Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Nina mashaka na hao views.....
Si kwa kasi hiyoo...
 
Mnachekesha sana sana. Mimi sio mpenzi wa nyimbo za kigogo. Lakini leo nimetazama mwenendo wa YouTube. Nimekuta winbo unao seems umeshuka baada ya watendaji wa YouTube kupunguza watazamaji waliohurudia mara nyingi. Na kuwabakisha kwa wale walio tazama maramoja tu.
Nenda ucheki tena mkuu ujiridhishe.
 
Kaangalie sasa ivi jamaa amefikisha 3.4 views in a day mzee Harmo ni nom baba mkubali mkatae Harmo is taking Mondi down
Yeye amekimbiza sema YouTube walimpunguzia viewers
 
Walikuwa wameichokonoa siyo bure ndiyo maana imeichukua muda kufika 1 milioni views ndani ya masaa 24, haiwezekani masaa 3 baadaye iende mpaka 3 milioni. Kuna namna wasafi Wana hila sana ipo siku itajulikana.
huo niuchaw kama uchawi mwingne kumnyoshea mtu kidole unaushahdi?
 
Jifunze zaidi kuhusu Youtube views. Hakuna ng'ombe yoyote anaweza kuchokonoa hao views. Youtube wanautaratibu wao wa ku monitor views from different IP address. Kumbuka huu sio mfumo wa tume ya taifa ya uchguzi Tanzania.
Ni ukosefu wa elimu tu. Hamna mtu yeyote mwenye mandatory ya kumpunguzia mwenziwe views youtube hata siku moja bali youtube wenyewe wakiona kumechezeka fouls kwenye ku-attain hizo views mfano kununua views na mtu mmoja kuingia na kutoka kuingia na kutoka ili kuongeza idadi.

Simple and clear.
Screenshot_20210425-191604.jpg
 
Una macho lakini huoni,Roma juzi katoka kulalamika tu akaulizi "hivi mziki wetu ni wa watu watatu".Alibishana na Askofu-Tz Instagram,Chemical kaongea kile kile,Dudu naye kaongea kilekile.

Kuna wasanii wakali na wanatoa nyimbo kali ila hawana airtime,kama utabisha sawa ila fuatili hizi redio kuanzia j3-J2 utapata majibu nao wanafuata hizi team na trend za Insta na YouTube.
Kwa digital platform zote hizi unaamini kuwa msanii anaweza baniwa? Dunia ya sasa unaweza kufikia watu bila hata kupigwa redioni.
 
Wimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndio anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
Mziki hauhitaji nguvu,konde hana meneja amezungukwa na waganga njaa wasiojua muziki
 
Diamond ni Msanii bora bado, ila ujio wa harmonize ni wazi unautesa sana himaya ya wasafi, huyu jamaa soon tutaona anampiku domo, he is making such a smart move, im proud of him
Mmmh sawa carrymastory
 
Unashngaa nini aise na wakati hio ni kazi ya genge la uhalifu la wcb kuna kitu walienda kufanya au kuna watu wanawatumia kwenye hizi selfish jobs zao, kwanini wasikubali tu kua harmonze ni genious na anajtegemea kwa sasa na hana shobo na mtu, wao waendelee na kununua private jets wao si wana hela bwana
umeandika kwa huruma sana kamanda. Kwani diamond ye mwenyewe anasemaje?
 
Back
Top Bottom