Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Uko sahihi kabisa ndio maana sisi simba tulimuacha mzee peter banda tukabaki na kijana Mohamed Hussei,manula na kapombe na dogo mzamiruFadlu mwenyewe hafiki kwa Aucho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa ndio maana sisi simba tulimuacha mzee peter banda tukabaki na kijana Mohamed Hussei,manula na kapombe na dogo mzamiruFadlu mwenyewe hafiki kwa Aucho
Mbona hawatofautiani sana na kapombe ila nasikia zimbwe kawazidi miaka mitatu tuHivi Aucho kamzidi miaka mingapi engineer?
Kumbukumbu zangu hazipo vizuri hivi ni minne au mitano?
Ata kama akimzidi miaka 10 kazi yake uwanjani iliwafanya mkatandikwa mechi 3 mfululizo na bado ataendelea kuwajibu kwa vitendo na sio miaka, umesajili miaka na bado ukachezea kichapo kingine na refa akawaokoa zingesoma nyingine 4 kudadadeki!Hivi Aucho kamzidi miaka mingapi engineer?
Kumbukumbu zangu hazipo vizuri hivi ni minne au mitano?