Auawa nje ya ubalozi wa Marekani, Ubalozi watangaza kufunga huduma zake leo

Auawa nje ya ubalozi wa Marekani, Ubalozi watangaza kufunga huduma zake leo

Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.

''A man wielding a knife in an apparent attack on the United States embassy in Nairobi, Kenya was reportedly shot and killed after he tried to stab a guard near one of the entrances Thursday, NTV Kenya reports''

Hii ilikuwa zaidi ya ''muonekano''
 
All Shabab watakuja kenya na wataondoka na roho za wakenya wasio na hatia 80+!

Wakenya mtakapo pewa suprise na all shabab muwe wapole!

nyie wabongo mnapenda kushabikia alshabaab sana ndio maana vijana wenyu wengi wanavuka na kwenda somalia kujiunga na hawa magaidi. Inafurahisha pale unapodhani nyinyi mko immune na hawa watu, kuna sleeper cells nyingi sana inactive hapo bongo, na usijidanganye kuwa itakua hivyo milele, mda kidogo tu na utaona hao unaowasifu wanakuulia ndugu zako, hapo ndipo utajua nini maana ya terrorism na adhari zake kwa jamii.
 
Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.
Reference zako ni za hapa JF, walio andika na picha wakaweka wako eneo la tukio, wa tz tatizo mnasoma kujibu na sio kuelewa
 
na ubaloz unalindwa na fbi mm nilijua unalindwa na askar wa marekan
FBI wapo, ila ni mara chaceh sana kuonekana. Uballozinwa Marekani Tanzania unalindwa na FFU kwa nje tu, ila kwenye mitambo mle ndani wako wao wenyewe!
 
Gaidi akiwa na Kisu Hahahaaa ngoja tuwaonye wamasai wakae mbali na balozi.
Basi huku kwetu wangeuawa wengi, maana wengi wanatembea na visu hasa watu wazima haijalishi kabila gani, anakuwa na kisu chake kiunoni wala hakuna anayejua, wenyewe wanakwambia me lazima awe kisu kiunoni.
 
INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN..gaidi na kisu? Mwenye ez Mungu mwingi wa ujuzi na mwenye kuona yaliyojificha na yaliyo wazi na yeye Milki ya kila kitu kipo mikonoi mwake! basi atosha kuwa shahidi na ni mlipaji mzuri sana mwenye kuhukumu!
 
Kwa hiyo na wewe unashabikia ugaidi?
Hatetei mkuu kwa mwenye akili lazima aongee hivyo, maana hizo picha na maelezo hazina ushawishi wa kuaminisha kwamba jamaa alikuwa gaidi, sasa unategemea nini kama sio kupanda chuki kwamba msomali yeyote anayepita eneo hilo ni gaidi. Sehemu kama ile gaidi aende na kakisu kiunoni? Ahahahahahahaa
 
All Shabab watakuja kenya na wataondoka na roho za wakenya wasio na hatia 80+!

Wakenya mtakapo pewa suprise na all shabab muwe wapole!
Cyber crime na wengine huyu ni mteja wenu, anajua mambo mengi ya ugaidi kazi kwenu
 
Gaidi gani yupo na kisu na raba za kibitozi kama huzo? Magaidi wa kisomali wanavaaga yeboyebo au sendo Kumbe ubalozi wa Marekani nchini Kenya unalindwa na wamerekani wenyewe! Kweli Kenya ni dhaifu sana, halafu KDF haikufika na vifaru hapo?

Cc: MK254
 
Hivi usa ktk ubalozi wake ana CIA, FBI, sijui na kitengo gani tena
 
Balozi zote zinalindwa na watu wao, nchi husika ni ulinzi wa nje tu hawaingiliani na mfumo wao wa ulinzi wataajiri kufungua mageti na kufunga but the rest ni wao kila kitu tena nukute balozi kubwa kama marekani,uingereza, cuba,israel sijui urusi huwezi kuta security yao iko kwa nchi husika.
hapa bongo walinzi wakubwa wa marekani ni fbi na marines ndio wanao linda balozi zao wamewaajir wabongo kufungua mageti na kufunga na ffu wanalinda nje mchezo kwisha
 
Hatetei mkuu kwa mwenye akili lazima aongee hivyo, maana hizo picha na maelezo hazina ushawishi wa kuaminisha kwamba jamaa alikuwa gaidi, sasa unategemea nini kama sio kupanda chuki kwamba msomali yeyote anayepita eneo hilo ni gaidi. Sehemu kama ile gaidi aende na kakisu kiunoni? Ahahahahahahaa
alimshambulia officer na kisu wakapigana hadi officer akaanguka, huyo jamaa akawa anajaribu kumdunga kichwa lakini oficer alikua anazulia na mkono (shahidi mmoja aliekua karibu alisema baadae huyo officer alionekana akitoka damu usoni na mkononi) wakiwa hapo chini ndo huyo oficer aliweza kumsukuma huyo jamaa, hapo ndo alipata wakati wa kunyosha bunduki na kufyatua mara tatu, alafu askari mwengine alikua amesimama mlango mwengine ndo aliweza kufika na kummaliza kabisa akiwa bado anayumba yumba aliponguka chini......




alafu migitu inakuja kumtetea eti Inna lillahi wa inna ........

Mahali kama pale balozi ya umarekani hua GSU wamekita, ukijitokeza na bunduki hautabaki hata sekunde, unajuaje kama lengo la huyu jamaa ilikua ni kumua yule askari haraka na kuchukua bunduki lake na kutumia kuua wengine?????

huyu ni yule gaidi anaitwa lorn wolf attack, Lone wolf (terrorism) - Wikipedia
hawa hua ni hatari sana kuzuia, ni mtu wa kawaida ambaye amepata vifunzo kupitia youtube na facebook, anaingia wazimu na kuchukua silaha pekeyake na kujaribu kufanya tendo la kigaidi kutokana na mwito au mawaidha ya wakuu wanaongoza bikundi vya kigaidi wanaotangaza waislamu wote popote walipo, wachukue silaha na kuua jirani zao ambao si waislamu bali makafiri
 
Kama bado haijathibitika kuwa ni gaidi kwanini wamwite gaidi na wamhusishe na alshabab wakati hakuna confirmational infos


Bad attitude on head!!
 
alimshambulia officer na kisu wakapigana hadi officer akaanguka, huyo jamaa akawa anajaribu kumdunga kichwa lakini oficer alikua anazulia na mkono (shahidi mmoja aliekua karibu alisema baadae huyo officer alionekana akitoka damu usoni na mkononi) wakiwa hapo chini ndo huyo oficer aliweza kumsukuma huyo jamaa, hapo ndo alipata wakati wa kunyosha bunduki na kufyatua mara tatu, alafu askari mwengine alikua amesimama mlango mwengine ndo aliweza kufika na kummaliza kabisa akiwa bado anayumba yumba aliponguka chini......




alafu migitu inakuja kumtetea eti Inna lillahi wa inna ........

Mahali kama pale balozi ya umarekani hua GSU wamekita, ukijitokeza na bunduki hautabaki hata sekunde, unajuaje kama lengo la huyu jamaa ilikua ni kumua yule askari haraka na kuchukua bunduki lake na kutumia kuua wengine?????

huyu ni yule gaidi anaitwa lorn wolf attack, Lone wolf (terrorism) - Wikipedia
hawa hua ni hatari sana kuzuia, ni mtu wa kawaida ambaye amepata vifunzo kupitia youtube na facebook, anaingia wazimu na kuchukua silaha pekeyake na kujaribu kufanya tendo la kigaidi kutokana na mwito au mawaidha ya wakuu wanaongoza bikundi vya kigaidi wanaotangaza waislamu wote popote walipo, wachukue silaha na kuua jirani zao ambao si waislamu bali makafiri
Umeongea vizuri nikakuelewa sana sasa umeharibu pale kwa Jirani, mafunzo ya dini yanaamrisha kumtendea wema Jirani yako, hayo mengine labda umeyatoa kwenye youtube, wewe unajua kabisa chuki na dharau za ujirani ni akina nani wanazo. Ninaye hapa Jirani yangu kajitoa fahamu kwa kila kitu na kazungukwa na Islam mbona hawajamfanya chochote?
 
Umeongea vizuri nikakuelewa sana sasa umeharibu pale kwa Jirani, mafunzo ya dini yanaamrisha kumtendea wema Jirani yako, hayo mengine labda umeyatoa kwenye youtube, wewe unajua kabisa chuki na dharau za ujirani ni akina nani wanazo. Ninaye hapa Jirani yangu kajitoa fahamu kwa kila kitu na kazungukwa na Islam mbona hawajamfanya chochote?
mimi naongelea kuhusu magaidi wanvyosema, sijaongelea kuhusu nini dini ya kiislamu inavyosema
 
Back
Top Bottom