Aunt Ezekiel anamaanisha nini kuonesha hii alama?


Illuminant asiye hata na nyumba ya kusihi???
 
Naona watanzania kwa kuiga naona sasa tumewazidi wacongo
 
Neno Iluminat linatumika vibaya sana!
Kweli kabisa (Illuminat inatoka katika enlighten, au Light)
lakini wao hao mapepo wanasema mambo yao na yasijulikane popote pale katika uhalisia wake bali katika namna ambayo haitaeleweka kwa watu wengine. ndio maana wanafanya mengi kwa symbols pia kwa kutumia neno la Mungu. Humo utaona misalaba iliyo na mwonekano ule ule wa Kimungu lakini wanatwust kidogo kiasi cha mtu wa kawaida asigundue.
 
Kuna kipindi Mzee Yusuph alizushiwa sana kujiunga na freemasons kipindi kile jahazi ina hit sana. Juzi tu hapa namuona ametoka Hijja msikiti wa Mecca Alhaj Mzee Yusuph
 
wanaweza kuwa illuminat ,ila pia wako na jitahada kwa kile wanachofanya
 
Kuna kipindi Mzee Yusuph alizushiwa sana kujiunga na freemasons kipindi kile jahazi ina hit sana. Juzi tu hapa namuona ametoka Hijja msikiti wa Mecca Alhaj Mzee Yusuph
freemasonry wanataka watu walio na dini ama imani fulani ndio wawe wanachama wao,kwa hiyo kwenda Mecca haiwezi kuwa sababu kwamba mtu si freemason ,pia kuwa askofu ama cardinal pia si kwamba ndio huwezi kuwa freemasonry
 
freemasonry wanataka watu walio na dini ama imani fulani ndio wawe wanachama wao,kwa hiyo kwenda Mecca haiwezi kuwa sababu kwamba mtu si freemason ,pia kuwa askofu ama cardinal pia si kwamba ndio huwezi kuwa freemasonry
Vigumu sana mkuu, ule ni mji mtakatifu na tukio linalofanyika ni takatifu
 
Vigumu sana mkuu, ule ni mji mtakatifu na tukio linalofanyika ni takatifu
hivvyo ndivyo unavyodhani kwa kadri ya ufahamu ulionao,labda kwasababu hujafahamu vyema freemasonry,kama utakuja jaaliwa kufahamu utanielewa
 
Kwahiyo hii dini huwa wanachagua jicho la kulifumba?[emoji15] [emoji15]
 
hivvyo ndivyo unavyodhani kwa kadri ya ufahamu ulionao,labda kwasababu hujafahamu vyema freemasonry,kama utakuja jaaliwa kufahamu utanielewa
Sawa mkuu, nitalifanyia kazi nipate ufahamu zaidi. Kwamba mtu aliyejiunga na freemasons anaweza kufanya ibada ya hija huku akiendelea na ufriimason wake
 
Illuminati ni secret society ya juu sana, kwanza ni wabaguzi wa rangi, pia wanachukua watu wenye IQ kubwa sana. Huwa watoaji na mwenye kusaidia watu, hivyo ni watu matajiri sana na viongozi. Mfano ni JP Morgans na Rockefeller. Wengi wao huanzisha taasisi za kumataifa kusaidia wasiojiweza.
 
Illuminati haijihusishi na mambo ya shetani Au hata huyo shetani mwenyewe
 
Hapo umenifurahisha sana mkuu,yani nimeisoma kwa amani mno
 
Kwani mtu kupiga hivyo picha keshakuwa illuminate acheni kukuza maneno

Sasa mwanzo kwani kuna watu walikuwa hawapigi picha hivyo au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…