Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha haLabda Illuminati wa Sumbawanga.
hahahhahaha nmecheka ghaflaLabda Illuminati wa Sumbawanga.
haaahaaaahaaaa..... wauza nyapu tu haoLabda Illuminati wa Sumbawanga.
😛😛😛😛😛illuminati lazima uwe na pesa na akili si BONYE BONYE tu
Hivi hawa illuminat mnawajua?, mnadhani ni ki rahisirahisi kujiunga nao kama mnavyokwenda kujiunga kwenye makanisa ya kilokole,kuna criterias nyingi za kukukubali.Mtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman", Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni mfuasi wa dini ya kishetani ya illuminati.
View attachment 406150
Wafuasi wengine wa dini hiyo;
View attachment 406151
View attachment 406152
View attachment 406153
View attachment 406154
View attachment 406155
Naona maisha yashaanza kumshinda akaona siyo kweli hawezi kufa na kiu baharini ngoja ajaribu upande wa pili.
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati##siyo mtu##wa mchezo mchezo##
Wanafikili kule ni jalala kila mtu anaendailuminatti nao wana vigezo hawabebi tu ili mradi.
Mi mawashangaa sanaHivi hawa illuminat mnawajua?, mnadhani ni ki rahisirahisi kujiunga nao kama mnavyokwenda kujiunga kwenye makanisa ya kilokole,kuna criterias nyingi za kukukubali.