na wenzake wengi.

Keki ipo mezani walaji ni wengi, ili ufanikiwe kupata kipande cha keki hiyo unatakiwa ufikiri tofauti na wengi mliozunga meza hiyo, na siku zote keki hiyo humtosha kila mtu kwa nafasi yake endapo atajiongeza.
Mfano: Msanii anayeitwa Jux sio msanii anayetamba saana hapa Tz na humsikii sana kwenye media house za Tz ila ni mmoja kati ya wasanii wanaoingiza kipato kikubwa kupitia streams za social media platform.
Hao wanaolalamika wafikirie namna ingine ya kupata attention ya walaji wakiona wamepuuzwa wajue wamekosa ushawishi.
 
Ndio mnaharibu mziki. Awilo Longomba hayupo popote kwenye ramani ya mziki dunia hii. Halafu mara paaaap ana trend tz!
Mnanyionyesha mlivyo na upeo mdogo kuelewa mziki mzuri na kwenda mbele walimwengu watawashtukia follows zenu la likes zenu za mamilioni ni za kitopolo.
Yaani wewe kijana wa mtoto wa leo unatqka Awilo awe kwenye trend gani ya muziki ikiwa Awilo ashatoa hit nyingi sana kipindi ambacho wewe ulikuwa bado upo kwenye boxer ya baba ako ukumbuke Awilo ndo alikuwa anamfanya baba ako anatorokaga kwao ili aende disko akayaruke magoma ya papaa Logomba Awilo
 
Kambi ipi?? Acha story Zako za vijiweni, kinachowakwamisha kina darassa music wa Kiki na trending hawauwezi darassa kumuona ni mbaka anavyotoa nyimbo,
Unakurupuka sana boss tatizo nini ndugu
 
Nyinyi ndio mliwapumbaza hao wasanii wenu ,, mlikiwa mnawaambia radio na TV si chochote kweny kupromote music,,

Mkaenda mbali kusema mitandao ndo kila kitu kupromote, Bila kufikilia kuwa wataofaidika ni watu wenye fan base kubwa,

Hao kina ruge walizingua tu upande wa TV na radio ila hku kwenye u tube views utawaonea tu,
Sasa kwa kipindi Diamond kabanwa kila sehemu,kimbilio lake lilikiwa ni social network kulikiwa hamna means nyingine ya kupromote mziki wake.

So kwa yeye kusema radio na tv si chochote ni sawa sababu alisurvive miaka miwili bila radio kupiga nyimbo zake na diamond aliinvest kwenye digital platform mapema tokea 2013.Lakini si wote wenye talanta kama ya Mondi,kuna wasanii wanalalamika airtime ila wanaongea kimafumbo ila hii hali ipo utake husitake na ni mbaya kwa wasanii wasiokuwa na teams.
 
Wafanye hits watu watawafata popote walipo.
Lini kulifanyika mkutano wa media zote tz na kukubaliana kuwa flani achezwe na na flani asichezwe? Kuna kazi nzuri na kuna kazi nzuri zaidi.
Sasa kama msanii amestuck kwenye mediocrity state lazima ajione kuwa anapuuzwa kumbe hajaenda extra mile kujitofautisha na wenzake wengi.

Keki ipo mezani walaji ni wengi, ili ufanikiwe kupata kipande cha keki hiyo unatakiwa ufikiri tofauti na wengi mliozunga meza hiyo, na siku zote keki hiyo humtosha kila mtu kwa nafasi yake endapo atajiongeza.
Mfano: Msanii anayeitwa Jux sio msanii anayetamba saana hapa Tz na humsikii sana kwenye media house za Tz ila ni mmoja kati ya wasanii wanaoingiza kipato kikubwa kupitia streams za social media platform.
Hao wanaolalamika wafikirie namna ingine ya kupata attention ya walaji wakiona wamepuuzwa wajue wamekosa ushawishi.
Jux anacho kipata na kazi anayo ifanya ni tofauti na ni kweli mimi katika waimbaji ninao wakubali ni Jux,Ben,Barnaba yaani hawa nikiwatizama naona industry yenu still haiwapi hadhi wanayo stahili sijui kwako.
 
Sasa kwa kipindi Diamond kabanwa kila sehemu,kimbilio lake lilikiwa ni social network kulikiwa hamna means nyingine ya kupromote mziki wake.

So kwa yeye kusema radio na tv si chochote ni sawa sababu alisurvive miaka miwili bila radio kupiga nyimbo zake na diamond aliinvest kwenye digital platform mapema tokea 2015.Lakini si wote wenye talanta kama ya Mondi,kuna wasanii wanalalamika airtime ila wanaongea kimafumbo ila hii hali ipo utake husitake na ni mbaya kwa wasanii wasiokuwa na teams.
Kwaiyo Mondi yeye akiinvest kwenye social media na Digigital platform ni sawa ila Harmonize akiinvest kwenye izo izo social media na Digital platform yeye anaonekana anaharibu muziki au sio, embu tuache unafiki bhana cake ya taifa ni kubwa mno apa mezani so kila mwenye jitihada atapata kipande ukiwa mvivu ndo ivyo hutopata kipande kifupi nyimbo kali wala haijifichi yaani ngoma kali ni kali tu ata muiseme vip yenyewe inapasua mawimbi ngoma ya Harmo ni kali sana na itasumbua mno mno yaaani hamtoamini macho yenu tujitayarishe tu kumpokea king mpya wa bongofleva
 
Kwaiyo Mondi yeye akiinvest kwenye social media na Digigital platform ni sawa ila Harmonize akiinvest kwenye izo izo social media na Digital platform yeye anaonekana anaharibu muziki au sio, embu tuache unafiki bhana cake ya taifa ni kubwa mno apa mezani so kila mwenye jitihada atapata kipande ukiwa mvivu ndo ivyo hutopata kipande kifupi nyimbo kali wala haijifichi yaani ngoma kali ni kali tu ata muiseme vip yenyewe inapasua mawimbi ngoma ya Harmo ni kali sana na itasumbua mno mno yaaani hamtoamini macho yenu tujitayarishe tu kumpokea king mpya wa bongofleva
Unapayuka kama umekunywa maji ya mfereji mchafu hebu angalia series ya jamaa niliyekuwa na ongea nae anzia mwanzo.
 
Back
Top Bottom