Augustino Mrema: Behind the Scene

mrema akiwa naibu waziri mkuu ... alianzisha utaratibu wa kuwaadhibu wanaochelewa kazini kwa watumishi wa uma ... utaratibu huu ulikuwa kwamba ukufika kazini baada ya saa mbili asubuhi unakuta kiti chako cha offisini kimeondolewa

pia aliwahi kuanzisha utaratibu wa kutoa siku saba za kujieleza kwa watumishi waliokuwa na makosa
 
Nadhani wengi hamufahamu vizuri ni mtu mbinafsi sana anayependwa kusifiwa kwa miaka ya nyuma alipata sifa sana na watu walikuwa hawafahamu sasa nenda vunjo wanajuta .kwa sasa amalize nngwe yake kwa kura za huruma alizopata.
 

Hiyo sio yeye pekee.
Chambili ameongoza tarime miaka 14,sasa hivi ni mbunge wa jimbo moja huko Manyara.
 
Ni kiongozi pekee anaepiga jaramba (mazoez) kila asubuhi pale sinza.
 
Ndiye mwana ccm wa kwanza kuupinga ufisadi waziwazi,neno vigogo baada ya kukamata gold jnia,pia fisadi chavda
 
Mmesahau aliwahi kukamata pembe za nduvu uwanja wa ndege baada ya kuzuia atc isiruke na kumbe mzigo ulikuwa wa sitti mwinyi na msuya.baada ya kubainika mzee ruksa akakimbilia kwa mwalimu kutaka ushauri maana mkewe kashikwa pabaya.Mwl alimshauri mzee ruksa kumpromote kwa unaibu waziri mkuu ili akae kimya.akakubali.hiyo ilikuwa rushwa ya cheo.
 


  • ni mtu pekee aliyejichimbia chumbani mwake na kuibuka sebuleni kaishavaa digree na anataka tumtambue kuwa ni msomi
  • ni mtu pekee aliyepewa phd ya barabarani ingawa ni pumba kisomi
 
amewahi kuwa mbunge wa moshi vijijini, Temeke na sasa Vunjo ..... na amewahi kujiuzulu katika nyadhifa yake katika dhana ya uwajibikaji
ingawa kwa sasa uwezo wake upo katika stage ya "standstill"
Hii naikumbuka sana. Teh teh teh. Hiyo situation ya stand still huenda ikamgharimu ubunge mwaka 2015

hii thread kaanzisha mwenyewe mzee wa kiraracha pole sana mzee
Hapana. Mimi mwanzisha thread si wa Kiraracha, mie ni mpiga kura kutoka jimbo la Mhe. Profesa Maji Marefu

Mrema ndo waziri pekee aliyetishia kutandika wanaume viboko na kupunguza women abuse! Yule mkuu wa wilaya aliyeiga akacharaza waalimu sijui alihamishiwa wilaya gani?
Yule Albert Mnali hakuhamishwa, alikaushwa kabisa kibarua (uteuzi wake ulitenguliwa), kwa sasa ni raia wa kawaida tu.
Ni mtu pekee aliyeweka mapipa ya lami kule kilema akiwa na lengo la kujenga barabara
japo hakufanikiwa baada ya serikali kumtimua unaibu waziri, hivyo mshiko ukawa kidogo.
Hahahahhhh. Matumizi mabaya ya madaraka hayo

Chama chake ni chama pekee kinachotumia Jogoo kama alama ya Bendera yao. Na ni Mwaenyekiti pekee wa chama aliyeacha kumpigia kampeni mgombea wake wa urais 2010 na kumpigia ****** ili magamba yasimsumbue.
Hiki kioja nakikumbuka sana. Si yeye peke yake aliyefanya kituko hicho, yule jamaa wa PPT Maendeleo bwana Kuga Peter Mziray naye alifanya hivyo kule kwao Same.

Really no comment. Ni nini maudhui ya uzi huu?
Kwa nini unachangia kitu usichojua maudhui yake? Ushakunywa chai?

ni kiongozi pekee nchini aliyekuwa na uwezo wa kuwaamuru majambazi wasalimishe silaha zao na walifanya hivyo.
Hii na yenyewe ni ya kipekee

Kuna watu ni wagumu sana wa kuelewa. Wanataka kila kinachoandikwa humu basi kiwe kinaongelea only the future and present. Sijui kwa nini?
Tell them sir
Hao ni watoto waliozaliwa mwaka 1997 kuja juu, ambao hawajui legends wa nchi hii
 
Kama angekuwa na nafasi ya Pinda kwa sasa, angewapa SIKU SABA wale MAWAZIRI mafisadi wajiuzuru.
 
Huyu ni mzee wa siku saba! Watuhumiwa wote aliwataka wakutane naye kijijini kwake badala ya ofisini!
 
ni historia ya jimbo la kirua hawana wakati wakukupa uondoze mara mbili....
hata Mmrema anafahamu ili.....
changamoto kwa viongozi wajao...lazima ufanye kitu kionekane kabla na baada yakutaka ubunge kwa jimbo hili la VUNJO....ndiyo upewe ubungen
Nadhani wengi hamufahamu vizuri ni mtu mbinafsi sana anayependwa kusifiwa kwa miaka ya nyuma alipata sifa sana na watu walikuwa hawafahamu sasa nenda vunjo wanajuta .kwa sasa amalize nngwe yake kwa kura za huruma alizopata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…