Aunt Ezekiel: Mvuto wa kipekee

Aunt Ezekiel: Mvuto wa kipekee

Hizi picha zinatuchafua jamani je mode waweza kutoa hii thread! hapa mnachopendea ni nini sasa hayo mapaja meusi au....uchafu mtupu...mastaa wa bongo bana...hawajiheshim kabisa....
 
Kumbe ni mtoto wa Ezekiel Grayson Jujuman! Naona wanafanana kiasi fulani, hasa macho.
 
nimeyapenda mapashja yake duuuh:lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
ukiondoa tabia na whatevers huyu dada ni mzuri sana kwa nje tuache uongo
 
many people are so negative about this,coz wanataka africuture ikumbatiwe!angetupia vtu vya ktenge angenoga mara 100000000000!
 
Anaweza lakini au pozi tu, manake hizi mtu zingine ukiziangalia kwa nje saaf lakn upuuz mtu. Hamna kitu hapo.
 
angalia hiyo sura ,,,,uweke ustaa alioupata pembeni,avae vizuri sio hivyo anavyoonyesha visivyoonyeshwa.sio mzuri labda tuseme ni mrembo ,,,,kila mwanamke anavutia
 
i1355_ezekiel6.jpg



Naona hapa kaamua kuficha shanga yake ya kiunoni​

Watu mna macho mie nilikuwa sijaona
 
Just one publicity stunt from a common local celebrity............
 
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.

i1350_ezekiel1.jpg


i1351_ezekiel2.jpg


i1352_ezekiel3.jpg


i1353_ezekiel4.jpg


i1354_ezekiel5.jpg


i1355_ezekiel6.jpg


i1356_ezekiel7.jpg


i1357_ezekiel8.jpg

mh mambo ya kujitakia hayo halafu uanze kuingia gharama za bure kufuata kikombe cha babu loliondo,akhu mi simo,ukiwa shimoni usichimbe shimo
 
wananiboa wanavyokaaga tu uchi otherwise she is so beautifully!!!
 
Back
Top Bottom