Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
- Bob ndio maana nilisema hivi in the absence of mashujaa, labda Mrema ndio anaweza kuwa shujaa. I mean alijiuzulu cheo ambacho hakitambuliwi na katiba ya Jamhuri?
- Sasa unaona madhara ya kukosa elimu, angekua nayo walipompa angekataa kwamba siwezi kushika cheo kisichokuwepo kwenye katiba, lakini yeye akakkubali tu tena bila hata kuapishwa na rais, kwamba yeye ni naibu waziri mkuu, no wonder Msuya waziri mkuu mpya alikifuta bila kumfahamisha.
Respect.
FMEs!
This is the conclusion:
In long term, taifa ni lazima liwe na system nzuri ya utawala wa kikatiba ambao utamwezesha hata asiye na Elimu kutawala kama Professor. Na Fisadi kuongoza kama malaika.