Aunty Ezekiel Amtaka Tunda Amlipe pesa zake za pombe

Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
[emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji1] vyuma vimekaza!
 
Wala sikushughulika naye bcoz she is not my class. Tulikua wengi binti alitorokwa hotel. Naamini ni Malipo ya laana na dhambi za babake. Askari sabasita alinyanyasa na kuonea watu sana! Hiki ndicho anakilipia.
Hebu tupe kwa uchache short history ya huyo Sabasita.
 
Hivi kinje anayeongelewa hapa ndiye kinje wa ngombale?
 
Diamond ananunuliwa hiyo pombe anayoitangaza its like anunuliwe diamond karanga kama zawadi

Huyu mange ni genius kila kitu anajua na mambo yake huko alipo yanaenda

Lakini sijawahi kusikia akijisema na yeye yeye na habari za watu ‍♂️
 
Tunda kiboko katrend balaaaa
 
Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
Huu msaada ulikua free mkuu au ulisuuza
 
Kuna siku nilikua hotel fulani hapa DSM nilishuhudia huyo mtoto Tunda akidhalilishwa kwa kushindwa kulipa bill ilibidi nimsaidie.

Amejiingiza kwenye maisha ya gharama na majuto sana!!
lusungo acha kutafuta kiki humu kama watu wa insta hii JF hatuna habari hizo za kujisifia ujinga ulimlipia wewe baba yake
 
Thanks....copied some where!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…