Ndo wanavofikiria kuchuna kutapungua ndo mana Zari anaheshimika pamoja na watoto bado mzuri hata kina Uwoya akina pangu kauka tia mchuzi hawana ubavu.
Ye waswas umemjaa tu af nlidhan keshazaaga na mabetto nae keshajifungua mimba aliificha hatare
Jack pemba eti alimpiga mpaka mimba ikatoka, alipat miscarriage, mi nais itakuwa induced abortion tu, maana alivyokuwa akiongea na alivyo usoni unajua kabisa uongo, haonyeshi ata kuumia mxiuuu
Irene mzuri nyie nilimuona jana mhh hatar ila kapungua tu
Azae wapi ana kazi ya kuutembeza mtumbo tu na kuuonesha kila kukicha? Wenzie hua wanaonesha picha za mimba baada ya kujifungua yeye sijui anamrusha roho faraja?
We mtu umeolewa then unazaa nje ya ndoa usiombewe vibaya mchezo mxiuuu
We mtu umeolewa then unazaa nje ya ndoa usiombewe vibaya mchezo mxiuuu
Jack pemba eti alimpiga mpaka mimba ikatoka, alipat miscarriage, mi nais itakuwa induced abortion tu, maana alivyokuwa akiongea na alivyo usoni unajua kabisa uongo, haonyeshi ata kuumia mxiuuu
Wataiga mpka jinsi ya kunya
USiongee upuuzi wewe hakuna kitu kinachouma kama kupoteza mtoto then kwa ajili ya kipigo, sisi wanasaikolojia wambea tunaelewa mbuzi wewe
Umeona eeh?Eti watu wanamsengenya! Utadhani yeye ndio wa kwanza kubeba mimba,hashuo tu.