MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Nani anapokea rambi rambi ya msiba wa malkia Elizabeth? Tujitahidi kuchangia, wasije wakashindwa kusafirisha na kuzika mwili wa mpendwa wao.wana JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alihemo madarakani huchagua mrithi na kizazi cha huyo ndo hutoa warithi wa baadayeSuccession ya ufalme Uingreza inakuwaje? Charles ndiye anakuwa King, why Charles and not any other member from the royal family? Malkia na King wanakupatikanaje?
Wewe kaoshe magari ya mabosi wako huko ccm, hakuna unachofahamu kwenye mambo kama haya, umekalia tu umbeya wa siasa za ki-ccm, bure kabisa.Nadhani Pohamba amejibu sawa Kabisa
Hapo Chadema mwenyekiti anapatikanaje? Samahani lakini rafiki yangu!
Hujui mwenyekiti wako hapo ufipa anapatikanaje!Wewe kaoshe magari ya mabosi wako huko ccm, hakuna unachofahamu kwenye mambo kama haya, umekalia tu umbeya wa siasa za ki-ccm, bure kabisa.
Watu wanaongea topic za maana wewe akili yako iko tu kwenye umbeya na mambo ya kipumbavu pumbavu tu. You're very useless.Hujui mwenyekiti wako hapo ufipa anapatikanaje!
Kweli kwa maana ya kwamba baada ya King Charles II atafuata Prince William.
Mbona king Charles sio first born
Mbona dada yake na king Charles hajapewa u Queen wakati ndio first born wa malkia Elizabethzamani ilikuwa Mtoto wa kwanza wa Kiume wa Mfalme au Malkia …baadae waka badili ikawa wa kwanza kuzaliwa bila ya kujalisha jinsia lakini akijitoa Kwny uanglican hapati hiyo fursa
King Charles ndio first born wa hayati malkia ElizabethMbona dada yake na king Charles hajapewa u Queen wakati ndio first born wa malkia Elizabeth
Not trueKing Charles ndio first born wa hayati malkia Elizabeth
Mkuu si ugugo tu...kwa ufupiNot true
So first born ni nani ?Mbona king Charles sio first born
Dada yake yupi?Mbona dada yake na king Charles hajapewa u Queen wakati ndio first born wa malkia Elizabeth
Indeed johnthebaptist is a useless chawa!Watu wanaongea topic za maana wewe akili yako iko tu kwenye umbeya na mambo ya kipumbavu pumbavu tu. You're very useless.
Ukute ni kama Malkia wa Nyuki tu anavyopatikanaSuccession ya ufalme Uingreza inakuwaje? Charles ndiye anakuwa King, why Charles and not any other member from the royal family? Malkia na King wanakupatikanaje?
si ugugu, by Makalla those daysugugo
sijui anapatikanaje wa nyukiUkute ni kama Malkia wa Nyuki tu anavyopatikana
Tuko mubashara SkynewsIndeed johnthebaptist is a useless chawa!
kuna nini?Tuko mubashara Skynews