Audio: Wasanii kuhama UKAWA kurudi CCM, nini maana yake?

Audio: Wasanii kuhama UKAWA kurudi CCM, nini maana yake?

Chuchu Hans amethibitisha katk mkutano wa ccm moro kwamba amerudi ccm, leo hii taarifa inasema Juma Nature ametangaza kurudi ccm ktk kampeni, hii ikoje wadau? ina ashiria nini? vijana wasanii wameshtuka nini? mbona wanasema ukawa walikwenda kwa maslahi?
lets wat loadng....... kumbuka cybe law ohoooo
Link ya Audio hii...JUMA NATURE MBIONI KUREJEA CCM, SASA AMPIGIA KAMPENI MGOMBEA HUYU KUTOKA CHAMA HICHO | FAHARI YA KUSINI

Hawana mazara sasa mtu kama chuchu hans ana impact gan? Hawez hata kuleta watu watano wakahamia chama flan yani hana ushawishi
 
Wangeona alichofungua Rais wa Kenya kwa ajili ya wasanii wasingemshangaa Jk. Hawajitambui. Wjinga wajinga tuuuu
 
Wamemfuata msanii mwenzao John Pombe Magufuli...

JPM akiwa Mtwara aliwahimiza wasanii wampigie kura kwa kuwa hata yeye Magulini ni msanii mwenzao tena mpiga tumba...
 
Bwana ee wasanii wote waende CCM waTz wako serious na mbadiliko hatuna muda na fiesta njaa zao zilizosababishwa na hiyo CCM pia tukishika nchi tutawasaidia, sis tunamachungu na nch wao wanatafuta maslahi binafsi, boolishit.
 
mimi kinachoniumiza kichwa ni jinsi ambavyo hawa ccm watatuachia nchi ikiwa haina hata senti tano maana hizi wanazochezea si ni hela za wavuja jasho???
 
Prof. J na mhm sugu wanatosha wahasis wa muziki wa bongo flavor
 
Nature yule cio huyu hana jipya hata akienda huko hana affect kwa ukawa
 
Back
Top Bottom