Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
http://1.bp.blogspot.com/--VFcn4aM4...x0/s1600/Screenshot_2015-01-13-19-47-22-1.png
Mcheza show wa diamond naye karibu anaitwa baba
Mmh kweli vijana mnajua kujituma,unawezaje kuvua mpira kwa kiumbe kama Aunt Ezekiel
Kuna watu wana ujasiri balah
http://1.bp.blogspot.com/--VFcn4aM4...x0/s1600/Screenshot_2015-01-13-19-47-22-1.png
Mcheza show wa diamond naye karibu anaitwa baba
Huyu kijana anaroho ngumu kma isis kala pekupeku
Na boss wake Diamond naye Ana roho ngumu ya kula pekupeku,awa watu majasiri
Na boss wake Diamond naye Ana roho ngumu ya kula pekupeku,awa watu majasiri
Na mbona ni mabingwa wa kutoa mimba au wanazipata kwa njia nyingine?halafu hao huwa hawapati ngoma kirahisi. Kila mtu anayekutana naye anavaa mpira mwishoni unakuta yuko salama.
Mmh Hilo changa la macho tu dogo katupiwa mpira na faranga kadhaa, Hilo tumbo ni la waziri wenu wa wanyama.. Safari ya US imejibu.... Kalagabhaho!!
Mmh Hilo changa la macho tu dogo katupiwa mpira na faranga kadhaa, Hilo tumbo ni la waziri wenu wa wanyama.. Safari ya US imejibu.... Kalagabhaho!!
Huu mwaka ni mzuri sana kwa familia ya Diamond!
Huku Chibu Junior anakuja duniani October na Huku mcheza show junior anakuja duniani miezi michache ijayo!
BADILI TABIA kuna jambo nataka kuuliza mweeeeeeeTunamtakia malezi mema mama kijacho
BADILI TABIA kuna jambo nataka kuuliza mweeeeeee
Heheheh ulizaaaa
hivi Dougie 15 yupo Insta nimemtafuta jana nikachoka