TANZIA Augustino Mrema, Mwenyekiti wa chama cha TLP afariki dunia

Maskini kamuacha dada wa watu yatima katika umri mdogo. Atakua na majonzi sana mjane Kwa kumpoteza mme wake kipenzi. Pole sana mjane
 
Hivi huyu Aligaesha Aminiel wa Muhimbili yeye hapangiwagi majukumu mengine? Namsikia happy toka mwaka 2006,au hospitali ni yakwake?
Yeye hajateuliwa ni mwajiriwa kwenye nafasi yake mpaka astaafu au ahame/ahamishwe au afukuzwe kazi au Aache kazi kama watumishi wa umma Wengine kama walimu n.k
 
Kwa mara ya kwanza kuonja Raha ya mabadiliko, GARI yake tuliisukuma bila kuchoka bila kujali ni kitengo au la!!!
 
Mkewe hesabu zake zimeenda sawa! R.I.P Naibu Waziri mkuu mstaafu.
 
Apumzike kwa amani baba wa watu. Poleni wana kiraracha. Kwa hiyo yule dada kawa mjane jamani pole kwake.
 
yeye mbele sisi nyuma

kwahiyo mke mpya wa Machi 2022 urithi wa gorofa la TLP migo migo KAMSEREREKO!!?
 
yule mwanamke kamuacha na nani jamani ndoa yake ilikuwa bado changa kabisa....!
 
Tutamkumbuka kwa police post nyingi na ulinzi uliokua unaniudhi sana
 
Pole kwa wafiwa.

Uchaguzi wa 1995 ulikua moto.
 
kuna wanawake topic ya UMRI hawakuwahi kufeli.
Kuna watu ukiwaambia mrema ni usalama wa taifa walikuwa wanabisha.
 
Dah! Taarifa mbaya hii.

Apumzike mahali pema peponi, Amina. Hakuwa na uhasama na mtu huyu mzee.
Uhasama upo, labda kama wewe mtoto wa 2000, kuzuia almost za mke wa rais unadhani hakuna uhasama hapo? Hadi kutolewa uwaziri wa mambo ya ndani?
 
Ila weye mzee wetu ulituweza mwaka 1995.Tulilala na viatu.CCM hawatakusahau kwa mchakamchaka ule.Yaani ulituchezesha nyimbo za Nasma Hamisi Kidogo(RIP)!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…