Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman" Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Iluminat msipende kuwaingiza watu wasiostahili kuwapo kwenye jamii yetu
Kwan na kwan ant alipitaDiamond bwana! mademu zake aliowapitia ndio anawaunganishia madansa na wasanii wa lebo yake!
Duuuh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ili wasiende mbali, sometimes timing ikikaa fresh anapiga la fasta Ata toilet.
Sasa cjui wema atampa naniIli wasiende mbali, sometimes timing ikikaa fresh anapiga la fasta Ata toilet.
Wote hao ulowataja illuminate, we unadhani maandiko ya kwenye vitabu vya Mungu unadhani Mungu alikosea?? ,"Tajiri kuingia ufalme wa mbingu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano,Mungu anakupa utajili wa kawaida sasa wengine wanataka utajili wa kutisha na umaarufu usokuwa na maana ndo maana wanajiunga na dini za kishetani ,Hakuna cha illuminati,wanaoitwa illuminati wote walizaliwa ka wewe na mimi,ukiamini kuna illuminati utakufa masikini.ni ujanja tu kupumbaza masikini hili tuzidi kuwa masikini,mfano jay z historia yake mziki inajulikana mpaka kuwa milionea afu shenzy type wanakuambia illuminati,basi hata Mo dewji,Mengi,Bakhresa wote illuminati.
Una uhakika Hana hela??Hawezi kuwa illuminat hana hela kwanza
YaaahKwan na kwan ant alipita
Hiyvo vitabu viliandikwa na wajanja, hakuna kitabu cha mungu kuna vitabu vya binadamu na binadamu na roho yake ndio mungu.Wote hao ulowataja illuminate, we unadhani maandiko ya kwenye vitabu vya Mungu unadhani Mungu alikosea?? ,"Tajiri kuingia ufalme wa mbingu ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano,Mungu anakupa utajili wa kawaida sasa wengine wanataka utajili wa kutisha na umaarufu usokuwa na maana ndo maana wanajiunga na dini za kishetani ,
Rich MavokoSasa cjui wema atampa nani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , Mungu anakuona ujuenafikiri amemisss kukazwa,akikazwa halafu alafu apigwe dole la kati la kiluminati aturuka mwaaaa ndio atatuo hiyo mikono machoni.
Mbona napiga stori na mungu kila siku.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , Mungu anakuona ujue
Hahahahahahahah aisee,jf Ndo kila kituuLabda Illuminati wa Sumbawanga.