Augustino Mrema: Behind the Scene

Salim A Salim

Positions held in Tanzania
  • Chief Editor of a Zanzibar daily paper, Secretary General of the All-Zanzibar Journalists Organisation 1963–1964
  • Minister for Foreign Affairs 1980–1984
  • Prime Minister of Tanzania 1984–1985
  • Deputy Prime Minister of Tanzania 1986–1989
  • Minister for Defence and National Service 1986–1989
  • President of the Julius K. Nyerere Foundation 2001 – current
 
Ni kiongozi pekee wakati akiwa Naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani kwenye serikali ya CCM aliyekuwa anatoa siku saba tu kwa mhalifu yeyote inchini kujitokeza na kujieleza mbele yake bila upendeleo. Aliwafanya watu waiogope serikali na mali zake tofauti na sasa ambapo serikali yenyewe imejaa wadokozi kama alivyosema Tundu Lissu.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kiasi ila jeshi la sungusungu lilikuwepo toka enzi za vijiji vya ujamaa miaka ya 70 likafifia, sema Mrema likuja kulifufua upya miaka ya 80 alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.
 

Murji Muhamed Hasnain ni mbunge ambaye ametumikia wilaya karibu zote za mkoa wa Mtwara - Newala, Tandahimba na Mtwara Mjini
 
naweka kumbukumbu sahihi, Mzee wa Kujaza mapesa amewahi kuwa Mbuge wa majimbo mawili tofauti
 
Waziri pekee aliyeshughulikia kesi hadi za kuku
 
Mrema amewahi kuwa mbunge kwa kupitia yama vitatu tofauti CCM, NCCR Pamoja TLP
 
na wuro meeku,
mimi nilipita hiyo njia nikiwa naenda kilema kuchukua mwili wa mzee wangu
ndo nikaipata hiyo, ila kwetu ni kumoja mkuu.

mkuu mamdenyi inaelekea tumetoka sehemu moja, mbonyi mbee
 
Ni muasisi wa siku 7... zilikuwa zikifika pia anakumbuka alichokiagiza na anatoa feedback....Tofautisha na mkuu wa kaya aloagiza uzio wa bati pale jangwani ubomolewe kinyume chake.... Lol.
 
Ni waziri pekee aliyekuwa anaingilia maamuzi wa wizara zingine,
Aliamuru wenye maduka kupanda miti mbele ya maduka yao na kulazimisha wahindi
wa mtaa wa Samora na uhuru dar kutoboa velanda za zege ili wapande miti na alifanikiwa.
hii naikumbuka ilikua saaafi saana
 
Nendeni mkajifunze kiswahili upya jamani lol, hamua=amua, hacha=acha, hogopa=ogopa.......mko wengi na mnakera sana.

Mimi nilitaka kushawishika kuwa ndiyo lugha ya humu jf!! Kumbe ...
 
Ni mtu pekee ambae jina lake ni Augustine Lyatonga Mrema :rolleyez:,
Nadhani tukiangalia kila mtu ni unique
 

Kweli Mrema alisoma taarifa nzuri na kama kawaida yake huwa analia machozi ya mamba. Jana alikaribia kutoa machozi ya mamba.

Hapo kwenye blue si kweli kwamba Mrema ni mtu pekee aliyewahi kupewa cheo cha Naibu Waziri Mkuu. Dr. Sali Ahmed Salim aliwahi kupewa cheo hicho mwaka 1985 baada ya Mwinyi kuchukua Madaraka na ikabidi Salim otolewe kwenye Uwaziri Mkuu (Katiba ilikataa) hivyo akawa Waziri wa Ulinzi na JKT pia Naibu waziri Mkuu!

Hapo kwenye Red: Si kweli pia kwamba Mrema ni Mbunge pekee ambaye ametumikia majimbo mawili. Yupo huyu mtu anaitwa Kisyeri Werema Chambiri alikuwa Mbunge wa Tarime miaka ya hapo nyuma na sasa ni Mbunge wa Babati Mjini.

Nilikuwa nataka kuweka historia sawa.

  • Mrema pia anakumbukwa kwa kumnyang'anya Chama mwasisi wa TLP bwana Leo Lwekamwa.
  • Anakumbukwa pia kwa kushiriki kukinyong'onyeza chama cha NCCR mageuzi
  • Mrema namkumbuka kwa kuwaamuru wanunuzi wa korosho watoke Mtwara wamfuate Moshi ili akawahoji
  • Alikuwa mpatanishaji mzuri sana wa migogoro ya kinyumba
  • Alipokuwa Shinyanga aliwatesa vikongwe
  • Hakujiuzulu nafasi ya Unaibu waziri mkuu/waziri wa mambo ya ndani ila aliondolewa na kupewa wizara ya kazi na kuamua kuachia ngazi.
 
Kweli Mrema alisoma taarifa nzuri na kama kawaida yake huwa analia machozi ya mamba. Jana alikaribia kutoa machozi ya mamba.

Hapo kwenye blue si kweli kwamba Mrema ni mtu pekee aliyewahi kupewa cheo cha Naibu Waziri Mkuu. Dr. Sali Ahmed Salim aliwahi kupewa cheo hicho mwaka 1985 baada ya Mwinyi kuchukua Madaraka na ikabidi Salim otolewe kwenye Uwaziri Mkuu (Katiba ilikataa) hivyo akawa Waziri wa Ulinzi na JKT pia Naibu waziri Mkuu!

Hapo kwenye Red: Si kweli pia kwamba Mrema ni Mbunge pekee ambaye ametumikia majimbo mawili. Yupo huyu mtu anaitwa Kisyeri Werema Chambiri alikuwa Mbunge wa Tarime miaka ya hapo nyuma na sasa ni Mbunge wa Babati Mjini.

Nilikuwa nataka kuweka historia sawa.


  • Mrema pia anakumbukwa kwa kumnyang'anya Chama mwasisi wa TLP bwana Leo Lwekamwa.
  • Anakumbukwa pia kwa kushiriki kukinyong'onyeza chama cha NCCR mageuzi
  • Mrema namkumbuka kwa kuwaamuru wanunuzi wa korosho watoke Mtwara wamfuate Moshi ili akawahoji
  • Alikuwa mpatanishaji mzuri sana wa migogoro ya kinyumba
  • Alipokuwa Shinyanga aliwatesa vikongwe
  • Hakujiuzulu nafasi ya Unaibu wa
  • ziri mkuu/waziri wa mambo ya ndani ila aliondolewa na kupewa wizara ya kazi na kuamua kuachia
Siyo kweli kwamba E.W.Chambiri amekuwa mbunge ka majimbo yote mawili,huyu mbunge wa sasa wa Babati Mjini ni kaka mtu,ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CCM,mkoa wa Mara,kabla ya Makongoro Nyerere
 
Ni mgombea urais pekee aliyewahi kutoa ahadi ya kuhalalisha gongo endapo atachaguliwa.
 
Ndie waziri wa mambo ya ndani aliyetuletea kero za kupiga marufuku gomba (gati), miraa. Asisamehewe kwa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…