ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Kazi kweli kweli[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kazi kweli kweli[emoji15] [emoji15] [emoji15]
UmeanzaMtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman" Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##
Muuza supuIlluminati mpishi au?
Wanakuchagua wao....lazima uwe na kismati flani. ..Iv izo joining instructions za mtu kuwa Illuminat zinapatikana wapi
[emoji85]
Daaaah mana apa Moro Kuna Noah flan inamabendera rangi nyekundu na namba za simu haha[emoji3]Wanakuchagua wao....lazima uwe na kismati flani. ..
Belive me sidhani kama ni wao...hawa watu are super rich. ..na huwa wana vipawa vya ajabu...huwa wakitaka kitu wanakipata. ..mind control strategies. ..wako kama waganga wa kienyeji wenye maono ya hali ya juu. ....Daaaah mana apa Moro Kuna Noah flan inamabendera rangi nyekundu na namba za simu haha[emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , Mungu anakuona ujue [emoji102]Hapo anamaanisha anatoa jicho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , daah nimeipenda sana comment yako mkuuHuyo kiperete anakuna macho yamewashwa na vitunguu hapo jikoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona kama anafanyiwa vipimo vya macho?
"Funga jicho moja, soma zile herufi pale"