AUDIO: Hili ni tatizo gani kwenye engine?

AUDIO: Hili ni tatizo gani kwenye engine?

Huo mlio maana yake ni kuwa injini yako ina misifire; yaani haichomi mafuta vizuri. Suspect mkubwa sana hapo ni injectors. Inaoinekana kama vile injector hazi-atomize mafuta sawasawa. Ukiweza tafuta mafundi wa kukukagulia na kukusafishia injectors. Suspect namba mbili ni spark plugs hasa zikiwa na masizi mengi hushindwa kuchoma mafuta sawasawa na kusababisha misfire.

Kitu cha pili inawezekana una bearing ama za waterpump au za air conditioner zimeshasagika. Kwa vile unapoteza coolant, inawezekana sana kuwa bearing za waterpump zimeshasagika; waambie mafundi wako aangalia bearing hizo pia.
Mkuu
Upo upande wangu kabisa "injectors" kwa sababu naamini petrol treatments huwa haziwi recommended na Toyota
 
Mkuu
Upo upande wangu kabisa "injectors" kwa sababu naamini petrol treatments huwa haziwi recommended na Toyota

Majuzi last week nilibadili injector moja ilionekana mbovu baada ya gari kuanza mis nzito. Tatizo likaisha kweli.

Sasa itabidi nifuatilie hizo injectors zote nne.
 
Mkuu t blj , hivi kumbe hizi 'petrol treatment' ni mbaya kwa engine?

Mkuu hata mm Gari yangu inaunguruma kama Ya Diesel, plus kuna mtetemo siupendi, Halafu gari kama RPM inacheza cheza na gari kama inapunguza mwendo na kujiongeza kidogo nikiwa sijakanyaga mafuta
 
Mkuu t blj , hivi kumbe hizi 'petrol treatment' ni mbaya kwa engine?
Manufacturer s wengi wa magari hawarecomend lubricant yoyote nje ya parameters walizo weka , Tena uzuri sisi tunanunua magari used , yakiwa mapya halafu ijulukane umeweka hizo after market treatments hata warranty inakufa .
 
Manufacturer s wengi wa magari hawarecomend lubricant yoyote nje ya parameters walizo weka , Tena uzuri sisi tunanunua magari used , yakiwa mapya halafu ijulukane umeweka hizo after market treatments hata warranty inakufa .

Shukrani mkuu kwa kufahamisha hilo.
 
Pima nozzles na tapet

Mkuu Gunst , nozzles ndiyo injectors?

Nimezipima injectors kwa njia ya kienyeji (kutumia screwdriver na kusikiliza sikioni). Injectors zote nne zinachoma/zinapiga fresh.
 
Tia resi taratibu kwa kupanda, tusikie hio knock kama inapanda! Ila kwangu nahisi kama engine misfires kuna plug haichomi freshi huwa inaletaga huo mlio!

Mkuu, plugs ni mpya niliweka genuine denso iridium ya sindano.
 
Huo mlio maana yake ni kuwa injini yako ina misifire; yaani haichomi mafuta vizuri. Suspect mkubwa sana hapo ni injectors. Inaoinekana kama vile injector hazi-atomize mafuta sawasawa. Ukiweza tafuta mafundi wa kukukagulia na kukusafishia injectors. Suspect namba mbili ni spark plugs hasa zikiwa na masizi mengi hushindwa kuchoma mafuta sawasawa na kusababisha misfire.

Kitu cha pili inawezekana una bearing ama za waterpump au za air conditioner zimeshasagika. Kwa vile unapoteza coolant, inawezekana sana kuwa bearing za waterpump zimeshasagika; waambie mafundi wako aangalia bearing hizo pia.

Mkuu Kichuguu , gereji yako iko maeneo gani
 
Naulizia fundi mzuri wa engene jijini Mwanza.
 
Hivi mboba hizi 5w-40 ndo zimejaa sana..nilitafuta sana 5w30 nikakosa mwezi wa 6
5W - 30 zinauzwa sehemu chache Sana Ila Kariakoo utapata hata Kwenye baadhi ya vituo vya mafuta ya total...
Kuna siku nilitafuta Sana nikaja kupata kituo cha total pale karibu na uwanja WA taifa
 
Hamna cha plug apo..hiyo ni knock..huo mlio utapoteza mda tu kuutoa..badilisha engine weka nyingine.. [emoji28] kama utani vile ila utarudi kutoa ushuhuda ukiutengeneza itakugharimu sana na bora uweke mswaki..
 
Tia resi taratibu kwa kupanda, tusikie hio knock kama inapanda! Ila kwangu nahisi kama engine misfires kuna plug haichomi freshi huwa inaletaga huo mlio!

Mkuu Extrovert , nikipiga resi taratibu huo mlio unaishia kwenye rpm 1,200 hivi. Resi zaidi ya rpm 1,200 huo mlio unapotea.

Pia hata kwenye kudrive, huo mlio unasikika kwenye low rpm (rpm 1,200 and below) tu.

Hivyo, hiyo knock sound inaanza kutokea pale tu engene inapokuwa warmed-up (at running temperature), at idle, also at low rpm when driving (rpm 1200 max).

N.B: Engine ikiwa cold, knocking sound haipo kabisa!

Engine ikishapata joto (warmed up) ndipo knock sound huanza, only at idle & low rpm driving.
 
Back
Top Bottom