"Auaye kwa upanga atakufa kwa upanga " mathayo 26:52

"Auaye kwa upanga atakufa kwa upanga " mathayo 26:52

Ukivamiwa jitetee.

Ukitumiwa watu wasiojulikana, hoji.

Ukiwekewa sumu kwenye chakula,bahati mbaya.

Ukimwagiwa conc. Sulfuric acid, bahati mbaya.

Hii ndiyo Africa yetu.
Viongozi wa afrika wanamatatizo ya afya ya akili
 
Unamuweka mtu ndani kwa zaidi ya siku 28 kwa kosa lenye dhamana. NCHI HII INA LAANA, ya Machi 2021 lazima yatajirudia muda si mrefu

yako mlangoni, na iwe hivyo tu maana hamna namna !
 
Wanasiasa wa hili taifa wanamwaga Damu sana
Leo naingia bila salamu! " What goes around comes around"
Mungu amekasilika sana Juu ya mambo yanayoendelea Tanzania.
Wanasiasa mnalingiza taifa kwenye laana, hiyo mipango yenu mibaya juu" kiti cha enzi" Mungu haupendi kabisa na amechukia sana.
Madaraka yana mwisho wake, mbona fedha nyingi mnazo , mmeficha fedha karibuni kila bank kuu za dunia hii, lakini BAdo hamjalizika, mnamwaga damu za watu kisa madaraka,na fedha.

Uovu na mauwaji mnayopanga juu ya" big fishes" na watu wasio na hatia ni kuwatesa wananchi na kulingiza taifa kwenye laana kubwa sana. Ivi nyie " machichidodo" mtauwana mpaka lini? Kisa kiti! Kisa fedha.
Ninawaamuru kwa jina la Yesu alie hai hacheni mipango yenu hiyo mara moja.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Mwinjilisti ni mtu mzito sana.

Unaonaje kama ukienda kwenye ofisi zao na ukawaeleza yanayo kukera.

Sio wote wapo JF.
Ujumbe umefika mkuu, kuna watu wao wapo humu,watawafikishia tu
 
Back
Top Bottom