Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,650
Utaratibu wa one to one ilikuwa ubunifu mzuri sana, na alihakikisha akilianzisha analimaliza ! Hivi kuna waziri unaweza kumuona one to one !?
- Mujahidina waliovunja mabucha ya Kitimoto pale magomeni kagera hawatomsahau kwa kichapo walichoshushiwa
- Ni waziri pekee aliekuwa anaingia front line kusaka polisi wanakula rushwa kuvusha mali za magendo.
- Mkristu ambae mda wote ametinga kibarakashea
- alianzisha utaratibu wa kuwazawadia wananchi wanaofichua uhalifu. kwa kuwapa 10%
- Alianzisha utaratibu wa kukutana na wananchi one to one ambapo baadae mzee Mwinyi akau copy