Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

Aubin Kramo aliyerogwa na mbaya wa Diara anarejea kutokea Kwao, je, mrogaji ameshajiandaa kwa Kisasi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wiki iliyopita GENTAMYCINE nilikuomba Wewe Mrogaji wake ambaye ni Kiboko ya Kipa Diara kuwa mrudishie haraka Soksi yake uliyoiiba Bunju na kuipeleka kwa Mtaalam Mbeya na Kigoma hukutaka kunisikia sasa Jamaa ( Aubin Kramo ) yuko njiani kurejea kutoka Kwao na kasema lazima akulipizie Kisasi kwa Kumtesa Kwako huku ukiwa hata Kufunga kwenyewe Magoli hufungi zaidi tu ya Miguvu guvu yako isiyo na msaada kivile.

Kazi ipo.....!!
 
Wiki iliyopita GENTAMYCINE nilikuomba Wewe Mrogaji wake ambaye ni Kiboko ya Kipa Diara kuwa mrudishie haraka Soksi yake uliyoiiba Bunju na kuipeleka kwa Mtaalam Mbeya na Kigoma hukutaka kunisikia sasa Jamaa ( Aubin Kramo ) yuko njiani kurejea kutoka Kwao na kasema lazima akulipizie Kisasi kwa Kumtesa Kwako huku ukiwa hata Kufunga kwenyewe Magoli hufungi zaidi tu ya Miguvu guvu yako isiyo na msaada kivile.

Kazi ipo.....!!
yetu macho
 
Bidii ya KIBU Denis Uwanjani ni kubwa mno.

Zamani Simba ilikuwa inategemea Mafundi WATUPU sasa Simba Imehama kutoka Mafundi na kwenda kwa wachezaji wenye Bidii wanaojituma mno wafia timu kama;

KIBU Denis Unayemuandama.
Mzamiru yassin.
Saido Ntibazonkiza.
Sadio Kanute nk.

HAO ni wachezaji wagumu mno wako fiti kuliko mchezaji yoyote Tanzania...

Mfano Mzamiru Workrate yake ni KM 16 kwa mchezo
Chama anakimbia km 5 tu.

FIKICHA AKILI WEWE LICHAWI.
 
Wiki iliyopita GENTAMYCINE nilikuomba Wewe Mrogaji wake ambaye ni Kiboko ya Kipa Diara kuwa mrudishie haraka Soksi yake uliyoiiba Bunju na kuipeleka kwa Mtaalam Mbeya na Kigoma hukutaka kunisikia sasa Jamaa ( Aubin Kramo ) yuko njiani kurejea kutoka Kwao na kasema lazima akulipizie Kisasi kwa Kumtesa Kwako huku ukiwa hata Kufunga kwenyewe Magoli hufungi zaidi tu ya Miguvu guvu yako isiyo na msaada kivile.

Kazi ipo.....!!
Si umtaje tu kibu dinho
 
Bidii ya KIBU Denis Uwanjani ni kubwa mno.

Zamani Simba ilikuwa inategemea Mafundi WATUPU sasa Simba Imehama kutoka Mafundi na kwenda kwa wachezaji wenye Bidii wanaojituma mno wafia timu kama;

KIBU Denis Unayemuandama.
Mzamiru yassin.
Saido Ntibazonkiza.
Sadio Kanute nk.

HAO ni wachezaji wagumu mno wako fiti kuliko mchezaji yoyote Tanzania...

Mfano Mzamiru Workrate yake ni KM 16 kwa mchezo
Chama anakimbia km 5 tu.

FIKICHA AKILI WEWE LICHAWI.
Acha kunipotezea muda Simbilizi Wewe sawa?
 
Akili za kimasikini siku zote ndio mawazo Yao.

Kurogana, UCHAWI, USHIRIKINA nk.

Ukizidisha KUAMINI UCHAWI na NGUVU za GIZA na wewe Lazima uwe mchawi.

WEWE NI MCHAWI NA MADA ZAKO ZA KICHOCHEZI, UCHONGANISHI NA MAFARAKANO.

PUMBAFU KABISA.
Acha kunipotezea muda Simbilizi Wewe sawa?
 
Hili jamaa ni TAHIRA sana Kila Mtu akiumia lenyewe linaamini Amerogwa.

Sema Uongozi WA JF ndio unaolipa Mailage

Kutuletea MADA , a KIPUMBAFU hapa Jukwaani

FROM GREAT THINKER TO FULIISHIII.
GENTAMYCINE ni Taahira kuliko Aliyekuzaa?
 
Mimi ni Uto pure...mwanzo nilikuwa simkubali chibu,ila baada ya kuona watu wenye akili wanamkubali ikabidi ntulize wenge langu na kuanza kumfatilia uwanjani aisee ghafla nimekiwa shabiki wa kibu D kibu denga isipokuwa tu anapocheza na timu yangu pendwa wananchiiiiiìii.
 
Huu uzi ni upuuzi mtupu. Tumia akili yako kutafakari kabla ya kupost maneno ta kuokoteza kwenye vijiwe vya Kahawa. Pale Karume karibu na TFF. We jamaa nilishakwambia tafuta msaada wa Kisaikolojia maana afya yako ya akili haiko sawa.
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom