Mhhhh.......
Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa
mimi huwa na kinyaa sana.....
Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku
sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...
Hata nipewe bure siwataki............
Je analipwa kiasi gani picha kama hizi zinapokwenda public?
Mhhhh.......
Mimi msichana tanzania hii akiwa yupo kwenye muziki au
filam za kibongo au hata urembo huwa nakuwa sina hamu nae kabisa
mimi huwa na kinyaa sana.....
Wasichana kama hawa na hao wengine
wanaosifiwa na magazeti ya udaku
sjui irene uwoya au wema sepetu au johari au ray c...
Hata nipewe bure siwataki............
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.
ukiondoa tabia na whatevers huyu dada ni mzuri sana kwa nje tuache uongo
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.
Hapa rahisi ukiwa na mai waifu wako jirani ukakuta unapigwa konzi maana kuacha kumwangalia si rahisi. Watu wengine wameumbwa kuleta vurugu duniani tu aaaaaggggggggggggggh!
RIP RegiaKapendeza ila ameniboa kutuonesha uchi wake.Mapaja yake kwa kweli hayana mvuto,hayana rangi ya kuvutia.
sio bure wewe!Kweli ati, ila nadhani wengi wana-konsida ule msemo wa samaki mmoja akioza...
Ila huyu dada ana mvuto wajameni.