Mwache afunge nalo ndoa. Na hizi njia zetu za madimbwi sensor zitamfundisha akili tu 🤣🤣🤣 mie wa Crown ntaenda kunyofoa kwenye gari zilizokatwa pale Tandale.Audi A4, spear zake ikimbie Kama ukoma. Ukiinunua ni lako haliuziki tena ni mali yako. Spear zake hazipatikani, mafundi wake hawampo. Kama wapo hawajui Cha kufanya kuhusu ilo gari. Hata disc zake kupata ni shidaaaaa
Mkuu maandalizi ya majukumu unayaanza sasa, usisubiri yakukute ukose hata hela ya brown bread!Na ndio maana nalitaka kabla sijawa na majukumu....majukumu yakianza tu unabadilisha upepo angani
HakikaMkuu maandalizi ta majukumu unayaanza sasa, usisubiri yakukute ukose hata hela ya brown bread!
Daaa, nilivutiwa na VW Tiguan, naona iko poa sana. Sasa hii comment yako, nimechoka hoi.Audi, BMW ,vw , nissan, RVR, pajero, ukiinunua umeoa mke wa tisa au umeolewa mke wa tisa. Hayo magari epukaneni nayo .
Kama Techno tu.. zimekuwa nyingi sanaaaAcha dharau wewe..Crown unafananisha na kigari cha mpito hio verossa! Crown ni executive Sedan. Japan ndio wanatumia mawaziri hizo.Ni gari iliotengenezwa kwa umakini wa hali ya juu.
Kuwa nyingi manaake zimekubalikaKama Techno tu.. zimekuwa nyingi sanaaa
Sio cheap eehKuwa nyingi manaake zimekubalika
Crown build ina poor build quality.Crown ni verosa lililochangamka....hii gari inaporomoka mdogo mdogo heshima
Manake kipato kidogo cha wateja.Kuwa nyingi manaake zimekubalika
Unanunua gari uuze au utumie?Audi, BMW ,vw , nissan, RVR, pajero, ukiinunua umeoa mke wa tisa au umeolewa mke wa tisa. Hayo magari epukaneni nayo .
Bei ya audi A4 na Toyota Crown zipoje Beforward?Manake kipato kidogo cha wateja.
Sio kukubalika.
Kwanini hizo Tecno hazikubaliki EU na USA?
Ila ndo bidhaa pendwa ya poor countries.
Sawa na Yutong, Faw au Howo.
Usiogopeshwe na maneno ya wanazi wa Toyota humu. Chukua chuma unachopenda. Mafundi wapo wengi, wauzaji wa spares wapo wengi na ukitaka unanunua spares mwenyewe.Daaa, nilivutiwa na VW Tiguan, naona iko poa sana. Sasa hii comment yako, nimechoka hoi.
Tanzania sijui tuna shida gani kung'ang'ania Toyota tu? Nchi nyingi tena zingine ndogo tu wanaendesha magari ya Europe na hakuna shida yoyote na spea zipo. Tanzania ni tofauti kabisa. Kwa mfano, Kenya tu hapo wana spea kibao za Pegeout, BMW,AUDI, RANGE ROVER, VW ET AL!
Sijawahi pata lift ya Audi zaidi ya kuziona tu kwa road. Crown tamu banaChukua Audi A4 mkuu ni zuri nalipendaga ila gharama zake kiufundi kidogo zimechangamka🤔ila utaimudu bana chukua hiyo.
Wananunua gari za kutunza back yard 😁😁😁😁Mmmh!
Nipo hapa kujifunza kwa wajuzi.
Mimi ninashauri nunua gari utakayoweza kumudu gharama za mafuta na spare parts. Tofauti na hapo usije ukamlaumu mtu
Acha dharau wewe..Crown unafananisha na kigari cha mpito hio verossa! Crown ni executive Sedan. Japan ndio wanatumia mawaziri hizo.Ni gari iliotengenezwa kwa umakini wa hali ya juu.