naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Ahsantemimi naongelea kuhusu magaidi wanvyosema, sijaongelea kuhusu nini dini ya kiislamu inavyosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsantemimi naongelea kuhusu magaidi wanvyosema, sijaongelea kuhusu nini dini ya kiislamu inavyosema
Soma vizuri news yenyewe wacha kukurupuka na comments za ufalaGaidi gani yupo na kisu na raba za kibitozi kama huzo? Magaidi wa kisomali wanavaaga yeboyebo au sendo Kumbe ubalozi wa Marekani nchini Kenya unalindwa na wamerekani wenyewe! Kweli Kenya ni dhaifu sana, halafu KDF haikufika na vifaru hapo?
Cc: MK254
Kaka Gaidi hakua serious kwakweli, jaani unavamia ubalozi wa marekani na kisu?kama alikuwa anafanya akutani imekula kwake
Yeah ...ni KDF ndio walio muuwa wala sio wamarekani ....falaihuyo gaidi nae ndo aliingia choo cha kike kweli aldhani kdf hao
Wewe na Motochini kaeni somaliaHuyo chizi mmoja wa Nairobi maisha yamemshinda, Al Shabab wanakwenda ku attack na kisu kimoja? Sivyo tulivyozowea kuwasoma.
ndiyo maana mimi akili yangu inaniambia alikuwa anafanya kautani si bureGai
Kaka Gaidi hakua serious kwakweli, jaani unavamia ubalozi wa marekani na kisu?
HaaaaaaaaaaNdio maana mie nikipita pale ubalozi wa marekani sitaki hata kugeuka,wanaweza kukufananisha na gaidi ikawa shida.
Ulikuwa hujui au, nani akulindie, kila balozi zinalindwa na askari wa nchi yao[emoji6]Inamaana hata balozi zetu nje ya nchi zinalindwa na polisi wetu ama!!???
Wakenya mmeanza kutubashria watz ugaidi since 2011 na mpaka leo 2016 hali ni shwari.nyie wabongo mnapenda kushabikia alshabaab sana ndio maana vijana wenyu wengi wanavuka na kwenda somalia kujiunga na hawa magaidi. Inafurahisha pale unapodhani nyinyi mko immune na hawa watu, kuna sleeper cells nyingi sana inactive hapo bongo, na usijidanganye kuwa itakua hivyo milele, mda kidogo tu na utaona hao unaowasifu wanakuulia ndugu zako, hapo ndipo utajua nini maana ya terrorism na adhari zake kwa jamii.
Wewe na Motochini kaeni somalia
hali ni shwari kwasababu hamjawai fanya jambo lolote kuwakosea.... hamwendi kwa vikao vya kupambana na ugaidi, hamsaidii nchi yoyote inakumbwa na ugaidi....... hao magaidi kwasasa wanaendea vita na mafunzo simalia wengine wanarudi huko..ile siku mtafanya lolote kuwakosea hapo ndo mambo huchafuka..... huku kenya walideclare jihad kwa nchi nzima ya kenyaWakenya mmeanza kutubashria watz ugaidi since 2011 na mpaka leo 2016 hali ni shwari.