Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Noma Sana,na jiwe alikuwepo?Kwani mkuu yale mabasi ya mwendokasi kule bandari nani anatakiwa kuyalipia kodi iliyaachiliwe maana ni mwaka sasa yanaozea pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma Sana,na jiwe alikuwepo?Kwani mkuu yale mabasi ya mwendokasi kule bandari nani anatakiwa kuyalipia kodi iliyaachiliwe maana ni mwaka sasa yanaozea pale.
Kwa mujibu wa waziri Mkuu inaonekana hata hayo mabasi ni mali ya serikali ila yamekodishwa kwa mbia ambaye anapaswa kurudisha pesa/deni ambalo serikali ilipewa na benki ya dunia.Mradi wa Serikali ila mabasi siyo ya Serikali
Sio mwaka bali ni MIAKA.Kwani mkuu yale mabasi ya mwendokasi kule bandari nani anatakiwa kuyalipia kodi iliyaachiliwe maana ni mwaka sasa yanaozea pale.
Umemaliza Mkuu !Serikali ingejenga tu miondombinu iachie sekta binafsi ifanye biashara ya usafiri wa mabasi,treni, ndege na meli
MRADI WA KIKWETE NA GENGE LAKE
MRADI WA KIKWETE NA GENGE LAKE
mkuu kipindi kina kisena (udart)wanahisa 51% na serikali 49% waliagiza hayo mabasi sasa serikali ikataka alipie kodi maana ni ya kampuni binafsi hakulipa badae akakamatwa mali za udart serikali ikaongeza umiliki asilimia 85 na wenyewe wakabaki 15% sasa kama serikali ndio inamiliki 85% kwa muda huu maana yake mabasi ni ya serikali kwa 85% apo nani anatakia alipie kodi ?na TRA wamekaba koo wanataka kodi yao maana yatakua na plate namba private hata kaa ni mali ya serikali asilimia 85% na simon kwa 15%Kwani mkuu yale mabasi ya mwendokasi kule bandari nani anatakiwa kuyalipia kodi iliyaachiliwe maana ni mwaka sasa yanaozea pale.
Unadanganya. Ile system iliyofungwa pale ni bora kabisa. Niamini mimiHizo scan mashine ni za mfumo wa kizamani sana,tumepigwa mchana kweupe,
Tazama Tiketi za Boti za Bakhresa ,mbona eye anatumia Machine za kisasa zaidi kuona ni abiria wangapiwameingia kwenye Boti na yupi kaachwa baada ya kuiziwa Ticket.