Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapambana kweli, Alivotoka wcb ndio ameleta ushindani nao sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ananichekesha na kiinglish chake.. my mendula...[emoji23]
Binafsi namkubali..Ni mjanja Kama Diamond..sio Kama Ally kiba
Nenda ucheki tena mkuu ujiridhishe.Mnachekesha sana sana. Mimi sio mpenzi wa nyimbo za kigogo. Lakini leo nimetazama mwenendo wa YouTube. Nimekuta winbo unao seems umeshuka baada ya watendaji wa YouTube kupunguza watazamaji waliohurudia mara nyingi. Na kuwabakisha kwa wale walio tazama maramoja tu.
Yeye amekimbiza sema YouTube walimpunguzia viewersKaangalie sasa ivi jamaa amefikisha 3.4 views in a day mzee Harmo ni nom baba mkubali mkatae Harmo is taking Mondi down
huo niuchaw kama uchawi mwingne kumnyoshea mtu kidole unaushahdi?Walikuwa wameichokonoa siyo bure ndiyo maana imeichukua muda kufika 1 milioni views ndani ya masaa 24, haiwezekani masaa 3 baadaye iende mpaka 3 milioni. Kuna namna wasafi Wana hila sana ipo siku itajulikana.
Watoto wa juzi hawaWengi wanaolalamika kelele ni wale waliokulia sigimbi huko Awilo wamemjulia kwa Konde Boy,
[emoji3]
Mobimba ya mama oooh mobimba ya mama eeeh eeeeh ..Kuna ngoma aliimba kiistaarabu katika album yake ile, ile mobimba ya mama kama sikosei
Labda Mondi wa Chitoholi.Kaangalie sasa ivi jamaa amefikisha 3.4 views in a day mzee Harmo ni nom baba mkubali mkatae Harmo is taking Mondi down
Ni ukosefu wa elimu tu. Hamna mtu yeyote mwenye mandatory ya kumpunguzia mwenziwe views youtube hata siku moja bali youtube wenyewe wakiona kumechezeka fouls kwenye ku-attain hizo views mfano kununua views na mtu mmoja kuingia na kutoka kuingia na kutoka ili kuongeza idadi.Jifunze zaidi kuhusu Youtube views. Hakuna ng'ombe yoyote anaweza kuchokonoa hao views. Youtube wanautaratibu wao wa ku monitor views from different IP address. Kumbuka huu sio mfumo wa tume ya taifa ya uchguzi Tanzania.
Kwa digital platform zote hizi unaamini kuwa msanii anaweza baniwa? Dunia ya sasa unaweza kufikia watu bila hata kupigwa redioni.Una macho lakini huoni,Roma juzi katoka kulalamika tu akaulizi "hivi mziki wetu ni wa watu watatu".Alibishana na Askofu-Tz Instagram,Chemical kaongea kile kile,Dudu naye kaongea kilekile.
Kuna wasanii wakali na wanatoa nyimbo kali ila hawana airtime,kama utabisha sawa ila fuatili hizi redio kuanzia j3-J2 utapata majibu nao wanafuata hizi team na trend za Insta na YouTube.
Mziki hauhitaji nguvu,konde hana meneja amezungukwa na waganga njaa wasiojua muzikiWimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndio anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
Mmmh sawa carrymastoryDiamond ni Msanii bora bado, ila ujio wa harmonize ni wazi unautesa sana himaya ya wasafi, huyu jamaa soon tutaona anampiku domo, he is making such a smart move, im proud of him
umeandika kwa huruma sana kamanda. Kwani diamond ye mwenyewe anasemaje?Unashngaa nini aise na wakati hio ni kazi ya genge la uhalifu la wcb kuna kitu walienda kufanya au kuna watu wanawatumia kwenye hizi selfish jobs zao, kwanini wasikubali tu kua harmonze ni genious na anajtegemea kwa sasa na hana shobo na mtu, wao waendelee na kununua private jets wao si wana hela bwana
Sorry nyimbo za kibongoSijaelewa samahani lakini