Auawa nje ya ubalozi wa Marekani, Ubalozi watangaza kufunga huduma zake leo

 
Hakuna damu kwenye kisu, tafuta picha huku za huyo msomali na kisu chake, chunguza kama utaona damu kwenye kisu.
Umekaa chini ukabeba kisu .....alaf ukaona imekauka ....nkt
 
Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.
Hicho kisu alkua amebeba cha nin? Angefanikiwa kufanya uovu wake nadhan ungekua WA Kwanza kulaum mamlaka za usalama
 
Hicho
Acheni uzushi, je kuna kitu gani kinaonesha ni gaidi??? Mbona huyo anaonekana ni mpita njia tu ambaye kauliwa. Inasikitisha sana kama tutauana kwa kisingizio cha muonekano. Ifikie pahala tuaminiane.
Hicho kisu alichokua nacho ni cha kukatia nini ubalozini?
We ni mpuuuzi sana... Very useless
 
KENYA IS NOT A SAFE COUNTRY FOR:-
•tourist
•visit
•dangerous for foreigners.
 
Wee una uhakika gani na aliyeuwawa alikuwa gaidi? Au kwasababu hapo umewaona fbi? Dah
Ukisoma maandiko hapo juu wanasema alimvamia afisa mmojawapo kwa kisu akitaka kumchoma. Pitia upya hii thread kuanzia pale mwanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…