myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
SawasawaHizo comments huwezi zikosa kwa gari yeyote ile.
Niliwahi fanya utafiti wa Mini Cooper. Negative comments ni nyingi kuliko positive ones.
Soma comments hata za LC 200 series. Lazima uzikute mbaya.
Hizo comments zisikutishe chochote, hata Crown wapo na negative comments.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Toyota haijawahi kua na changamoto kwny mazingira ya kibongo bongo,we vuta tu chombo.Afadhali leo nimekutana na wataalamu wa haya mambo hapa jukwaani. Nina mpango wa kuagiza hii ndude Siku za usoni, ebu nipeni ushauri wenu ndugu wataalam. Premio new modelView attachment 1661559
SpareTOYOTA ni spare tu, hukuni kichwa.
Sema neno mkuu...Nikisoma thread kama hizi huwa nacheka sana!
Na hiyo miji mikubwa mtu usipojiongeza, bado ni msala kwa hizi gari...Mimi ni muumini wa kuamini mtu anunue kile akipendacho,ingawa pia ni JDM fan dam dam.
Audi/Bmw/Benz ningeshauri mtu anunue akiwa anaishi kwny hii miji mikubwa Dar/Mwz/Arusha/Dodoma kwa ajili ya kupata spea kwa urahisi na upatikanaji wa mafundi wake lkn uko unaishi wilaya ya Tanganyika mkoani katavi aisee utajua haujui.
Sure,lkn angalau nusu shari kuliko shari kamili mzee baba.Na hiyo miji mikubwa mtu usipojiongeza, bado ni msala kwa hizi gari...
Sina la kusema mkuuSema neno mkuu...
Na umasikini unachangia hamna ambae hapendi European carMimi sijasema AUDI ni gari nzuri kwa mazingira yetu, namaanisha pamoja na kuwa AUDI ni Cheap kuliko CROWN bado watu wananunua zaidi CROWN kuliko AUDI na sababu kubwa ni uwezo wa kumudu matengenezo na gari kuvumilia mazingira yetu..
Used vehicles Sio?Acha hizo.....usikopi malalamiko kwenye group za wazungu kuhakalisha vimadai vyako...mimi nimetumia Audi 4 na BMW 3series...nina uzoefu nazo..
Utasikia, "naomba tukutane kwa fundi Mudi wa pale chini ya mwembe tuifanyie sevisi tukufurahishe"...tatizo huwa tunatoa ushauri kwa mazoea kuliko uhalisia, hata gereji zetu walishazoea kuandika "spear zinapatikana hapa" Na watu wanaona ni sawa tu, cha muhimu nunua kitu roho inapenda na itunzeBro ukiwasikiliza hao toyota user unaweza acha kununua european cars, Mimi kipindi nataka kununua gari nilikuwa napenda sana BMW for no reason nilijikuta nimeipenda tu hii bland, sasa nikawa natafuta ushauli kwa wabongo wenzangu, 80% walinitisha nilitaka kukata tamaa kununua BM. Nikajilipua nikaagiza X1, nilichokutana nacho ni tofauti sana na maneno yao. Mwaka wa tatu sasa gari iko vyema na easy maintainance. Huku mtandaoni utasikia mengine ila ukiingia balabalani utakutana na mengine. Hizi BMW na hiyo tiguan zimejaa balabalani na hauzikuti juu ya mawe ila ukija mtandaoni utasikia wanakwambia spare zake hazipatikani. Na cha kushangaza ni kuwaona toyota users ndio wanaongoza kuongelea european cars.
Premio ni gari ambazo ukinunua unajenga bifu na mafundi... Maana wanajua wamekosa kazi hapo... Hizo gari haziendi gereji kama ni mtunzi mzuri kwahiyo mafundi wanakosa kazi😅😅😅Afadhali leo nimekutana na wataalamu wa haya mambo hapa jukwaani. Nina mpango wa kuagiza hii ndude Siku za usoni, ebu nipeni ushauri wenu ndugu wataalam. Premio new modelView attachment 1661559
Well SaidKwa kifupi tu:
Audi ni Slayqueen mrembo sana mbwembwe nyingi na gharama za hali ya juu. Havumili shida hata kidogo.
Crown ni wife material ila mrembo asilia au natural. Anavumilia hata wakati wa shida.
Ni hayo tu...kama una akili utajiongeza.
Ukisikiliza sana wadau unaweza amini hakuna spares za european cars bongo, kumbe ni pesa yako tu, kila spea ipo. Gharama kubwa ya spea ni kutokana kuwa ni genuine. Hata ukitaka spare og ya toyota utapata kwa gharama kubwa kama hizi. Spea og zinaku offee mileage kubwa sana.Utasikia, "naomba tukutane kwa fundi Mudi wa pale chini ya mwembe tuifanyie sevisi tukufurahishe"...tatizo huwa tunatoa ushauri kwa mazoea kuliko uhalisia, hata gereji zetu walishazoea kuandika "spear zinapatikana hapa" Na watu wanaona ni sawa tu, cha muhimu nunua kitu roho inapenda na itunze
kama suala ni bei zipo tecno za bei kali kuliko iphoneNime prove huko beforward, waache kulinganisha Toyota crown na vitu vya kijinga
Crown ni toleo jipya kuanzia lini ?Ndo nilichojaribu kazia..haina tofauti na mark x tofauti tu ndo Toledo jipya....ukiacha ugharama wa vifaa ni ujinga kufananisha German machine kama AUDI na crown