Auawa kwa kuchomwa moto akituhumiwa kumlawiti mtoto hadi kusababisha kifo chake

Auawa kwa kuchomwa moto akituhumiwa kumlawiti mtoto hadi kusababisha kifo chake

Sijui tuwalaumu wanaume au tumlaumu shetani.

Mbona hamtosheki ? Kifo ni adhabu sahihi.

Yaani huko kwa kamanda eti hawapokei simu, vile they don't care ?

Isanga mbeya kitongoji cha uchawi. Kuna miaka walikuwa wanadondoka na hizo ndege zao.

Pole mjukuu uliyedhulumiwa maisha. God take him to Ibrahim hands.
Alaumiwe shetani Ndani ya mtu

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom