Aucho Vs Chama nani zaidi?

Aucho Vs Chama nani zaidi?

Narudia tena ni ngumu kulinganisha wachezaji wenye majukumu mawili tofauti, sana sana mtaenda kwenye matokeo ya ujumla (mafanikio) lakini hautoweza kuwalinganisha kiufundi mpira hauko hivyo, je unawezaje kumlinganisha Neymar na De Gea? Zaidi tu ya mtaenda kwenye mafanikio ya mmoja mmoja na kushindwa kuwachambua kwa kiufundi
Hata mimi nakubali ni ngumu ila inawezekana kuwashindanisha, ndio maana kwenye tuzo huwa wanashindanisha watu wa namba tofauti na still mshindi anapatikana
 
Hata mimi nakubali ni ngumu ila inawezekana kuwashindanisha, ndio maana kwenye tuzo huwa wanashindanisha watu wa namba tofauti na still mshindi anapatikana
Kwenye tuzo huwa kuna vipengele kama vile kipa bora, mchezaji bora, mfungaji bora. Kama kuhusu mchezaji bora basi wanachukua mchezaji aliyetekeza majukumu yake kwa kiasi kikubwa kuliko wote. Je unalinganisha chama na Aucho katika engo ipi ili kupata aliye bora?
 
Tumwona Chama akidrible na kukusanya kundi na kulipoteza , lakini Aucho ni mtu wa pasi tu wakati Chama anafanya vyote ,ngoja tusubiri Aucho kwenye viwanja vya mikoani
Kwani mechi dhidi ya Kagera na dhidi ya Kmc ilikuwa sio mikoani?
 
Aucho mbele KMC,Kagera na Wengine NBC League yupo Vizuri....! Sasa Rivers na Wengineo huko CAF Tuornarments bado hajatuthibitisha....Hatuwezi Kumringanisha na Mwamba Wa Lusaka.
Aucho hakucheza uko CAF
 
Caf kashindwa kuivusha timu hata shirikisho wa nini huyo si takataka tu .
Endelea kufatilia rede maana mpira umekushinda kuufatilia. Aucho, Djuma shabani, Mayele na Aucho hawakucheza michuano ya CAF dhidi ya Rivers United
 
Utopolo buanna!
Chama ni wa kulinganisha na Aucho kweli?

Chama ni kiungo mshambuliaji (AM)bora ukanda mzima wa CECAFA na kusini mwa Afrika.

Mchezaji mwenye akili kubwa.

Aucho anajua kwa kiasi chake, na pia namba wanazocheza ni tofauti.
 
Endelea kufatilia rede maana mpira umekushinda kuufatilia. Aucho, Djuma shabani, Mayele na Aucho hawakucheza michuano ya CAF dhidi ya Rivers United

Tusubiri Yanga ifike kwanza Nusu Fainali ili aweze anagalau kuwa sawa na CCC. Kama hawez kuifikisha Nusu ana akaishia Robo, basi CCC bado ni bora mara mbili dhidi ya huyo mkamiaji! Chama ni fundi sana
 
Yani kuifunga KMC ndio umlinganishe na chama. Aucho mlinganishe na Baraka Gamba Majogoro

1635681956210.png
 
Back
Top Bottom